Katibu mkuu huyo alieleezea changamoto mbalimbali zinazoikumba sekta ya utalii kutokana na elimu duni wanayopatiwa pindi wawapo vyuoni hali inayowafanya washindwe kudominate soko la ajira katika sekta ya utalii na kuwapa nafasi wageni has kutoka nchini kenya kutawala soko la ajira kutokana na kuwa na ufahamu mkubwa wa lugha zinazotumiwa na watalii hasa kiingereza na mambo mbalimbali.
Komba laiwataka wadau wa kongamano hilo kuhakikisha wanajadiliana kikamilifu jinsi ya kuweza kutatua changamoto mbalimbali zinawakabili wadau wengi wanaoingia kwenye sekta hiyo hivi sasa mara baada ya kumaliza vyuo. Changamoto hizo alizitaja kuwa nia:Huduma kwa wateja, Lugha, na uaminifu
ha ha ha ha ha ha ha ha!!Brother Michu,kulikua na UZINGUZI!Ha ha ha ha ha ha.Hiyo maana yake ni kwamba walikua wanazinguana tu na hakukua na lolote la maana.Kaka naona swaumu imekubana sana mwaka huu.
ReplyDeleteMkulima-Kijijini Gezaulole