Nawatakia wachaga wote maandalizi
mema ya x-mas tukutane MOSHI kuhesabiwa.

Salamu zangu za x-mas natuma kwa:
Maruwa, nkya, kiwia, Mawalla, masawe, mangi, mushi, Mosha,manka, Keku, Shirima, lyimo, Ngowi,Lyatuu,Temba,Munuo,Mmary,Kirumbuyo, Tarimo, Mbonika,Maleko,Mselle,Sillayo,Male,Mlay,Lauwo,Tairo,Mrosso,Shoo,Maeda,
Swai,Mauki,Shayo,Kimaro,Soka,Mkenda,makundi,Mangesho,Tilya,
Mamuya,Kinabo,Mlay, Mtei, Ulomi,Njau, Sirili, Matteru, Minja na Macha, ndanshau, temu, merinyo bila kusahau na watani zetu waparis

Ujumbe wangu ni ....tudumishe mila zetu..........

Mdau Mangi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 45 mpaka sasa

  1. michuizi upooo juuu yanai umetugusa kinoma yani hapo ni ku add more kitochi and nothing else mama anaandaa machalari nyumbani tupo juuu

    ReplyDelete
  2. YAANI MICHUZI NDIYO NINI BWANA, UMENITAMANISHA KUTAKATA TICKET YA NDEGE NIKJE HOME HARAKA.NAPENDA MILA ZETU BWANA, MBEGE HASA HAPO UJAWEKA MACHALARI NA SUBU YA MBUSI! THANX FOR THAT. MDAU UK.

    ReplyDelete
  3. Unatujazia mannzi tu wewe, kama ndo hivyo siuende radio tanzania kabisa shwaini wa kilalacha wewe.
    Mnyamwezi

    ReplyDelete
  4. Chrsimas imefika msimu wa kula Wali Kilimanjaro...sasa sala kila Jumapili Mapadri lazima wamalizie na "Twamsukuru Munguuu kwa Kutupa Mcheleee"

    ReplyDelete
  5. michuzi kwel umetutaja wachaga
    wote Aika mbee,aika sana mim ni macha

    ReplyDelete
  6. Uncle na mimi nazituma kwa wachagga wangu,Marealle,Chuwa, Asey na Urrasa

    ReplyDelete
  7. kyeeeeeleeuwiiiii!!!! michuzi umetoa wapipicha ya babu yangu!!! mbuta!!!

    hapo kakosekana mzee masawe nadhani alikuwa anachoma nyama!

    ReplyDelete
  8. Yes wachaga tupo juu tuna wakilisha nchi ya tanzania tukiwa ma majirani zetu wa masai lol....ni nyama choma na mbege kwakweda mbele eeeeeeeeeeee

    ReplyDelete
  9. dah mdau umenikuna sanaaaaaa! nesindiso saaa? rida mmbeee, rida kintu nawee! .... ina raha yake kinoma inanikumbusha kibosho nyumbani nikitoka nje pale afrikana bar wazee wanakuita ... ewe muna, ochooo uidikire!..

    Mukure

    ReplyDelete
  10. mzee michuzi ninashukuru sana kwa kuweka mambo kama haya,umenikumbusha zile mile zetu za kichaga kipindi kama hichi ningekuwa nyumbani ningekuwa nikiweka mambo sawa kabla ya kuelekea migombani sanya juu top,tukarie tu mbeke kwa wingi tukisheherekea noeli kwa raha zetu, kuna mama mmoja anapika mbege huku east london(forest gate) itabidi nikamcheki,mbege kwa afya. heri ya noel kwa wote

    ReplyDelete
  11. nashangaa umesahahu kuwataja massawe na lema.

    ReplyDelete
  12. naona umesahau kina ngowi, kessy, kisamo

    ReplyDelete
  13. Mdau mbona umesaha kumpa salamu Mboroo?

    ReplyDelete
  14. Hizi salaam zina upendeleo.. zimeruka familia ya kina MBORO!

    ReplyDelete
  15. AIKAMBE, MEKU TUNAPANDISHA HUKO TAREHE 21/12/09.

