Home
Unlabelled
ashakum si matusi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sielewi lengo la mdau ni kutaka kujua au kufurhisha genge sababu ya jina.
ReplyDeleteKama ni kujua basi mdau acha uvivu. Unge tafuta kwenye mtandao ungejua iko wapi. Hata hivyo nimegoogle kwa niaba yako ponyeza hapa en.wikipedia.org/wiki/List_of_schools_in_Kenya
In short Usenge High School is in the Nyanza Province of Kenya.
hii lazima itakuwa kenya hii, ah ahaha sijui wanasomea fani gani hawa watoto keh!
ReplyDeleteiko bukoba
ReplyDeletehii ipo tukuyu mbeya au mwakareli
ReplyDeletehiii ndiga ishaonekana mitaa ya wachaga ,same
ReplyDeleteanko nanihii taratibu kaka, hii mambo iko kwa baba moi
ReplyDeletehabari wadau wa blog hii...hii shule ya Usenge High School ipo Nyanza Province, Kenya.
ReplyDeleteni shule nzuri sana kwa kufaulu wana.funzi
yani hiyo ni shule ambayo inahusika na hayo mambo nini ? kaaazi kweli kweli:)
ReplyDeletehiyo shule ("usenge" high school) iko katika wilaya ya bondo, mkoani nyanza, nchini kenya.
ReplyDeletekwani unashida hilo jina la kijaluo? hebu jaribu kuwaulize wenyeji wa visiwa vya samoa, maana ya neno "nyaturi" au "dalasini" au "morogoro" au "ubungo" au "chefuchefu" (kichefuchefu).
amini usiamini, watakuzaba kwa makofi, ngumi, mateke na vikapu tele vya matusi.
usisahau kuchunguza majina au maneno fulani ya kijapani ambayo yana maana ya kuaibisha, kuchukiza na yenye matusi kwenye lugha ya kiswahili.
baadhi ya wanafaunzi wa kitanzania wanasomea katika chuo kikuu cha k_ _ _ m_ _ _ (university), na wengine kwenye k_ _ _ m_ _ _ gakuen univerity. (kyushu).
one person's passion is another person's poison.
Hili basi inawezekana liko Tokyo. Majina kama hayo ni ya kawaida kabisa. Cha muhimu usimpeleke mwanao katika shule hiyo
ReplyDeleteHIyo shule iko Bondo Kenya
ReplyDeletenafikiri siyo bongo hii.
ReplyDeleteShule hiyo ipo Kenya, nimecheki kwenye list of schools zilizopo Kenya kwa kupitia wikipedia fungua hapa
ReplyDeletehttp://en.wikipedia.org/wiki/List_of_schools_in_Kenya
Na nenda kwenye list of High Schools, then nenda kwenye herufi H utakutana na USENGE HIGH SCHOOL katika mji wa BONDO inapatikana. Lakini hii niliyoiona ni USENGE BOYS HIGH SCHOOL
MAKULILO, Jr.
www.makulilo.blogspot.com
San Diego, CA
MOMBASA
ReplyDeleteNI SHULE KATIKA BONDO, NCHINI KENYA. MBONA KUNA MAJINA MENGI TU HATA TANZANIA AMBAYO SI YA KUTAJA KABISA. NI MATUSI, MFANO "KUNDUCHI", SIYO TUSI????
ReplyDeleteLAKINI KENYA NAO WANATUMIA MAJINA KAMA VILE HAWAKIJUI KISWAHILI.
KUNA KAMBI YA WAKIMBIZI INAITWA "KAKUMA" KULEKULE KENYA.
jamani inategemea na nchi.kwa mfano kinyarwanda usenge ni kusali
ReplyDeletebora hiyo skuli siku moja regina mwalekwa wa redio one wakati anatangaza matangazo ya vifo alishikwa na kigugumizi cha ghafla akaamua kusoma kwa sauti ya chini habari ziwafikie fulani mboro na ukoo wote wa mboro popote walipo jamani wachaga majina mengine tungeyabadilsha ati mtoto wa kike mara anaitwa mamboro bora mie manka poleni sana kina mamboro wengine wamebadili badala ya ukoo wa mboro wanatumia mbowe
ReplyDeletemiss michuzi
Ni kweli hii shule ipo kule Kenya. Wanafundisha kwelikweli and they're doing great!
