Home
Unlabelled
JK katika hepi besdei, ugeni na baraza la mawaziri
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
happy B`DAY mr president!!for ever JK.
ReplyDeleteJamani makochi hayo ya ikulu yamechakaa. Tokea enzi ya mchonga nini? Halafu huo ukuta ni matofali au? Madhari sio nzuri kabisa
ReplyDeletemama yetu salma basi hata busu kumpa hubby wake? na watoto wameshindwa kumpa baba yao "bear hugs" ni wanamwogopa au? manake JK anaonyesha ni mtu ambae unaweza kuchat nae bila ya kuogopa. enewei kwa umri aliofika anaonekana bado ni kijana sana, michu raisi wetu anakula nini? manake angekuwa mtu mwingine ni angekuwa kachoka kabisaaaaaa au ndio hizo safari za kila leo anapata kupumzika sana.
ReplyDeleteHappy B'Day our President
afu raisi wetu ana mke huyu huyu hana mwingine?? au ndio huyu leo kavua vitenge? sielewi hebu nifahamisheni. nakumbuka raisi wetu mwinyi alikuwa nao wawili, sasa je JK
ReplyDeleteMakochi hayo yanaonyesha wanachezea watoto. Si unaona watoto bado wadogo,watoto wadogo kama kawaida yao wanarukaruka sana kwenye makochi. Nyumba nyingi zenye watoto wadogo makochi yanachoka tu.
ReplyDeleteJK hongera kwa 59. Nakutakia Afya njema.
Pambana na mafisaidi. Watanzania wanakutegemea wewe uwaandalie mazingira mazuri ya kufanya kazi ili kuinua kiwango cha maisha yao.
Kheri ya sikukuu yako ya kuzaliwa, JK!Mh, lakini hao watoto kama wajukuu vile. Teh, teh, teh, mzee mzima!
ReplyDeleteCongraturation our President ! happy birthday to you and to your family (Tanzanian family )baba akila keki anaakikisha wato wake wameshiba ubwabwa!pita mitaani njaa kali baba......kuhusu picha na watoto haiko presentable kuwekwa kwenye media maana picha ya raisi inabidi kufanyiwa kazi before publication isije ikaleta mtazamo mwingine kwa audience..huu ni ushauri wa bure as Journalist ,maana hii blog inaangaliwa na watu wenyewe mitazamo tofauti......
ReplyDeleteIn general happy birthday to you!
Mtu wa safari...
mbona simuoni Bwana Mohammed hapo
ReplyDelete