

kuwa miss tz 2006 na anko nanihii na mdau. mambo yakienda mswano mwaka huu kwenye miss tz huenda akapatikana miss photogenic mwingine ambaye si lazima awe miss tz. endapo kama sosi zangu ziko sahihi kambi ya miss tz 2009 inaanza rasmo septemba 7 ama jumatatu baada ya hii ambapo washindi wa kanda zote watakaa pamoja mwezi mzima kujiandaa
mwezi mmoja mdogo ndiyo maana wanashindwa shindwa waongezewe miezi sita kabisa waive vizuri wakashinde, maana unajua mambo ya kuanzia ukubwani yanahitaji muda uyazoee acheni kubania vijisenti uto
ReplyDeletekaka michuzi naona zipu hapo, ukufunga ulidhamiria au bahati mbaya?
ReplyDeletekwakweli haka katoto wema sepetu kalikuwa kazuri sana kipindi kile. kalikuwa na haki ya kumshinda jokate mwegelo ingawa nae yuko tight, lakini wema alikuwa zaidi, tatizo sahivi kasha nyingi mtoto huyu.
ReplyDeleteMisupu kumbe we andunje! siku nyingine vaa vya mchuchumio ukienda kwenye 'special events' kama hizo
ReplyDeleteHuyu binti ni mzuri lakini hakufaa kuwa miss wa kutuwakisha nje ya nchi, hips zake kubwa, kwa wenzetu hizo ni mapungufu kwa miss.
ReplyDeleteKuwa miss photogenic ni sawa!!
sasa anko mboni kama unamwogopa kusogelea toto hilo???hahahaaa pozi lako tu picha #1 duuh
ReplyDeleteila umetoka mbali anko ulikua fit no nyama uzembe