Mama Salma Kikwete(katikati) akiwa na Mke wa Rais wa Zambia mama Thandiwe Banda (kushoto) pamoja na mke wa Rais mstaafu wa awamu ya tatu mama Anna Mkapa wakishiriki mkutano mkuu wa mwaka wa kimataifa wa Taasisi ya Utepe Mweupe leo jijini Dar. Mkutano huo unaowashirikisha wanachama kutoka nchi zaidi ya 20 pamoja na mambo mengine unajadili uzazi salama kwa wanawake na njia bora za kupunguza vifo vya wanawake wakati wa kujifungua

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...