ReplyDeletenasiki ni shule mpya ya mapadri kinachozaminiwa na wamarekani
ReplyDeletekifupi huko kenya japo wanaongea kiswahili hawatumii neno hilo kama tunavyolitumia sisi, wao hutumia "SHOGA" au "USHOGA" maneno ambayo na sisi tumeshayaiga sasa.
ReplyDeletenakumbuka miaka ya nyuma wakati wa likizo nilienda mombasa kutembelea jamaa zetu kule, nilienda na album langu wakawa wanananiuliza huyu nani? huyu nani? nikiwajibu huyu shoga yangu,
huyu naye shoga yangu, nikikusudia marafiki zangu wa kike, nilikuwa natolewa mimacho hiyo, wanashangaa waliona mtoto keshaharibika! mpaka akatokea mtu akatuweka sawa tukaelewana ilikuwa kazi kweli kweli.
Sio maandishi tu! Lazima pia tusikilize matamshi sanifu ya wananchi wenyewe!
ReplyDeleteHata ZAMBIA wana majina ya hivyo.Watu wengine wanaitwa Musenge.Lakini sina hakika kuwa High School ya huko ina jina hilo.
ReplyDeleteKUNDU CHI .. Kibororoni. high scool nii tofauti
ReplyDeletejamani hii ni lugha tu, mbona hata tanzania ktk kabila moja ukitamka neno linasikika ni la aibu kutamkwa ktk lugha ya kabila jingine!! kwa mfano ukimwambia msukuma CHUNYA ukimaanisha pale mbeya,yeye anaelewa anapaswa arudishe nyuma ile ngozi nayofunika dhakari kwa wasio tahiriwa. na ukienda mbeya ukasema KINYERO ukiwa umetokea musoma unamaanisha kitoweo,basi mnyakyusa atakuelewa unamaanisha makadi(njia ya haja kubwa). sasa sioni cha ajabu hapa,pia neno MSIMBE kwa watu fulani linamaanisha KAHABA! kwa muhaya neno NYEGELA lina manisha karibu,wakati neno hilo ktk kabila fulani linamaanisha mbegu za kiume, jina MUHINA nilakawaida tanga lakini ktk kabila fulani linamaanisha clitoris.
ReplyDeletekwa hivyo tusishangae sana maana hata ktk tanzania kunasemu unaweza ukitajwa jina lako watu wanatizama chini kwa aibu na wanakosa amani kabisa!mfano mzuri ni wimbo fulani wa kofi olomide.....inauma, mchezaji MUTOMBO, kabumbu=uke n.k
Wadau msishangae sana kuna sehemu nyingine INAITWA KA-KU-MA nchini Kenya(Kakuma)
ReplyDeleteTunaomba mdau atupe maneno aliyotutajia yana maana gani?
KICHEFUCHEFU, NYATURI, MOROGORO, DALASINI ,UBUNGO
Yaani mbele ni 'Usenge High School' na nyuma kwenye mapepe kuna 'God Listens'.
ReplyDeleteHatari lakini salama.
lol! ati kuna chuo kikuu kimoja huko nchini ujapani kinacho julikana - K_MAMOTO UNIVERSITY.
ReplyDeleteanyone hapo juu. same hakuna wachagga
ReplyDeletesame ipo upareni. na upareni hakuna mtaa wa wachagga. kwa masaada tutani,
wapare wapo kuanzia hedaru hadi mwanga. na maeneo yote kuzunguka pare hills.wachagga wapo kuanzia rombo,moshi,hadi wilaya ya hai, na maeneo yote ya kuzunguka mlima kilimanjaro. vinginevyo ningekushauri uwe mtalii utembelee maeneo ya kaskaz ili uyaelewe vizuri.
anyone hapo juu. for your inf same ipo upareni haipo uchaggani. na same hakuna shule ina yoitwa usenge. ngoja ni nikueleweshe vizuri maana inaonekana wewe ni mbumbumbu wa jiografia. Wachagga wapo ktk wilaya tatu yaani moshi,hai na rombo. na maeneo yote yanayozunguka mlima kilimanjaro. ilhali wapare wapo wilaya za same mwanga na maeneo yote kuzunguka pare hills. upoooo?
