Home
Unlabelled
kp leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Masoud kipanya hii kali nimeipenda!!
ReplyDeleteIla sasa Kaka naomba yule wa ubavu wangu mtarajiwa umuache kaka, we si una mke tayari inakuwaje tunataka kuzibiana riziki?? mi nikiibuka kwa mai waifu wako utajisikiaje kaka?? nitashukuru kama utakuwa umenielewa na kuheshimu hili kaka.
ahsante.
ni mimi nadhani unanifahamu au utakuwa umesimuliwa.
That cartoon is so apt, job well done!!
ReplyDeleteMdau wa Juu
Bonge la meseji. Mshikaji hana ligasi.
ReplyDeleteKP wewe ni msanii!! hongera sana
ReplyDeleteUdini jamani. Udini jamaniiiii unatumaliza. Chakusikitisha hao maaskofu na mashehe wanatumia kila nguvu walizonazo kuutetea udini. Waraka, Ilani za nini nyinyi maaskofu na mashehe? Kama ni ufisadi kwa maaskofu na mashehe umekita mizizi. sasa huu uchonganishi wa nini jamaniiiiii? Mnatupeleka pabaya sasa. JK kawanyamazia sijui kwa nini. Labda anajipanga kuwajibu. Nawasihi acheni hizo ilani na waraka. Na kama mnaendelea kuzilinda basi anzisheni vyama vya siasa. Navyo vikiwa vya udini sidhani kama vitasajiliwa. MSIIWEKE NCHI KATIKA HALI MBAYA. IMETOSHA. Kingunge kakemea mmemuita mkominist. IMETOSHA.
ReplyDeleteMasood good job. Ila nasikitika sana kwamba yawezeka JK hakuelewi. Na kama anakuelewa ni kwakuwa anafurahia picha yake uliyochorwa kwa mkono,vinginevyo natamani angepata mtu wakumfafanualia ujumbe mzito uliopo ndani ya "katoon" hiyo. Vinginevyo uwe unamtumia nakala na badala ya "Salve Rweyemamu" kuwa anapunga hewa bureeeeepele Ikulu! alitakiwa kuwa anamfafanulia machache. Big up masood lakini "wacha ukora usipende maiwaifu za watu"
ReplyDeleteSIKU ZOTE MASOUD AMEKUWA AKIMFAGILIA HANDSOME,ILA SAFARI HII AMEUONYEESHA UASILIA WA TANZANIA KWA SASA.INAWEZA KUMFUMBUA MACHO ILI AONE ANAVYOPOTEZA WALIOMTUMAINI!!!!MIMI NIKIWA MMOJA WAO
ReplyDelete...Raisi wetu yupo wapi hapo au ndo majukumu yote kamuachia Pinda yeye yupo safarini kikazi??! :))
ReplyDeleteSANAA NA MSANII vimekutana. Mzee wa mazingaombwe JK. Hii ndo tafsiri ya maisha bora kwa kila mtanzania, hasa mafisadi. Unauliza vichwa? Damu hiyo una uhakika ni yao, au kachinjwa kuku wa jirani?
ReplyDeleteMtoa maoni ya tarehe Sep 02, 09:20:00 AM, huna uchungu na maskini wanavyoishi bongo na inaonekana umetoka familia tajiri ndio maana umeweza hata kuwa nje ya nchi na kuandika hayo JUU YA DINI KUTOA NYARAKA.
ReplyDeleteHata mganga wa kienyeji akitoa waraka pia ntausifu. Hali ni mbaya. Ni nyinyi wachache mnaofurahi na kuishi maisha bora Tanzania wakati wengine wanauawa kwa ufisadi.
Huyo Kingunge akemee kama nani? Si ndiye mtoza ushuru wa stendi ya Ubungo na anaipa serikali nusi ya therusi na robo yake ya anachopata?
Yeyote atakayeonesha nia ya kuikosoa serikali nampa 5 za nguvu.
Bila kujali n dini gani ama kabila gani.