
ANGALIZO. Hiyo si "tatoo", ni maandishi juu ya picha. Picha kwa hisani ya
Hasheem Thabeet, usiku wa kuamkia leo alifungua pazia la kushiriki mechi ya kwanza ya ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani NBA pale alipoichezea timu yake ya Memphis Grizzlies dhidi ya Washington Wizards katika mechi ya kwanza kati ya mapambano ya kujipima nguvu kabla ya kuanza rasmi kwa msimu wa 64 wa ligi ya NBA utakaoanza rasmi Oktoba 27 2009 na kumalizika Aprili 14 2010.
Katika mechi hiyo ambayo Wizards walishinda 101-92, Hasheem alionekana kufanya vema kwa kuweza kufunga pointi 6 na kuzuia mitupo 4 ndani ya dakika 15. Huu si mwanzo m'baya kwa Hasheem ambaye alikuwa chaguo la pili kwa thamani katika draft ya NBA na sasa ameanza ngwe nyingine ya UCHEZAJI WA KULIPWA katika mpira wa kikapu.
Kila la kheri Hasheem
"www.changamotoyetu.blogspot.com"
Hasheem Thabeet(notes), the 7-foot-3 inch center out of Connecticut who was taken with the No. 2 overall pick, is raw.
ReplyDeleteThat was the knock against him leading up to the NBA Draft, and it was pretty clear to anyone who saw the new Grizzlies' center play in summer league action.
He's long, lean, muscular and raw.
But a 57-raw? Really, 2K Sports?
It appears so.
According to The Daily Thunder (via Tas Melas' Twitter account), Thabeet's "NBA 2K10" video game player rating is a miserable 57 overall.
To put that rating in perspective, Derrick Brown(notes) got a 69 overall, Sam Young(notes) a 67, Chase Budinger(notes) a 65 and Danny Green(notes) a 64. All four of those rookie forwards were second round picks.
Then again, as "The Real 2K Insider" points out, Thab got the same rating given to Charlotte Bobcats center DaSagana Diop, which might mean he's the only rookie that wasn't overrated in the game.
That's what Grizzlies fans are hoping for, anyway.
*****
By the way, did anyone out there pick up copies of "NBA Live 10" or "NBA 2K10" yesterday? Should I ditch my classic NES' "Double Dribble" game for either of 'em? Let me know in the comments, gamers. Cheers
NBA sio lele mama...... Tulio USA ndio tunajua...
ReplyDeleteana chance ya kuimprove, lakini inabidi ajifue. Mwaka huu best rookie ni Dejuan Blair, na nilisema the kid have talent. Jana amepiga double double.....
CCM fanya kazi yako rinda uhuru waraia wako......
ReplyDeleteKEEP IT UP
ReplyDeleteall the best
ReplyDeletewaswahili mmemtia nuksi mie naona arudi nyumbani afanyiwe "KAFARA LA NGUVU" halafu arudi kufanya vitu vyake. Na pia ulaya huku mambo ya kutudharau sie watu wa africa ni yako sana so ategemee kuangushwa kila mara ila kama wazungu wanavyosema "let your haters be your motivators"
ReplyDeletegood luck bro hash
kwa kweli ni mtanzania mwenzetu,tunafurahi sana, kwani atapeperusha bendera ya nchi yetu, na tunamtakia kila la kheri....ila tuu ajifue....NBA sio lele mama....all the best bro.
ReplyDelete