The show is on. and it is now the most loved catwalk, beach wear, Dar cannot get hotter than 29 girls on stage with the hot custumes!
follow it up by


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. WASUKUMA OYEEEEE
    MAMBO YA ROCK CITY HAYO

    ReplyDelete
  2. hongera miss mwanza unastahili kilicho bora mamiss wa dar poleni sana na tabia zenu mbaya zimechangia mkose taji ni vizuri zaidi likienda mikoani mtie akili manake huwa mkishinda mnajionaga keki sana na kuanza ufuska mara tu mnapovua taji mnaipaka matope hii fani hasa nyinyi mamiss wa hapo dar mkizani nyie ndo warembo bora sasa imekula kwenu miaka miwili mfululizo safi sana hongereni hukoooo rocky city
    miss michuzi - canada

    ReplyDelete
  3. Mh,Mkuu wa libeneke
    Hivi furture ya hawa warembo ni nini?Je,wanaendelezwa ki-elimu ili maisha yao baadaye yawe tambarare.Ni kitu gani muhimu hawa mabinti wa kitanzania wanachozawadiwa ukiondoa mshindi wa kwanza ambacho kitawapatia maisha bora mbeleni.Mimi kwa maoni yangu finyu naona hawa watoto wanatumiwa tu,sidhani kama wanaelewa ama kueleweshwa what next.Halafu mkuu kwanini sehemu kubwa ya glob yetu inatumika kutangaza mashindano ya warembo?Ukipata nafasi mkuu tunaomba tupatie taarifa zingine kama mauaji ya maalbino ili ku-balance news.Othewise tunashukuru kwa kutuhabarisha hasa sisi tulio upande wa pili wa bahari.Lengo ni kutofautiana tu wa wewe na siyo kupinga kazi nzuri unayoifanya.

    ReplyDelete
  4. hoyce temu, jackline ntuyabaliwe, anjela damas, happness magese, hiyo ndy ilikua miss TZ ya ukweli na seriuos,cos hao mamiss nliowataja hawana skendo za kijinga, wanajiheshimu na ni watu wanaojua nn wanachofanya, na angalia leo hii wako wapi kila 1anafanya shughuli mhm, but tokea hapo ni uozo na kuuza sura, miss anachaguliwa siku inayofata anaanza na skendo hd anamaliza term yk.

    ReplyDelete
  5. Ni wa brown kiasi hiki au ni kamera?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...