Home
Unlabelled
benet na george weah wa liberia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
yule dada ni Shyrose banji.
ReplyDeleteNamuona Abdallah Majura Nyuma Ya Anko nanihii.
ReplyDeleteWatano kutoka kulia nyuma ya Weah ni Aboubakar Lyongo, wa nyuma yako kaka Michuzi ni Abdallah Majura na kulia kwako ni Shyrose Bhanji. Du kumbe huyu dada ni wa siku nyingi kwenye fani maana wakati ule mie kabla sijaacha uandishi nilikuwa nakutana nae sana maelezo nikawa nafikiri labda sio mwandishi wa siku nyingi. RESPECT SIS SHYROSE.
ReplyDeleteWengine nawajua kwa sura majina yao nimeyasahau nadhani wadau wengine watasaidia. Bro Michu unaonekana ulikuwa very smart toka zamani Keep It Up.
Naona Shy Rose Bhanji na Abubakar Liongo
ReplyDeleteNyuma ya Weah kushoto sio Liongo yule?
ReplyDeleteNyuma ni Aboubakar Liongo na Abdalah Majura wakati huo wakiwa RTD. Sasa Liongo yuko DW-Radio, Ujerumani na Majura yuko BBC-London. Mbele alichuchumaa ni Jabir Idrissa wakati huo akiwa gazetu la Uhuru sasa yuko Mwanahalisi
ReplyDeleteShy-Rose, Majura, Michuzi nyuma ya Weah ni Liongo. Ila jamani kweli generation inabadilika watu zamani walikuwa na sura mbaya hebu semeni wenyewe
ReplyDeleteHivi Miss Bhanji akiangalia picha hii na ile ya vakesheni yake kule anasemaje
ReplyDeleteAliekuwa ameshikwa begani na George Weah ni marehemu Francis Lucas nadhani, alikuwa mpiga picha wa habari pia katibu mwenezi wa Yanga, sinauhakika sana,
ReplyDeletehahaaaa namuona juma pinto hapo du watu wanabadilika kishenzi.
ReplyDeletembona Juma Pinto (kulia) hamkumtaja? au mmemsahau yule mwenye gazeti la Jambo?
ReplyDeleteJaffarai alikuwa amekwisha zaliwa hapo?
ReplyDeleteAnko michu... kumbe una sura mbaya sana kaka,bora uje huku ubebe box...shwaini wewe
ReplyDeleteSomeni ya juu kwanza Juma pinto hakutajwa sababu jamaa kasema anamjuwa Juma Pinto wengine tajeni nyie.
ReplyDeletebaada ya juma pinto anayefuata ni jerry koto mtoto wa tmk kwa wajanja.
ReplyDeleteMdau USA!
jaffarai alikuwa na mwaka mmoja wakati picha hiyo ikipigwa.
ReplyDelete