Home
Unlabelled
iddi janguo amwaga lazi dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
VERY CLASS! HIVI HUYU IDD JANGUO NILIMFAHAMU ZAMANI SANA NDIE ALIYEMUOA AZIZA MADATI AU?
ReplyDeleteyeah ndo mwenyewe mzee wa totoz! Babake alikua Bandari walitesa sana kipindi kile cha Mzee Rukhsa! Naona bado yuko juu jamaa! holla!
ReplyDeleteMichuzi umependeza ndani ya limo we acha tu bongo !
ReplyDeleteduh michuzi unameremeta humo ndani unaonekana msafiiiiiii uko juu kama hilo limo
ReplyDeleteMdau wa kwanza,Iddi hajamuoa Aziza Madati bwana,walibwagana kitamboooooooooo.
ReplyDeleteHapo ukipiga lesi mara moja tu ujuwe lita moja ya wese imeondoka kwa kifupi kanunua jini hilo.
ReplyDeleteHuyu Idd mkewe si anaitwa Nadhifa chamali? au sio huyu?
ReplyDeletehuyu idd mkewe si Nadhifa chamali?au sio huyu?
ReplyDeletemdogo wake na Iddy ndiyo alikuwa anatoka na miss Madati
ReplyDeleteHivi left hand bado zinaruhusiwa Bongo au kwa vile mtoto wa who is who? usibane hii Michuzi
ReplyDeletekwa wenzetu kule majuu gari hii is used to service those who have crossed to the second world. Can you dare Michuzi to avail this comment? I cannot hire it i\even for free I swear
ReplyDeletemie nakumbuka hirizi tu.
ReplyDeleteMzaramo huyu anamatusi ya Kwao Mwanarumango.
ReplyDeleteAnko sio URODA ni UDORA
ReplyDeleteDu kuna watu wana jelasi Noma umelazimishwa ukakodishe ???? ukiwa na uwezo wakuvuta mchuma kama huo wese kwako sio bajeti unamwaga tu Mpigieni salute tu kapiga Bao si mchezo
ReplyDeletewabobongo wana roho mbaya jamani kaaaa, hapo wanataongea manegativu weee na wengine wanataka kuharibu ndoa ya jamaa
ReplyDeleteWatoto hawa wamezaliwa wameikuta pesa, maana baba mjasiriamali, mama mjasiriamali, na watoto hawakujibweteka. Watoto wengine waliojibweteka wazazi wao walikuwa matawi ya juu sasa hivi wanajuta an wamekwisharost.
ReplyDeleteKama biashara ipo na wateja wapo kwanini asilete limo akajiingizia pesa zake? Si watu wenyewe wanataka kwenye maharusi na magraduation yao! Sasa tabu iwapi, kama suala la mafuta hilo si tatizo linaingizwa kwenye bei ya kukodi.
Hii kweli ni BUY ONE GET ONE FREE. mtu kauliza kama ni yule iddi aliemuo AZIZA mwingine anajibu eti ooh mtu wa totoz hata kama ni mtu wa totoz si yeye.
ReplyDeletehivi hao wanaomkanda wote wako nje hao, wanatumind tuliokuwa bongo tuliowini njooni bongo acheni kuosha vyombo huko, iddi umepiga bao, wazee wa upanga magnet - house balm beach twakupa saluti, kamua mwanetu
ReplyDeleteHili ndo kanunua baada ya kula mshiko wa bima ya lililoungua hapo juu???ufisadi bongo hautaisha....tambarareeee.
ReplyDeleteMICHUZI UTANISAMEHE... wadau wabeba maboxi bado wana mambo ya kitotoo sana kuuliza alikuwa anamchukua na nani, kamuoa nani, babake alikuja, mara hirizi hayoyote yametoka wapi??? Mpeni hongera kijana wa Janguo kwa ujasiriamali wake
ReplyDeleteJamani yule saidi janguo yuko wapi? mbona yeye hasikiki? kafulia nini?! hebu michu siku moja tuwekee tumuone mpaka tushamsahau!
ReplyDeleteWatu bwana Mnawekewa Picha za Limo Ili mpeleke Harusi zenu mnaanza Majungu Mengine Mazaramo Juu. Watoto wa Kisarawe Na Dar hapa hapa sio Kuja leo.
ReplyDeleteBIMA ya lile liloungua imefanya kazi.
ReplyDeleteWaBongo wana akili jamani! Khaah!
mmh, afadhali ngazi-ngazi leo imefuliwa!
ReplyDeleteWabongo wana geere, mwaongelea wese, mwataka gari ile nini? tafuteni magari yanayokula chips basi. Bali angeingiza trekta 100 angekuwa amefanya jambo bora kwa mlala hoi. Hapo kawatengenezea wenye nazo, wanaopenda kutembea wamekaa.
ReplyDeleteJamani hawa watu wanapata wapi pesa za kununulia magari kama haya?
ReplyDeleteMichu sidhani kama Chevy kristal ndio model yake, hiyo kristal ni dealership.
ReplyDeletewe anon hapo juu kwenda zako kule hiyo ni jelaz tu inakusumbua sijui gari used point ushuzz tu hiyo gari hata ukiirudisha ulaya bado na hakika watapanda macelebrity acha kujidai unajua mambo ya ulaya kuliko wenye nchi zao utabaki kuwa na donge hadi ufe na roho ya kwa nini nilijua mtasema huwa hamkosagi neno na roho zenu nzito wakija kina jay z watayapanda tu sembuse wewe kajamba nani kweli gunia la misumari halibebeki
ReplyDeleteAnaonekana alianza kuchoka kidogo. Au naye alikuwa juu ya mawe baada ya limo lake kuungua?
