Home
Unlabelled
tanzania stars
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Duuhh hapa kazi ipoo,maana mimi hapa nimewamanya wawili tuu.Maalim Gurumo na Hayati Marijani Rajabu waliofatana upande huu wakulia.
ReplyDeleteNamuona mzee Mwalimu Gurumo kulia kabisa inaonesha kipindi hiko alikuwa muitikiaji tu. Sasa ndio manager wa msondo ngoma.
ReplyDeleteNamimi naongezea wa kwanza kulia ni mjomba Muhidin maalim Ngurumo aka kamanda
ReplyDeletemwenye shati la kitenge sio Fresh Jumbe enzi za sikinde!
ReplyDeleteYaani enzi za Mwalimu bwana!
ReplyDeleteYaani MAIKI zilikuwa za KUSHEA! Si unacheki hapo Gulumo anangoja Marijani amalize na yeye atumie Maiki hiyo hiyo. Halafu hao kulia kwa Marijani pia wanashea maiki.
Siku hizi maiki za kumwaga tu.
Khaa! Kweli tumetoka mbali
"usipowajibika ole wakooo!"
ReplyDeleteDo! Enzi zile jamani !kulikuwa mziki sio mchezo,hapo Muhidin Gurumo alikuwa yupo yupo tu,na sauti yake ya ubabe ubabe,marehem Marijan Rajabu mwana Manyema ndie alikuwa jogoo la mjini.
ReplyDeleteNamuona Gurumo kulia, anafuatia marijani Jabali, nyuma ya Jabali nadhani ni Max Bushoke, halafu anafuatia Nana Njige mtoto mzuri ambae anaimba pamoja na Zahir ali Zorro (mwenye miwani ya juwa).
ReplyDeleteKulia kwa Zahir ni Fresh Jumbe wakati huo akiwa bado kinda lakini matata sana. Anaemfuatia Jumbe ni Rahma Shally aliyekuwa muimbaji wa mwenge jazi, halafu wa pili toka kushoto ni mwanajeshi wa bendi ya mwenge Jazz PASSELEPA Mabruki. Wa mwisho kushoto simuoni vizuri sijui ni nani huyo. Hizi zilikuwa ni enzi za mzee rukhsa Mwinyi na si enzi za mwalimu. Nakumbuka niliwakuta pale mbowe wakila tizi chini ya Jabali ambe ndie aliekuwa kiongozi wao. Enzi hizo muziki ulikuwepo bwana si mchezo...we acha tu.
Ni mwaka 1986 walipomkabidhi fagio la chuma Ali Hasan Mwinyi
ReplyDeleteTena hii bendi pia walikuwepo wahindi wale kina yunus VARDA ARTS. Mbona hapa siwaoni?.
ReplyDelete