Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe akikata utepe kuzindua cheti kipya cha kuzaliwa, jijini Dar leo. Anayeshuhudia ni Katibu Mkuu wa wa wizara hiyo, Oliver Mhaiki. Cheti hicho kimetengenezwa kwa utaalamu wa hali ya juu kudhibiti kanyaboya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. Utaalamu wa Hali ya Juu??

    Ni upi hapo wakati naona bado ni
    "gazeti" lile lile la Mzalendo!!

    Wakitengeneza "Electronic Birth
    Certificate Card" hapo ndo tuite
    utaamu.. Watu wanatengeneza pesa
    fake ndo ije kuwa hilo Gazeti??

    ACHA MASIHARA MICHUZI.. hiyo ni deal tu printing imetengenezwa watu wapate pesa za Kampeni.

    ReplyDelete
  2. Tatizo sio Cheti kiko katika form gani bali ni culture ya rushwa iliyoshamiri katika jamii .

    ReplyDelete
  3. Hapo hapo vizazi na vifo ndipo hapo hapo vyeti vya kuzaliwa vinapouzwa. Hiyo ni 2+2-4=? jibu mnalo wadau

    ReplyDelete
  4. haya kaka michuzi tuulizie taratibu za kupata vyeti vipya tufanye nini turudishe vya zamani tupewe vipya??????

    au vitapatikana kwa dili kama passport bila mlango wa nyuma hupati????????

    na kwanini wasitoe na vitamburisho vya uraia kabisa kwani ni kazi kubwa kutengeneza????????

    mbona nchi zote duniani zina vitamburisho vya uraia vimetengenezwa kwa kadi za prastic

    hata huko zenji kuna vitamburisho vyao vimeandikwa kitamburisho cha uzanzibar

    haya twendeni tu labda tutafika.

    mdau wa mahakama kuu ya dunia.

    ReplyDelete
  5. Eti utaalamu wa hali ya juu ili kuzibiti kanyaboya hao wenyewe makanyaboya tusubili tuone

    ReplyDelete
  6. anacheza njia ya kudhibiti vyeti feki ni kuifadhi vizuri kumbukumbu.

    ReplyDelete
  7. Inamaanisha vile tulivyonavyo havifai tena au ndo nini?

    ReplyDelete
  8. Kwa mbogo wa karne ya 21 'utaalamu wa hali ya juu' ni kuandikwa kwa kingereza tu. basi kwake amemaliza!!!!! ulimbukeni mtupu.
    labda kama wanatengenezewa watu wa Dar tu ambao ndio wanahua ung'eng'e. asilimia 80 ya wabongo wako vijijni na lugha wanayojua ni kiswahili
    Hicho cheti kilipaswa kuwa na lugha mbili kama zilivyo pasipoti.
    nina paspti yangu hapa na ina "surname/jina la ukoo"; "nationality/utaifa" nk

    ReplyDelete
  9. MIMI NATAFURA MAKARATASI SIJUI NITAPATJE,ET JAMANI KUNA MDADA HAPA WA WATANZANIA WA KUOA MAANA NA NDOTO ZA KUSHI TANZANIA.SASA HICHO CHETI MBONA ITAKUWA NGUMU KUOMBA KAZI WAJAMINI.
    Desparete for makaratsi-rwandese

    ReplyDelete
  10. we mdau wa mahakama kuu ya dunia sio kitamburisho ni kitambulisho! L L L L hii ndiyo L L L ipo kama mkwaju L L L
    mwalimu wa a e i o u

    ReplyDelete
  11. We Anon wa 11.29.00am Mdau wa mahakama kubwa kuliko zote ulimwengu sio hakimu yeye.pale ni korokoroni tu kwahio kukosea L kuwa R usishangae msamehe kwa makosa hayo si dhani kama atarudia tena manake kule naona ana ongea Dutch sana kuliko kiswahili amepitiwa msamehe manake umekuwa kama mwalimu wa upee ama

    ReplyDelete
  12. NA WEWE MDAU WA 04:37 NI KWAHIYO SIYO KWAHIO, NI KUPITIWA TU.

    ReplyDelete
  13. Nadhani sahihi mngesema sasa vyeti vya kuzaliwa ni vya lugha ya kiingereza tu, sio eti 'vya utalaam wa hali ya juu' hapo mtaeleweka.

    ReplyDelete
  14. WATU HAGUSHI VYETI HUWA WANANUNUWA VYETI HALALI TOKA KWA MAOFISA HUSIKA SO THERE IS NO PANACEA UNTIL YOU CURB CORRUPTION AND THAT WILL BE A MEDICINE FOR ALL EVILS. DAWA NI KUIKABILI RUSHWA NA SI VINGINEVYO KWANI NIMEONA WATU WENGI WAKINUNUWA VYETI HALALI NA PASSPORT HALALI TOKA OFISI HUSIKA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...