Wadau tazameni jinsi Mungu alivyo mkubwa kwa kubofya katika link ya hapo chini, muone jinsi alivyomuokoa Mtoto wa Nyati asiweze kuliwa na kundi la Simba.
Haya ni kati ya maajabu meengi yanayotokea huko Mbugani. Watanzania Tujenge mazoea ya kutembelea Mbuga zetu, kuna mengi huko ya kujionea na mengi ya kujifunza pia.
Nawasilisha.
BY Mdau Groningen,
Uholanzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Hakuna kinachoonekana hapa.Kuna mtu kachemsha.

    ReplyDelete
  2. HIYO NI SAHIHI KABISA. UNAWEZA KUIPATA KWENYE KISIMA CHANGU CHA MWAWAZO MAKALA ISEMAYO KAMA DAKTARI ANAPONYA KWANINI NAYE AFA?? ( IF DR HEALS WHY DO THEY HAVE TO DIE )http://www.answerbag.com/q_view/467309

    SIKU YAKO YA KUFA DR HAWEZI KUFANYA KITU HATA HIVYO HASTAILI KUJILAUMU KWAMBA HAKUFANYA ILI AU LILE. NA KAMA SIO SIKU YAKO UTAONA MTU ANAJITITTUA MOCHUARI

    ReplyDelete
  3. mdau wa uholanzi tuwasiliane niwekee namba yako hapo mimi nipo mitaa hiyohiyo

    ReplyDelete
  4. mdau umechemsha link hujaiweka vizuri inatupeleka kwenye youtube yote na sio video husika nextime jifunze kutuma link....mdau mwingine wa uholanzi nawakilisha. alafu kaka michuzi nimekualika futari ijumaa hujafika basi nakualika pilau ya eid

    ReplyDelete
  5. huyo madau kachemsha labda clip yenyewe ni hii hapa

    http://www.youtube.com/watch?v=r8ZHJZFIAAg

    Jaribuni hii pia inaonyesha mtoto wa nyati akisulubiwa na simba wengi hatimae mama yake anamuokoa.

    ReplyDelete
  6. Search topic hii The escape of the baby Buffalo

    ReplyDelete
  7. kidhungu janga la taifaa...If dr heals why do they have to die...changanya wingi na umoja katika sentensi moja ouch.....

    ReplyDelete
  8. Thanks, mimi nimefungua na nimeona video na sauti imesikia, inasikitisha maisha ya porini si mchezo, Mungu kamsaidia baby Nyati.
    THANKS MDAU ACHANA NA HAO WAZUSHI.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...