Michuzi please watahadharishe wadau wanaopenda kunukua limo zisizo na vipuri ndani ya jiji la DSM Magari marefu yamekuwa yakiingia kwa kasi jijini .Mengi hayana spare mitaanai hivyo kuwekya spares za kubahatisha. Miezi kadhaa niliona hili limo likiwa limeungua kabisa mitaa ya Mikocheni,spare za kubahatisha zilichemka.
Limo nyingi sasa hivi zimepotea mitaani.
Mdau Lole wa Lole



kwa taarifa tu: mdau Lole wa Lole na wadau ni kwamba hilo ndilo lillilokuwa limo la kwanza la iddi janguo ambalo lilishika moto mapema mwaka huu maeneo ya Mikocheni Coca Cola jijini Dar. nimeongea naye kasema spea zipo kibao na kwake si taabu kuagiza nje na kwamba si kweli kwamba lilishika moto kwa sababu hiyo, bali ni hitilafu ya wayaring...
-Michuzi


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 18 mpaka sasa

  1. HAYA MAGARI NI YA HALALI????AU ???

    ReplyDelete
  2. SPEA FEKI ZINAMAANISHA HATA WIRES ZA KUFANYIA WAYARING...MBONA MNALETA ZA KULETA, HAMNA SPEA HAMAN SPEA

    ReplyDelete
  3. Iddi,

    Kashaanza shughuli zake za Houston ... Nadhani wale walioko Houston watanielewa !

    ReplyDelete
  4. Jamani mna uhakika na yaliyotokea ni kweli ? Usilolijua ni usiku wa kiza !!

    ReplyDelete
  5. Mie simjui huyo Iddi Janguo lakini huyo mdau aliyetuma hii picha inaonesha amefurahia sana kuungua kwa hilo gari... kuwepo kwa vipuli au kama havipo yeye inamuhusu nini? mtu akiagiza gari si anajua vipuri atapata wapi? jamani mbona mnaroho ndogo hivyo????

    ReplyDelete
  6. ANKO!

    Inaonekana uko a bit biased. Hii habari ya kuungua kwa hili Limo na contents za maandiko yako na yale ya Iddi yana utata mkubwa.

    Kama gari liliungua mwanzoni mwa mwaka 2009 kwa nini hiyo takataka isitolewe hapo? majigambo ya spea sijui nini, sisi hayatuhusu.

    PLEASE KEEP DAR CLEAN.

    ReplyDelete
  7. Bro Michu, ahsante kwa kutufahamisha
    Lole wa Lole

    ReplyDelete
  8. MICHUZI HIYO HABARI ULIYOIPOST KUWAJIBU WADAU IMEKAA KIMBEA MBEA SANA HEBU JARIBU KUTUMIA USTAARABU KIDOGO UNAPOTAKA KUJIBU HOJA ZA WATU, YAANI UMEONYESHA UMELALA SANA UPANDE WA JANGUO NA KUKEBEHI WADAU WENGINE MWEH. UKIPENDA KUPOST POST TU UKIWEKA KAPUNI MESEJI IMEKUFIKIA

    ReplyDelete
  9. Sasa Bwana Michuzi hiyo miwaya ya Kichina si ndo spear zenyewe tunazozungumzia? Au huyo mwenzetu Janguo anaelewaje juu ya suala la Spear? Pili, gereji za vichochoroni plus Chinese spears = fire. Hii ni formula nakupa wewe na wadau wengine muitunze.

    ReplyDelete
  10. Toeni junk hiyo barabarani, au bongo hamna junk yard nini?

    ReplyDelete
  11. Mungu atamsaidia Inshaalah!

    ReplyDelete
  12. Halafu usawa insuaransi ikalipa watu wakanunua jipya, sasa hilo jipya likiwaka kweli we Iddi sijui utasemaje!

    ReplyDelete
  13. Iddi Pole sana nategemea na hii recession ulijiweka sawa afu naona umekuwa mkubwa sana, yaani sasa hivi ni muda mrefu tokea nikuone wakati tuko wote oysterbay. nilivyoona picha yako chini nimeona kama ninamwona mzee wako naona mko kopi right.

    nakutakia kila la heri.

    mdau US

    ReplyDelete
  14. kuna stika za fire siku hizi
    akuweka nini,

    ReplyDelete
  15. kila mtu na akili yake ya maisha...
    na goal zake pia..eg;Tegeta ya leo sio ile ya kiwanja Laki,
    hata wanunue Chopper atajua atakavo itumia.....

    ReplyDelete
  16. Lawd have mercy on this boy!!! A'int nobody ignant or dumb not to smell an insurance scam. All I say to this boy is, " If u do the crime be ready to do the time." U got lucky once and u used all ur lifelines.

    ReplyDelete
  17. Wajameni ni SPARE au KIPURI mwe!

    ReplyDelete
  18. Iddi sio wa kukosa sper za gari kama ilo...ana ndugu 9 wanaoishi houston si wanamletea bule.sema idd umeama kutangaza jina twanga pepeta sasa unakuja kwa misupu.
    mdau money uk.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...