kama kawaida magari yatokayo Dar yalikuta kuna foleni ndefu sehemu ya ajali ambapo Lori lililodondoka katikati ya barabara na kuziba njia katika kijiji cha kwenkulu wilayani handeni ktk barbar kuu iendayo arusha
Lori la kijani lilijaribu kuinua bila mafanikio
Likaja kiboko yake Lori la TANESCO ndio likaliinua na kulitoa barbarani
mwishowe lilisalim amri na kuinuka na safari zikaanza kama kawa.
hakuna aliyeumia na bidhaa yote ya matairi ilibaki salama
Picha na KAM wa Globu ya Jamii






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mi nilisema. Mwisho wa Mwaka huu MAAJALI sana.
    Mkanibishia. Si mnaona?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...