Home
Unlabelled
mashindano ya uvuvi ya vodacom yafana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
KISIWA CHA SINDA KIPO NCHI GANI. (SERIOUS)
ReplyDeleteWalikuwa na kibali cha uvuvi?
ReplyDeleteWatoto wakibongo wako wapi?
ReplyDeleteNdio maana wavuvi haramu walikuwa wanavua upande wa Tz. Bado tuna hazina kubwa sana baharini
ReplyDeletewewe mtoa maoni Tarehe Mon Oct 05, 04:14:00 PM acha uvivu hapa hebu google hicho kisiwa upate habari.
ReplyDeleteThis is cruelty against Animals! Shame on you those wazungu. They should catch and toss back in the ocean!
ReplyDeleteWanapelewa wazungu kuvua, wangepeleka wazee wa gezaulole waone ni kiasi gani cha samaki kingepatikana. na vimitumbwi vyao vya kulalia upande lakini wanapata samaki kibao sembuse wangetumia hayo maboti ya kisasa.
ReplyDeletekaka trio dar yatch club ni members tu na asilimia kubwa ni wazungu ndo sababu huoni watoto wa kimatumbi ni hayo tu by the way hata wewe unaweza kuwa memba mshiko wako tu
ReplyDeleteNaunga mkono maoni ya Mobit.. kuwa wangevua hao samaki, wakawapiga picha kisha wawarudishe baharini.. huwa naangalia documentary za "National Geography" .. ndivyo huwa inafanyika katika nchi mbalimbali.. na si kuwavua na kuwaua.. nadhani idara ya uvuvi wanatakiwa kutoa angalizo hili.....
ReplyDeleteHii Yatch Club ipo tangu enzi za mkoloni na kuwa mwanachama ilikuwa lazima uwe na 'yatch'.
ReplyDeleteMarehemu Mzee Mwakitwange alikuwa mojawapo wa ma-'member' hivyo wapo waswahili wenye interest/ hobby ya 'angling' na 'yatching' ambao ni wanachama.
Pia hao samaki baadae huwa 'barbeque' safi, yaani 'ndafu' kwa wanachama ktk klabu yao hivyo hakuna haja ya lawama ya ukatili wa wanyama, hicho ni kitoweo.
Tanzania tuna vivutio kibao vya watalii na wakazi wa Tanzania kupumzikia, ila tu wabongo hatuna interest ya kuvichangamkia.
Michuzi hizo picha za Bilila Kempinski Serengeti na masuala ya 'yatching and angling' ktk pwani ya bahari ya Dar-es-Salaam ni kielelezo Bongo ni tambarare.
HIVI SISI WABONGO TUMELAANIWA NINI? MBONA WAVIVU WA KUFIKIRI NA KUFANYA TAFITI?? UVUVI WA AINA HII UMEPIGWA MARUFUKU NCHI NYINGIIII SIE NDIO KWANZAAAA TUNARUHUSU!
ReplyDeleteWatanzania tuache kuigiza, ooh National Geography documentary' hutupa au kurudisha samaki majini.
ReplyDeleteSisi hatuchezei chakula ndio maana samaki hao wataliwa na member wa Yatch Club na mahotelini.
Mbona Japan wanaendelea kuvua nyangumi kwa faida zao za kiuchumi.
Na Watanzania tuendeleze kuvitangaza vivutio hivi kwa ajili ya utalii na chakula bora.
Gail Saltz.