    ReplyDelete
  16. Wachagga tuko juu!!

    hapo akama wanaambiana,ria mekku,inyi ngikundi enda lambana na mka ulya mchaaa,aole matulu cha kiki....aahahh a ahahah
    wale wa sengia,kibo hotel,ngaruma..mbuta,sia mono amma

    ReplyDelete
  17. uncle i send em greeting 2 my wachaggas meena,moshi,urasa,kihiyo,urio,mareale,sia,babuu,

    ReplyDelete
  18. Asante kwa salam zimefika ila mimi nawasalimia ukoo wote wa Kileo cha kwa nsando,pale kijiji cha Kashashi,sanya juu- Hai.Nawatakia xmas njema.Mdau Canada.

    ReplyDelete
  19. na akina Kombe wamesahaulika jaminiiii.

    ReplyDelete
  20. Aikambe Michuzi.Thats so nice 1 unity,1 tribe.Chagga 4 life.u 4got mwanga,Lema but ol in ol thanks so much n mostly welcome

    ReplyDelete
  21. JAMANI NYUMBANI NI NYUMBANI.JAMANI YAANI NINGEKUWA KARIBU NA MIE NINGEENDA MOSHI KUNYWA MBEGE,NIMEIMISS,SHALOLA MBATA ITO SHIKEPATA KIWEWE DENYI.WACHAGA NAWATAKIENI X-NJEMA NA MWAKA MPYA UJAO UWE MWEMA KWENU PAMOJA NA WOTE.OSHOO RIYA KAUPATA EKA NEWE!@!!

    ReplyDelete
  22. kweli kaka michu umejiatahidi sana kuorodheah Koo mbalimbali hata mimi ni Macha!

    ReplyDelete
  23. ohhh I'm proud of this,nimekumbuka sana Moshi,lol natamani ningekuwepo huko nihesabiwe na mie,na kuria mbege,hahaaaaa,wachagga tupo juuuuuu!!!!chagga girl from United State.

    ReplyDelete
  24. Aisee hii picha nadhani kuna mtu ni jamaa wa KDC ameitoa hapa ni KDC moshi kwajuu kuna kisehemu wazee wa KDC huendaga kupata kitochi. Huyu mmoja ni mzee wetu gerson enzi za uhai wake. Mwengine ni rafiki yake mkubwa. Sijamwona ndugu yake mzee kiwia wa KDC aikambee meku!!!!

    ReplyDelete
  25. Dunia kijiji! Hayo maeneo kwa chini kidogo kuna shule ya Msingi jina - Kilaremo ambapo nilianza kujifunza kuhesabu kwa kutumia vijiti na mifuniko ya visoda!Pumziko la mchana tunatoroka kwenda kuogelea mtoni. Aah kwa kweli, enzi hizo gari likipita watoto lazima tukimbie kwenda kuliona, Michezo kibao!

    ReplyDelete
  26. Kimario na Malya hawakuwepo?

    ReplyDelete
  27. HUU SASA NI UKABILAIZATION....

    ReplyDelete
  28. Bila kusahau wale wa msaranga, kidia, mbokomu, sango na kote kwingineko ikiwa na mamba mkolowonyi, mamba mbonyi mpaka mwika madukani, home sweet home wachagga oyeeeeee

    ReplyDelete
  29. CHADEMA....

    ReplyDelete
  30. Michu Vp? Mbona Chuwa na Ndosi walikuwepo lkn hapo cwaoni? Mama Panka Alikuwa,Mama Prisca Nae Alikuwepo! ROTFLMAO!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  31. ASANTE SANA MICHUZI.Na mimi nawatikia WA-KWAY wote wa kibosho xmas njema Mungu akipenda tutakutana mkombole, yani ngetya kyuu gafla,

    ReplyDelete
  32. mallya hakuwepo?

    ReplyDelete
  33. unatuwekea hivyo vizee vya nini?? weka mambo ya maana michuzi,

    (usibanie hii comment)

    ReplyDelete
  34. Hapa ndio wakati wa kunywaa mpaka mwaka mpya.

