Home
Unlabelled
profesa sarungi ampongeza mama maria nyerere
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mheshimiwa Kaka Nanihii tunaomba kwa Ihsani yako ututolee coverage ya Sheikhe Sharifu ambaye inadaiwa na baadhi ya globu kuwa ameritadi(ameokoka) amekanusha habari hiyo habari hii inachanganya watu sana .Tafadhali tunaomba ututolee hapa kwa ihsani yako Muheshimiwa.Tunaomba namba yako ili tukufuate uweke usahihi wake humu globuni(Tunaiamini blogu yako kaka)
ReplyDeleteAsante
Ustaz Mwinula
hii ni kumwongezea jina nyerere, wamesahau huyu jamaa aliuwa demokrasia tanzania, nyerere alikuwa mfalme asiyekuwa na katiba, ingekuwa bora awe mtemi wa wazanaki sio tanzania nzima, bado tunahangaika na sera zake!!!!
ReplyDeletewewe anony hapo juu,alicho kifanya nyerere hutakaa ukielewe undani wake hadi hapo utakapo kuwa na uondokane na mtizamo wako wa kiganjani ndipo utaelewa!
ReplyDeletekwa taarifa yako hadi sasa zaidi ya 85% ya watanzania hawajui nin wanahitaji,si ktk ngazi ya familia tu bali hata ktk ngazi ya taifa.je unategemea wakati nyerere anaingia madarakani hali ilikuwaje?huwezi kujenga msingi wa nyumba juu ya majani au kujenga nyumba unayo tarajia ktk msingi usiofahamu aliye ujenga alikuwa na malengo ya kujenga nyumba ya quality gani.
wengi wanaropoka sana lakini hata ukiwapa leo hii kundi la raia milioni moja tu ili waliongoze kwa miaka 10 tuone mabadiliko ya maisha yao hawataweza kufanya hilo na huu ni mwaka 2009,je 1961 ni aje?si ku challenge sana ila kwa mtu mwenye busara hakwepi kuutizama ukweli,na mara nyingi majibu unayoweza kudhani ni magumu sana yanaweza kuwa ni mepesi kuliko udhaniavyo ikiwa tu utalitazama swali hilo tokea pande tofauti!kumbuka ukiwa nje ya uwanja mchezo ni rahisi sana,ila ukiwa unaufukuza mpira au riadha,mtu aliye kutangulia kwa sentimeta 10 unaweza kumaliza energy yako yote kutaka umpite na usiweze tangu mwanzo hadi mwisho!walatin wanasema unicuique sunt vitia suarum virtutum!!kila mmoja anasaliti mapungufu yake mwenyewe. kwa mfano wewe ukiwa mzalendo umefanya nini kwa nchi yako?basi najua utaanza kulaume wengine kuwa ndio chanzo,lakini je wewe umefanya nini basi hata pale mtaani unakoishi?
mdau*****
Ama kweli watanzania hamna shukrani, Huyu mzee wa watu (JKN RIP)alipokua anaingia madarakani alikuta nchi haina wasomi, engineers walikuwa 8 na madaktali 2 nchi nzima, Hawa naongelea wazaleondo. Nchi haikuwa na viwanda miundo mbinu ndo hakuna kabisa, alisomesha wananchi wake bure toka elimu ya msingi mpaka chuo kikuu. Leo mnamuona mchinga, Haya niambieni haya MAFISADI yenu yamefanya nini ? na yote yalisomeshwa bure kipindi cha mwalimu
ReplyDeleteit does not matter, elimu ya bure? tulikuwa tunakwenda kulima shamba la shule kila siku, tunalimishwa siku nzima juani bila hata kunywa maji. umesahau kukariri nguzo za tanu, imani za tanu. kwa taarifa yako jumba la ccm dodoma ilikuwa kila biashara hata wauza maharage sokoni walitoa shilingi mia tano ili kulipia ujenzi wake,sisi watoto wa shule za msingi tulipelekwa kuchimba mitaro ya msingi wake. alipofisadi uchaguzi wa mwaka 1980, i never look back, left bongo for good, now i just come to visit kila mwaka, nashangaa hawa jamaa wataamka lini?
ReplyDeletemichuzi kweli natoka nje ya majaa ya picha hii lakin hata na mimi pia nataka kujua kama ni kweli huyu sheikh shariff karitad please kama una habari hii tueleze please.
ReplyDeletena na muunga mkono sana aliyetoa madaa at 5:41 pm umesema kweli tupu na umepiga msumari wa moto kwenye fullstop yako.
kweli kama mzalendo umefanya nini wewe ndugu yangu mtanzania uliye nje au ndani ya nchi basi hata mtaani kwenu umeshindwa kuleta maendeleo ya jamii yako?
nakupa big up na heko mdau wewe wa 5:41