ReplyDeleteKuna mtu maarufu kule japani
ReplyDeleteKengo Kuma & Associates
http://www.kkaa.co.jp/E/main.htm
Mimi naishi Matombo, ila mzaliwa wa Kigoma tukikutana na jamaa toka kwetu tunatombooka ndani ya Matombo, hata Raisi Kikwete alikuja kututembelea Matombo
ReplyDelete1.Anonymous sunday 18 October 2009 9.00AM na wengineo mbona wachaga wako Mbeya na Tukuyu na Kyela na Kijitonyama (Littlerivermeat kwa kienglish)pale chaga bite na dodoma na kwingine kwingi tu!Nimewaona mwenyewe wapo kweli mangi!Hata pale singida nilipita walikwepo na kule kigoma walikwepo!
ReplyDelete2.Na kule Unguja siyo moja mengi tu kuna Makunduchi.
mbona kuna salamu ya kichagga wanasema NAMTOMBE(nantombe)! kwa wahaya ukitaka kusema mpeleke mgeni akalale wanasema MFWIRE MGENI akalale!ukituma salamu kwenda kule ng'onyi meru mluo ataziba masikio maana hilo ni tusi linalo azia na K. kwa wakurya ukisema MSAGANE inamaanisha yule msichana ambaye haja keketwa,wakati kwa kiswahili inamaanisha muingiliane kimwili watu wa jinsia moja ya kike!MAHUNENKO ni jina la mtu wakati sehemu fulani inamaanisha UTOKO(uchafu wa sehemu za uzazi)
ReplyDeleteJamani haya ni majina tu na msiyatafsiri ile ieleweke tofauti. Kule Arusha kuna nyumba moja ina wapangaji wanne na mmoja wa wapangaji ana mfanyakazi wake wa ndani anaitwa MBULA. Basi huyo mama anapenda sana kutuma kwa hiyo kila saa anamwita MBULA MBULA MBULA basi ukiwa hapo unatamani uondoke au ujifungie ndani. Sasa huyo mama kaambiwa immediately huyo dada abadilishe jina au la atapewa notice ya kuhama. Kibaya zaidi na watoto nao wameanza kuita hilo jina.
ReplyDeleteHilo jina maana yake kwa kichaga ni uchi wa mwanamke.
Mama mwenye nyumba na wapangaji wawili ni wachaga. Kazi kweeeli kweeeli
Lugha za watu zinatofautiana sana, mfano tulienda kwenye mkutano Zimbabwe wakati wa introduction Chairman akajitambulisha anaitwa Tafila, msaidizi wake akajitambulisha anitwa Mukundu... kimoyomoyo wabongo tuliokuwepo tulikua tunavunjika mbavu kimyakimya.
ReplyDeleteMimi nilisomea Usenge High School...inapatikana mkoa wa Nyanza-Kenya..Hapa Kenya na hata labda hapo TZ si kila jina linatokana na kiswahili..na unaposikia majina kama Usenge(jina la kijaluo) au Kakuma zina maana tofauti kabisa na jinsi tunavyoyatafsiri kwa kiswahili. Nimekuwa nikisikia wa TZ wakitumia neno shoga kumaanisha rafiki.Nilishtuka mara ya kwanza kusikia neno hilo likitumiwa hivyo na nikajiuliza mbona hawa ndugu zetu Watanzania wapole wanatumiwa neno kubwa hivyo bila kushtuka.
ReplyDeleteAnyway nimeangukia hi blog kwa kibahati na kitu cha kunifurahisha ni kuona our school bus ikituwakilisha hapo bongo...Ahsante kwa mwenye hii blog..keep up the good work!!
Ziggy
UWIIII! Mbavu sina! LOL! Lakini nadhani waJapani na majina yao yanatia fola zaidi. Kuna ule mji maarufu wa K-moto, na ile jina maarufu, T-K-Chi!
ReplyDeletebora upate elimu haijalishi ni jina gani la shule education baba
ReplyDeleteHuyo Mkenya aliyesomea hapo ameondoa utata, maana wa TZ tumeiona dili kweli, duh. Lakini mimi kwa sababu ya jina lenyewe siwezi kumpeleka mwanangu maana utawaambia watu mwanao anasoma shule gani?
ReplyDeleteDuh nimecheka sana. Mi nilishangaa 2010 nikiwa Kisumu Kenya naenda Busia njiani kuna miji midogo inaitwa Usenge, Sidindi. Alafu 2011 nikiwa Voi kuna daladala inatoka Voi kwenda Mbololo. Na kuna duka la vitabu Nairobi linaitwa Jamba.
ReplyDelete