

ofisi za utawala enzi za biashara ya watumwa
anko alitembelea kambi ya kisura wa tanzania pale kiromo resort, kama kilomita 10 kabla ya kuingia bagamoyo na kukutana na supa modo emmy anayefanya umodo sauzi ila sasa yuko bongo kusimamia kambi hiyo. habari zake zote BOFYA HAPA

mkuu wa wilaya mota imeisha chaji ndio umeenda kuchaji,kwa nyepesi 2lizonazo ni kua umeonekana kwa dr.kafulia mganga maarufu pale b'moyo.
ReplyDeleteMichu umenikumbusha, nilishafika hapo, kuna kaburi la Sharifu na kisima kisichokauka, wanadai maji yake ni ya baraka. Basi tulipofika hapo wacha watu wajimwagie maji na kunywa eti wapate baraka.
ReplyDeleteAnko hivi T shirt hiyo ya pundamilia unazo ngapi? What is the secret behind maana ingekuwa inalalamika tungekuwa tumesikia ikipiga kelele. Hata hivyo inakupendeza. I like T Shirt lakini design mbalimbali!
ReplyDeleteMzee wa Vakesheni, hiyo kazi yako ya Vakesheni naona ni nzuri na inalipa! niunganishie na mimi niweze kuwa naenda Vakesheni kila wiki katika kila nchi! si mchezo.
ReplyDeleteAminia!
Anko safari hii si vekesheni maana Kaole napajua hapo kwa vitu vyake, tuambie ukweli, tena umevaa na T-shirt ile ile uloambiwa usiiache!!Haya anko enjoy your time!
ReplyDeleteMichuzi ehee
ReplyDeletePicha ya kwanza jamaa hapa Mombasa naona wameipenda sana. Mashallaa!!
WATU WA MOMBASA WAMEIPENDA HIYO PICHA?
ReplyDeleteKAMA KWELI MICHUZI HII NI BLAA TUPU KAA CHONJO KAKA
konozzz
ReplyDeleteAnko Nanihii Kwa Kweli Kama kuna watu wanapenda Fulana zao basi wewe unaongoza,maana hii fulana yako Tangu nilipofahamishwa kuhusu Blog Ya Jamii mwaka 2007 naona bado unayo tu.Hongera Anko Kwa utunzaji mzuri wa mali zako.
ReplyDeleteMKUU, HAPO KAOLE KUNA MGANGA MAMA MMOJA WA MAKAMO ANA TITI MOJA NA MGUU MMOJA TENA UNA TENDE. HUYO KIBOKO NDUGU YANGU. KA NDO UMEMFUATA MAMBO YAKO NAJUA YATAKUWA SUPER, VIJIVAKESHENI HAVITAKUPIGA CHENGA NA WABAYA WATAZIMWA KA KIBATARI.
ReplyDelete