Tanzanian Khanga, designed by Tanzanian Belinda,
made it to Hollywood's Emmy Awards celebrations on Sunday, Sept. 20th' 2009





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 20 mpaka sasa

  1. na pia ilimake a worst dress of that day

    ReplyDelete
  2. Hapo sioni Utanzania wowote zaidi ya Obama = USA.

    ReplyDelete
  3. Niiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiice

    ReplyDelete
  4. SAFI SANA YANI WAMATUMBI TUNAANZA KUTESA KILA KONA NA WATU KUANZA KUVAA VITU VYETU!!HATA KAMA HAINA PICHA YA TANZANIA CHA MSINGI VAZI LENYEWE LINAASILI YA WAPI!!KAMA NYINYI MNAVYOOVAA KABOKA ZAO!!HAZIJAANDIKWA TANGAZO AMA PICHA WAPI ZINATOKA ILA ZINAJULIKANA KUWA MNAAIGA YANI WATUMWA.

    TUNAITAJI POINT

    ReplyDelete
  5. Wadau wengine wako negative kweli.

    Soko la Marekani lilivyo kubwa kama vazi la kanga lingepata umaarufu wa kutosha viwanda vya nguo nchini vingeshindwa vyenyewe. Wakulima wangefaidika na pamba yao. Hatua ya kwanza ya kupata umaarufu ni exposure kama hiyo. Sio kila mtu atapenda lakini sio kila mtu atachukia. Big up kwa mdau aliyefanikisha kufikisha kanga viwanja hivyo.

    ReplyDelete
  6. tukiwaambia kuwa ubunifu upo mnakataa!! khanga sio vazi la tanzania pekee, ni vazi ambalo lilibuniwa pwani ya afrika ya mashariki likasambaa bara, na linaendelea kusambaa maeneo mbalimbali ya dunia na kuchukua mitindo mbalimbali kila kuchapo. ni kitu cha kujivunia kuwa utamaduni wetu unasambaa na kukubalika na kufanyiwa design mbali mbali kama sisi tunavyopokea hizo za ulaya na kuzifanyia ubunifu wa kusadifu mazingira na maonjo yetu!!! huu ndio utandawazi.

    ReplyDelete
  7. ingieni google halafu type Emmys Worst dressed 2009

    ReplyDelete
  8. Victoria Rowell is mixed race, (Black & White) but she really appreciates her African heritage! You go girl! Asante and thanks for advertising our country, Tanzania.

    ReplyDelete
  9. I will have to say, any publicity is good publicity.

    ReplyDelete
  10. Haikuwa worst dress kwa shauri ya ubaya la hasha ni kwa sabu waUSA hawajazoea mavazi ya namna hiyo!

    ReplyDelete
  11. ni kweli hata mie nilisikia ilikua the worst dress of that day. loh lakini tusikate tamaa wana holywood huko mturepresent

    ReplyDelete
  12. huyo dada alikandiwa vibaya vazi gani hilo mhh kibongo hata sio hivyo.

    ReplyDelete
  13. hiyo khanga wengi walichukia kwa vile kulikuwa na picha ya obama ndio lilikuwahasa tatizo kubwa kuwa yeye anampigia kampeni wakati muda umeisha ndio maana ilikuwa worst dress otherwise mi nimependa na kwakweli ameitangaza tanzania hila kwa vile sisi watz ndio kazi yetu kuponda atujui jema hata angevaa ikawa na maandishi ya kibongo bado tungeponda yaani mi naipenda tanzania hila watu wake tu wengi wao kila KITU NI KUPONDA TU nafikiri michuzi km kawaida yetu tumtafute mtaalamu kutoka ulaya au india aje tz kwa mambo yafuatayo
    1.kuangalia udongo wetu unamatatizo gani?hasa kwa kila kizazi kinachozaliwa kuanzia uhuru mpaka leo una athari gani kwenye UBONGO wetu
    2.aeneshe warsha,semina,matamasha km yale ya ukimwi hili wantanzia wawe wazalendo na nchi yao hata kwa kile kidogo
    3.wasomi wengi waliopo nje waje kutoa michango yao kuwa kwa watanzania tunatakiwa kuishije? maana wao kila kitu kwao kuponda tuuuuuuuuuuuuu?
    michuzi naomba kaka uitoe hii please

    ReplyDelete
  14. pekua hadi namba kumi na tisa.


    http://television.aol.com/emmys/photos/best-worst

    ReplyDelete
  15. Kanga yenyewe ilikuwa nzuri na inastahiki kupongezwa kwa kupaa katika hafla za kimataifa, lakini mtindo ulisakamwa dunia nzima. Ni bora kama wanataka kuitangaza kanga waitangaze kama inavyovaliwa na kushonwa na wavaa kanga.

    ReplyDelete
  16. wao wamesema worst kulingana na bei ya vazi na designer gani..khanga haina designer na bei karibu na bure..wao kukandia sio shida, sisi wabongo twajua thamni ya khanga ati..

    ReplyDelete
  17. Huyo sio kwamba anaiadvertise khanga.....anamuENDORSE OBAMA!!!!hata ingekuwa material nyingine as long as imewekwa picha ya Obama yeye angevaa..... ukute hata hajui kama inaitwa KHANGA......

    ReplyDelete
  18. Kwa hiyo kwa vile kuna mtu huko ng'ambo amesema ilikuwa 'worst dress' basi na sisi wabongo tunaona ilikuwa worst dress? Hizo ndio fikra zetu huru? Binafsi hilo vazi sina tatizo nalo kabisa, hata nikimwona dada yangu amelivaa popote nitaona burudani tu.
    Aliyeiona hiyo kwamba ilikuwa ni worst dress alitoa maoni yake kwa vigezo anavyovijua yeye. Vigezo hivyo yawezekana ni kuwa haikuwa Gucci, Versace na majina mengine waliyozoea. Vilevile vazi hilo halikuanika mapaja na nyonyo za mvaaji.
    Nina hakika wabongo waliopo ughaibuni wakivaa mavazi ya namna hiyo baada ya siku chache waliosema ilikuwa worst dress wataanza kujenga hoja za kuonyesha kwamba kumbe sio mbaya kiasi hicho...na kumpa sifa huyo dada kwa kueneza fasheni.

    ReplyDelete
  19. Someni maoni ya wadau wa magharibi kuhusu 'worst dress'. http://www.huffingtonpost.com/2009/09/20/emmys-worst-dressed-2009_n_292924.html?slidenumber=0#slide_image

    ReplyDelete
  20. Nakumbuka Rais George Bsuh aliporudi USA na kuwasimulia kuhusu ziara yake Tanzania, pia alivutiwa na Kanga zilizokuwa na picha yake, ambavyo kama kawaida ya kanga picha au urembo ktk kanga hukaa sehemu ya makalio ya mvaaji.

    Rais Bush alikunwa sana na jambo hili jipya ambalo alikuwa halifahamu kuhusu 'uvaaji wa Kanga' picha au marembo kuwa 'makalioni', hivyo akauliza kwa kunong'oneza na alijibiwa kuwa asiwe na wasiwasi hiyo ni sehemu ya maadhimisho, kumbukumbu , makaribisho na heshima kubwa kwa mgeni(www.youtube.com/george bush tanzania).

    Hivyo si bure hata Hollywood wameipata meseji juu ya 'uvaaji wa kanga'

    Mdau
    San Francisco.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...