waombolezaji wakiwasili na jeneza lenye mwili wa marehemu medi mpakanjia tayari kwa mazishi makaburi ya kisutu jijini dar leo. mamia ya wadau toka fani mbalimbali waijitokeza kwenye mazishi hayo ambayo orodha ya waombolezaji ilisomeka kama nani-ni-nani katika anga za sanaa na michezo
baadhi ya ndugu wa karibu na marehemu
mbunge wa temeke mh. abbas mtemvu akiwa na
baadhi ya wanamuziki wakongwe mazishini hapo wanamuziki wa kizazi kipya kibao alikuwepo

anko nanihii akiwa na richie mtambalike (shoto),
bushanga na mdau wa filamu mkuu





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Inalilahi- Wainalilahi Rajiuni.

    Yani kama ndoto vile....it is so sad.

    Mwenyezi Mungu mwema ailaze roho ya Marehemu mahala pema na patulivu peponi.

    RIP Meddy.

    ReplyDelete
  2. Jamani wale watoto wameachwa yatima?? Mpaka mchozi umenitoka. Huyu si ndiye aliyekuwa mume wa Amina Chifupa? Tunawaombea familia Allaha awape tahfifu katika wakati huu mgumu wa kifiwa na ndugu yetu. Duuuh this is bad news

    ReplyDelete
  3. Simanzi inakuwa kubwa mno inapofikia wazazi wanatangulia kwa mola na kuacha mtoto duniani.... Allah Akbar... Rest in Peace brother (dRU)

    ReplyDelete
  4. Kwa kweli inasikitisha. Nawaonea huruma watoto walioachwa yatima. Mola ailaze roho yake mahala pema peponi. AMIN.

    ReplyDelete
  5. AISEE MICHU HUYO BWANA BISHANGA ALINIKERA SANA KUACHANA NA FANI YA MAIGIZO MM NAAMINI THE GUY WAS BIG TALENT..YAANI ANAJUA HABAHATISHI.TUNDIKA HABARI ZAKE HAPA TUNAHITAJI VICHWA KAMA HIVI KUVIRUDISHA KWENYE "GAME" KAMA KWELI TUMEDHAMIRIA KULISONGESHA HOLLYWOODAA TUKAPAMBANE NA KINA KATT WILLIAMS HUKO NA KINA CRISS ROCK.RUDI KUNDINI BISHANGA WA BASHAIGA KUTOKA NYUMBANI KANYIGWE,NYANGÒRO..TUSHACHOKA KUONA FANI IKIENDELEA KUVAMIWA NA WABAKAJI WA FANI,WASANII WAMEKUWA WANAJALI KUSIFIWA ZAIDI KULIKO KUTUBURUDISHA BWANA "THIS IS NOT FAIR"TUMEPOTEZA WASANII SASA TUMEBAKIWA NA "WAUZA SURA" NA "WAPENDA SIFA"TUSIPOWASIFIA WANATULILIA WATANZANIA WENZAO HATUWAPENDI.:USHAURI.."WASANII LAZIMA MTAMBUE KUWA NYIE KAZI YENU SIO SIE TUWAPENDE BALI NYIE KAZI YENU NI KUTUBURUDISHA NA KUTUFURAHISHA SISI.KUWAPENDA NYIE NI BONUS TU SI LAZIMA.

    ReplyDelete
  6. mzee wa peramihoSeptember 16, 2009

    choki,Amigolas na mzee wa mchikichini katapila matumbo hayo duu, mwezi wa toba huu walao muonyeshe mnajinyima!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...