ReplyDeleteHongera bwana Idd. Penye nie pana njia.
Not bad for mtoto wa Kizaramo from MSANGA...
ReplyDeletemkwe MWARABU tick
Fluss za kubadili mboga tick
Kidi...tick
kibanda cha kuishi..tick
gari refu tick
Haya ndio mambo tunayotaka kwa WAZARAMO
KWA WALE AMBAO TUNGEPENDA KUKODI'S KWA SHEREHE NI VIZURI PIA TUNGEJUA TRA TIN NAMBA ILI TUWE NA UHAKIKA HATUINGII KWENYE BIASHARA ISIYOLIPIWA USHURU.
ReplyDeleteWIVU! WIVU! WIVU! WIVU! JAMANI TUACHE WIVU!!!!!!
ReplyDeleteWewe michuzi hamna chevy crystal hiyo crystal ni jina la dealership lakini hicho kitu kinaitwa chevy Tahoe baba ake kwa mwaka is more likely 99 lakini haijalishi maana africa kila kitu kutoka mtoni ni mupya.
ReplyDeleteWatu mijalusi na ntimanyongo imewajaa mtakufa na vijiba vya roho si na nyie mtafute biashara zenu. Yaani ni mazengwe tuu kila kitu mnaponda. Unaeuliza TIN namba si uende mwenyewe TRA ukaangalie unataka nani akufanyie hiyo kazi. Kama hutaki kukodi yako mabaloon kibao kakodishe.
ReplyDeleteHIVI JAMANI, WAHINDI NAO WANAPIGANA MADONGO HIVI?
ReplyDeleteNAFIKIRI KITU CHA MSINGI, NI KUWA NA WIVU WA KIMAENDELEO, KAMA IDDI AMEFIKA HAPA, JE MIMI NIFANYE NINI KUMKARIBIA, AU HATA KUWA ZAIDI YAKE?
WE SHOULD REGARD HIM AS A ROLE MODEL, FOR OUR OWN BENEFIT.
KUWA MTOTO WA KIGOGO, AU KUKULIA KWENYE FWEZA, SIO LAZIMA NAYE AWENAZO, NI JITIHADA ZA MTU BINAFSI.
90% YA MILLIONAIRES/BILLIONAIRES IN THE WORL, ARE SELF MADE, HAWAKURITHI.
ANYWAY: I LIKE THE CARE, IT'S WOW!!!! NAFIKIRI TRA WAMEISHA KAMATA KODI ZAO VIZURI, WELL DONE DOGO KWA KUCHANGIA UCHUMI WA JK
Mzee wa BUGATI
Uliye Uliza Saidi Janguo yuko wapi Mie huyu Jamaa simjui sana ila Iddi Sindio Said? Said kwa kifupi Wabongo tunatumia Iddi Jamaa Kaamuwa mashallah Sasa kama mtu haonekani ndio kafulia mtu asioonekana Bora kuliko anayejionesha Kwenye masehemu Bora kukimbia Husada na Macho kuliko kuyatafuta. Inshallah Jamaa yatamfungulia mazuri zaidi na kila mtu wa humu Blog. Kondo.
ReplyDeleteMisupu, mtindo wa kuweka Miguu juu ya meza unaniudhi wewe! Gari yangu mi ikija hupandi kha!
ReplyDeleteAcha ushamba, achana na Michuzi, hilo ni bomba la kunin'ginizia miguu.
ReplyDeleteMimi napenda kuuliza swala moja tu. Watanzania wanafanya kazi saa ngapi? Tunaelewa kuwa wadau wengi wa Bongo hawana uwezo wa kununua PC kwa hivyo wanategemea internet cafe. Tumieni muda wenu kujenga taifa lenu, sio kukaa tu na umbea na roho ya korosho. Angekuwa mzungu kaleta gari hapo, mngemkimbilia. Kama huna uwezo, kaa kimwa, waache wenye uwezo watanue. Hata Mungu hapendi Umbea.
ReplyDeleteTuache kujali jirani amepata wapi pesa za kutanua. Anza kujali kwa nini wewe uko arosto kuliko mwenzako na utafanya nini ili ujiendeleze. Nenda nchi yoyote nje ya Tanzania, hutakuta watu wengi wamekaa mitaani saa za kazi, ni nchi yetu tu wananchi ni wavivu. Kwa nini lakini?
misupu ilo dole mkono wa kulia apo ndo nini?pozi,una kilema,holla au
ReplyDeletehahhahaaaa unapenda raha we mwanaume?
HIVI KWANINI WATANZANIA TUKIAMBIWA TUPUNGUZIWE BEI NA RISITI USIPEWE TUNAFURAHI? KWANINI HATUPENDI KUNUNUA VITU KWA BEI HALISI ILI TUPATE RISITI AMBAYO ITATHIBITISHA ULIPAJI WA KODI? KUNUNUA KITU UKADAI RISITI NAO NI WIVU? NI SISI WENYEWE TUNAOPENDA KULALAMA TUNAPOKOSA HUDUMA ZA KIJAMII KUTOKANA NA SISI WENYEWE KUPENDA SANA KUKWEPA KODI NA HASA WAFANYABIASHARA TOFAUTI NA WAAJIRIWA. WANAODAI KUWA NI WIVU NI HAOHAO WANAOWASIFU WAUZA UNGA KUWA NI WAFANYABIASHARA MAARUFU. bila kulipa kodi wewe si raia mwema.
ReplyDelete