Liverpool's woes continue as they let in an injury-time goal in a 2-1 Champions League defeat to French side Lyon.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 28 mpaka sasa

  1. Nou Camp nako kuna kilio. Wametandikwa Kirusi.

    ReplyDelete
  2. nshimimana aka dumisaneOctober 21, 2009

    Bwana Michuzi,

    mimi nimepiga makelele sana hapa kuhusu Liverpool ila sijui ni kwanini watu hawaelewi..

    Sasa, kilichobakia ni kuwaachia TRUE fans ili waanze ku-coup Mechi. Ujue fans wakiacha kuingia kiwanjani nadhani Management watafikiria vizuri.

    Tukiangalia upande wa ushambulia utakubaliana na mimi kwamba Mspaniola aka 'mzee wa mapande' Alonso hatunaye tena. Mungu ametoa na Mungu ametwaa!?

    Sasa amebaki Gerrard yuko mwenyewe pale na hakuna mtu wa kutumbiza Mipira ili Gerrard amalizie..

    Mimi ningependa kuandika Barua ya wazi kwa Benitez kumtaka kwamba, kama angeweza kum-train sentaaf (center half kwa ung'eng'e) ili awe anatoa mapande kwa Steven aka Stevie!?

    Ujue, Benitez akikaa chini na sentaaf akamwonyesha KWENYE video za Training au Mechi zilizopita nini Alonso alikuwa anafanya tutaanza kushinda tena.

    kwanini Benitez asiwe mshapu na kumweka mtu dedicate kwa ajili ya kudondosha mipira kwa Stevie lakini!? !? !?.. yaani hata copy and paste. kwanini wasiangalie walikuwa wanashindaje alafu una-copy. kwanini lakini jamani!?

    ..Alwatan!

    = = =
    Buffalo (Karibia na Tube Station hapa Liverpool)
    New York

    ReplyDelete
  3. Rafa must go, people keep defending him and blaming the yanks but the truth is he has had 5 years to build this team, yet it's still very heavily dependent on 2 players!! It's simply not good enough. It's not so much the loss but the manner in which we lost this game and the Sunderland game; no effort, the whole team was lackluster in it's performance, no leadership, no cohesion! I never thougth i'd say those words in the same sentence as Liverpool...we are bigger than any one person..Bye Bye Rafa and thanks for the memories ..You'll never walk alone...ohh and take Lucas on your way out.

    Frustrated Bwawa la Maini fan

    ReplyDelete
  4. Rafa in dire situation.I think he will get fired if he loses next Man u encounter.
    They keep on conceding goals from set pieces and corners and they are the only team in premiership normally put no players on both posts to defend unexpected balls.
    They place too much reliance on Gerard,kuyt,Tores.on event they are unavailable,the team is hopeless.
    Rafa must have sleepless nights and it is going to hurt,i feel it for him mate.
    He is going to think of chasing shadows next Man u game.
    I am an Arsenal fun..'In wenger I trust'

    mdau uk

    ReplyDelete
  5. Big up Lyno!

    ReplyDelete
  6. Bwana la Maini vipi tena, yaani mara ya nne mfululizo kushindwa mechi hizi za champion League!?

    Bwawa la Maini haijawahi kuanza vibaya namna hii ktk kipindi cha miaka 20 iliyopita, kulikoni?

    Haya wikiendi hii mnakumbana na ManUTD, ndo mpo njiani kuachia bodi la 'big four' wa England premier league?

    Yaani maswali kibao, ngoja nikalale.

    Mdau
    Gerard.

    ReplyDelete
  7. US-Blogger)
    Wadau, Bagamoyo mimi nimewekeza Dolla $4million. Mashaka hajawekeza chochote. Ki elimu, mimi nimesoma Oxfrod nina PhD ya Economics mashaka hana PhD kasomea Mzumbe ndo maana hajui anayoyasema

    Mshahara wangu kwa mwaka ni $millioni 3. USD$ 3,000,000.00 mashaka kwa taarifa nilizonazo ni kwamba yeye ni Middle Investment Banker au Financial Analyst wa Kati. Njaa ndo inayomsumbua, hana lolote

    Kwanza anakaa kwenye kiti kila siku akiuza Dhamana na kuadniak mikataba, na Mshahara kima cha juu sana ni $280,000 kwa watu wanaofanya hizo kazi. Akipata Bonus basi ni $400,000 kwa mwaka.

