Jumuiya ya Watanzania Wanaoishi Nchini Japani (Tanzanite Society) inakukaribisha katika Disco la kuwachangia Bw Abuu na Bi Tatu ambao walipatwa na janga la nyumba yao kuungua moto wiki chache zilizopita.
Disco hili takayofanyika katika ukumbi wa Tropican Pub (zamani Taitec-Area51, simu: 0476-78-0560) ulio karibu na kituo cha train cha Sagamino (Sotetsu line) siku ya Jumapili ya tarehe 11 mwezi wa 10, 2009.
Mheshimiwa Kaimu Balozi atakuwa mgeni rasmi siku hiyo.
Katika shughuli hiyo Dj mzoefu Pembe aka Dj Zee atawapatia Watanzania na wahudhuriaji wengine muziki safi wa aina mbali mbali. Kingilio: 1500Yen.
Tafadhali ukipata taarifa hii mtaarifu na mwenzio. Kwa maelezo zaidi kuhusu shughuli hii tafadhali wasiliana nasi simu zifuatazoo:
080-3097-5744,
080-3458-8786
Ahsanteni na karibuni sana
Uongozi wa Jumuiya
what happened on this one? feedback please
ReplyDelete