Warembo wakiwa pamoja na Naibu Waziri wa Viwanda na Masoko Mh. Cyril Chami mjini Moshi wikiendi iliyopita walipotembelea ukanda wa utalii sehemu hizo wakiwa katika safari ya kutalii
warembo wakiwa hifadhi ya Kilimanjaro Marangu
warembo wakiwa na baadhi ya watalii waliotoka kupanda mlima
warembo wakitembela daraja la mto Wami
wakiwa njiani kuelekea moshi na arusha





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. sasa huyo dada kukumbatia mzungu wa watu ndio nini warembo bwana kwa kupenda kushoboka mzungu amjui wala ninia yeye anataka konozzzzzzzzzzzzzii au ndio mjomba wanaiga staili yako? najua utanibania tu hila ujumbe utakuwa umefika
    mdau maboksini

    ReplyDelete
  2. Ndo maana wazungu hao walishingwa kufika kilele cha kilimanjaro!!!distraction...distraction...

    ReplyDelete
  3. Warembo wetu wanavyopenda wazungu...hapo wanawatolea mimate tu...eheheee

    ReplyDelete
  4. Mwenyezi Mungu atupe muongozo na kutupa nguvu na mitihani ya ulimwengu. Awape waja wake imani na awaepushe na vishawishi vya dunia. Inshallah haya yatapita na Mfungu ujao panapo uhai hawa vijana (walio waisilamu) watafunga mwezi wa Ramadhani na kujisitiri miili yao na kutotangaza pombe na atatupa uwezo mimi na kaka Lundenga twende japo Umrah. Ameeen!

    ReplyDelete
  5. Mwenyezi Mungu atupe muongozo na kutupa nguvu na mitihani ya ulimwengu. Awape waja wake imani na awaepushe na vishawishi vya dunia. Inshallah haya yatapita na Mfungu ujao panapo uhai hawa vijana (walio waisilamu) watafunga mwezi wa Ramadhani na kujisitiri miili yao na kutotangaza pombe na atatupa uwezo mimi na kaka Lundenga twende japo Umrah. Ameeen!

    ReplyDelete
  6. hao wazungu mbona watakoma kwani naona hao warembo kweli wamewangangania! si unajua tena akishe kuwa mzungu basi hata kama ni maskini watajitahidi mpaka wawapate but thats africans girls, enjoy while u can hata kama hantashimnda but it seems you are having a great time girls.

    ReplyDelete
  7. kuna mzungu mmoja aliniuliza hivi kwanini wanawake tz wanaonekana so nice kwa wazungu ni kweli they are alwayz nice hivi au wanapretend kwa wageni,nikakosa cha kusema

    ReplyDelete
  8. msiwalaumu kushobokea watasha, wamezichoka za kina lundenga wanataka za kizungu sasa!! pia wana ndoto za kurushwa mamtoni. mi nashobokewa na wazungu na ninawakaza kwelikweli.
    mkosa ATL, USA

    ReplyDelete
  9. hivi huyo dada aliyemganda mzungu wa wawatU. Ingekua mtanzania mwenzake angefanya hivyo???

    ReplyDelete
  10. mwenzenu alimwandikia e-mail, atasema mie ndio nilikung'ang'ania mkono. sasa nyie wenzangu na mie mtabaki na wajumbe na 'marafiki' wa miss tanzania tu wakati mwenzenu huyoooo...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...