    Mimi nimemzidi mara 2000 kwa mapato kwa hiyo asilete hapa mambo ya kujidai na Wall-Street yake. Wangapi kwani wanafanya kazi Wall-Street na hawanaga kelele kama zake za kuiskosoa serikali yetu tukufu? Sisi tunaipenda Dola

    Nimewekeza Pale Mbezi Beach Dola $10,000,000 na Bagamoyo $4,000,000yeye kawekeza wapi? hakuna popote kwa hiyo mashaka hawezi kabisa kuje hapa kushindana na mimi.

    Kikubwa nachotaka mashaka ni kupata Uwaziri au mkuu wa maswala ya Fedha, lakini nitamuandikia kikwete asimpe kazi kabisa.Abaki huku huko Marekani, wakata kama mashaka wakipewa Madaraka wanaigeuka Serikali na kuanza kuwa watumwa wa wazungu

    Mashaka hacha kuniogopa, kama una aikili unavyodai, basi njoo tujadiliane kwenye TBC-Bongo Radio Bado wanasubiri Majibu yako. Kama unataka kuja Tanzania, nitakupa ka lifti kwenye Private Jet yangu hadi Tanzania, kadhalika nitakulipa $1million uli umalizie umasikini wako.

    Na chief of staff wako Dr. Shayo nitampa $250,000. January Makamba nitampa $100,000 kwa hiyo jitayarishe hacha kuniogopa kama wewe kweli ni interlectual.

    Hon. Dr. US-Blogger
    Alumni Oxford University
    Economics Department

    ReplyDelete
  8. Mi naona kimsingi Liverpool tunahitaji maombi ya dhati,maana nahisi kama tunagundu vile...C juzi juzi tu hapa tumetoka kufungwa na puto na leo tena....Ila kwa upande mwingine hata Kocha wetu Benitez ana mapungufu yake...Kimsingi ni hayo tu wanabwawa la maini wenzangu...Inauma kwa kweli...Cjapokea cmu tangu game ya Chelsea mpaka leo...

    ReplyDelete
  9. Na bado Jumapili!Maama weee!Tunawapa kitamu kulipa kisasi cha msimu uliopita!

    ReplyDelete
  10. Mwana huu mnalo, naona Bwawa limekauka maini na sasa limejaa matope ama mapafu kabisa .... bwa hahahahahahahahahahahahhahahhahaha! Michuzi heri uhamie Sunderland ... ama Tawi lako la Tanzania nianze mipango ya kusaka kamati ya ufundi ili iende kumsaidia Bwana Rafa Bana Matezi.

    ReplyDelete
  11. Poleni sana wazee wa bwawa la maini! Du, Five losses in a row, how nice?

    Mithupu, Dr Liki na wengine, take it easy. Hii ndio soka. Matatizo ni kuunda timu kutegemea pesa za wamiliki ambao kwa hali inavoonekana wamefulia!

    ReplyDelete
  12. TUENDE MBELE NA KUSIMAMA HAPO HAPO,BWAWA LA MAINI LIMEINGIA LUBA,HAKIKA SIKU YA KUFA NYANI MITI YOTE HUTELEZA.

    ReplyDelete
  13. bwana asifiwe mr misupu, i mean salam araku, pole sana kwa kukandamizwa kwa mara nyingine, na mwaka huu mtakoma, naomba usibane mmatumbwi mwenzangu

    ReplyDelete
  14. wadau wenzangu wa bwawa la maini tuna nini jamani? Mwaka huu ndio tumefulia au ni upepo tu unapita? Na mechi mbili zijazo tutatoka kweli manake tunakutana na visiki Man utd j2 na arsenal wiki inayofuata. Lakini u'll never walk alone tushikamane until the last breath! Mungu ibariki mainibwawa(liverpool)!

