Following the success of the Queen Night, The St George's Society are proud to announce another big screen concert featuring the inimitable Tina Turner.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Wow!!! an old Diva, the legend coming home innit?

    ReplyDelete
  2. Michuzi bwana kwa kachumbari? Eti fulani kashashinda ngumi kabla hazijapigwa? Ngumi leo saa tatu usiku we unaandika saa sita na nusu mchana kua fulani kashashinda? Au umekua Sheikh Yahya sasa?

    ReplyDelete
  3. ningekuwa bongo lazima ningeenda kumuona.. nani kamleta huyu kusaga nini? manake hao ndio watu wanaofanya vitu vyao bongo. wenzetu hawazeeki, cheki miguu ya huyu bibi.

    ReplyDelete
  4. BIG SCREEN CONCERT!!! I WONDER IF SHE WILL BE THERE.. TANGAZO NI UTATA MTUPU.
    MZOZAJI

    ReplyDelete
  5. Jamani hili tangazo lime kaa kitapeli sana, haiwezekani Tina Turner alivyo legendary star afanye show hapo Sweet easy ambapo hata Lady JD akifanya show hapo ni hapatoshi.
    Pili kiingiloa hicho kidogo sana yaani sitegemei kiingilio hicho (watu watakua wengi sana)na eti kuna snac za bure , jamani mbona mna mdhalilisha huyo TIna?.

    Hebu kuweni serious , mnapo leta wasanii wakubwa jaribuni kutupa venue ambazo ziko na nafasi kuliko kutujaza jamani.

    Au sija elewa? nimeona hapo chini ni big screen concert inamana sio kama TIna anakuja TZ ni kwamba concert yake itaonyesha kwenye big screen au?

    ReplyDelete
  6. Hii ni kamba kwa wala vumbi wasiomjua Tina ni nani,sio bongo flava huyo...na wala hawezi kuja kupiga TZ kwa ajiri ya pesa labda charity!

    ReplyDelete
  7. Jamani wadau nisaidieni kunielewesha kama nitakuwa nimeelewa sivyo ni kwamba sio "Tina anakuja hapa ila ni concert ya watu/mtu wataojifananisha na Tina, pia hata hapo kwenye tanganzo neno live limekatwa hivyo sio kwamba Tina yu aja TZ.it is a Tina look alike thing nee!

    ReplyDelete
  8. MBONA JAMANI HII IMEKAA KIWIZIWIZI..."TINA LOOK ALIKE"...BIG SCREEN...PLZ COME CLEAR...

    ReplyDelete
  9. jamani jamani yasije yakawa ya voda na kofi olomide we haya weee... a diva like this kimya kimya tuuu ... mtaniambia

    ReplyDelete
  10. ukame huu nunueni ticket muone cha mtemakuni! ITS A JOKEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...