    ReplyDelete
  15. Tatizo walijikamua sana msimu ulipita halafu hawakubakisha hata kidogo nguvu za msimu huu!!!!!

    ....Hahaha sorry for the kopites...

    ReplyDelete
  16. kimbiza haooooooooooo kudadadeki

    wamefuliaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
    michu poleeee ila ndo hivyo tena mnyime unyumba mama mwambie unahasira sana na hutaki bugudha kwasasa!!

    teh teh teh

    ReplyDelete
  17. Kaka roho inauma sasa tutafanyaje na mtoto kanyea mkono....Tusubiri jumapili tu tuone Busara za RAFA.

    ReplyDelete
  18. hii ni team ya watu wawili tu, dats is very bad of liverfool,next weekend ngoma inakuwa 50-50, win five, lose five, duh, kali sana hiyo.
    polen wadau,

    ReplyDelete
  19. hivi nyie mnaosema RAFA aondoke mnajua timu inadaiwa na management wameshindwa kulipa madeni... sasa kwa taarifa yenu haondoki kwani akiondoka itabidi wamlipe kwa kuvunja mkataba... tuvumiliane tu kila timu italia kwa wakati wake, ni muda tu ukifika liver wataanza kucheka wengine wataanza kulia.

    "IN WENGER WE TRUST"

    ReplyDelete
  20. bado naona kuna matatizo na huyo beki wetu Carragher. kazeeka sana. anafanya makosa mengi siku hizi. nimemfurahia huyo dogo aliyecheza nafasi ya Johnson. kanifurahisha.

    kiungo bado ni tatizo na Banitez haoni hilo. kimbinu anaonekana hana jipya. mbinu zote ni za zamani.

    ushauri wangu; atumie vijana zaidi badala ya vijeba

    ReplyDelete
  21. na msipoangalia jumapili mnakunywa zaidi ya bao 4. kama hamtaweka pembeni frustration kuanzia kwa mashabiki, kocha hadi wachezaji.

    ReplyDelete
  22. Mwanameekaaa eeeeeh, Mwanameka jirani yangu, ...........

    ReplyDelete
  23. Kocha alishajengewa mazingira ya kuishi kwa amani lakini tayari mdudu alishawahi kabla. NI KUVULIA HATA KAMA MWELEKEO NI ALIJOJO,CHA MUHIMU NI KULINDA HADHI YA TIMU KWANI SI INAJULIKANA KAMA BWAWA LA MAINI NI KATI YA THE BIG 4.

    ReplyDelete
  24. Wanachama na wapenzi wa bwawa la maini wote poleni,pili kama alivyosema mchangiaji mmoja hapo juu kuwa kila mtu atalia kwa wakati wake,lakini ndugu zangu vilio vimetafautiana,siye wana wa DARAJANI tunakilio chetu lakini wenzetu hapana msiba mzito,maana ligi ya hapa ndiyo hivyo tena ,wiki iliyopita PEPE REINA kadaka BALOON badala ya mpira,kabla ya hapo MLIKUJA DARAJANI TUKAWADUNGUA mbili MTUNGI,jana tena LYON kawafanya ASUSA, kazi kwenu yaleyale ya mwaka 2006! kaka mkuu wa wilaya ya nanii angalia maradhi ya MOYO!? shauri yako.

    ReplyDelete
  25. kwanini alimtoa gerrad mapema ????au aliumia nn??

    ReplyDelete
  26. bwawa la maini limeingia figoooooooooooooooo

    ReplyDelete
  27. haya maogonjwa mengine yakujitakia, mkiambiwa shabikieni nyumbani mnaanza kelele 'ooh mpira wa bongo fitini, ooh bongo hamna mpira' sasa sijui mkeo nae akishindwa gemu utasema nyumbani hakuna gemu!! wewe mpira wa kuangalia baa kila siku nao mpira? utamu wa boli ushuke shamba la bibi full kujiachia!!

    ReplyDelete
  28. safi sanaaaa nyambafu na bado

    hahahahaaaaaa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...