    Mimi nililetewa ungwa wa ulezi ulooteshwa lakini nikatemngeneza mbege bubu...Weewwee wala haikunoga si unajua ndizi za huku au labda mwenyewe sikujua jinsi ya kutengeneza...Ilitoka gongo badala ya pombe hiyo. lakini ilikumbusha mbali...Nilivyokunywa ikiwa "Kifue" ilikua tamu hiyo kuiacha ichachuke. Ikawa chunguuuuuuu

    ReplyDelete
  35. Michuzi uko juu. Wanaosema ukabila, CHADEMA ans so on hawana mila na hawana pa kwenda. nimeolewa kwa wangoni wanatupa big up wachagga. Its so fun mkikutana. hapo vijana wanaotoka mjini wanaulizwa maendeleo waliofanya si kuhesabu ghorofa za mjini. lazima ujenge kijijini na mjini. Wachagga tupo juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

    ReplyDelete
  36. Eti?Chuwa nae ata kuweko!!!basai tusimsahau na Gabrieli na mzee Urasa kutoka Uru Kishumundu.shukran kaka michuzi.

    ReplyDelete
  37. HAPO SAWA , nasisi akina Rwebangira,Mutakyawa,Kemirembe,Kairuki, Ntare,Rwakatare,Koku,Mugemuzi,Mwemezi,Kajura,Mutabuzi,Kaiza,Ngaiza tunawatakia kila la kheri..Vyombo walivyoshika wazee hao wa kichaga kwetu tunaita "AKASHUSI" na kinywaji chetu cha asili kinaitwa "LUBISI"..Jamani tudumishe mila zetu
    Mdau NTARE

    ReplyDelete
  38. asante sana kwa salamu kaka. pia bila kusahau watu wote wa rombo mkuu, familia zote za kijiji cha makiidi, kwa maangulwa, huruma hospital, kanisa la mkuu, msudu, kiraeni, kilmanjaro boys, shimbi, keni, mengwe, tarakea, mashati... heri ya xmass!!!
    Mdau UK

    ReplyDelete
  39. Hahahaha....kibulu na kisusio jamani ahhh, bibi Atanasia nimemkumbukaaaaaaaaa, kiboriloni mitumbani jamani, kula vumbi kwenye usafiri kwenda mjini nyuma ya pickup, shurti kope zinakuwa nyekundu, nawakilisha Assey, Marialle, Msaki, Kilasara, Lamosai na Maro,Kowero,Mrema,Shaa

    ReplyDelete
  40. MICHUZI TAFADHALI MBORO NI UKOO MKUBWA SANA NAOMBA WEKA HAPO UMETUSAHAU JAMANI

    ReplyDelete
  41. BILA KUWASAHAU KINA MAKURI WOTE WA NAURA MARANGU,NAMFUA MKUU ROMBO, MASAO,MRIMI,MASOYI,RINGO,TESHA,URRASA.


    JAMANI HATA SHEMEJI ZANGU WATANI ZENU MSUYA, MMBAGA,MFINANGA,N.K

    ReplyDelete
  42. na mimi nasema "mwenye ukabila wa kichaga ivi asitie jicho lake umu blogu ya jamii"

    ovyo sana,so waliooa/olewa na makabila mengine ni makapi sio???

    kwendeni zetu

    ReplyDelete
  43. Toka nimeanza kusoma eti sijamuona MREMA lakini sio huyo tu kuna Kanza Meta,Kimambo,Malisa,Mteri,Koka,Mola,
    Tenga,Masamu,Kesi,Masecha,Masuki,
    Mshiu,Mlay,Marishamu,Mauki,Mmari,Mende
    Msechu,Mlingi,Nyambo,Marawi,Swai,Ikamba, Tarimo, eee na wengine wengi tu hao pia nawatakia Xmasi njema.

    ReplyDelete
  44. MAANGULWA SHIDERE KWETU ILA MBEGE JAMANI TUACHE. RUVA EKUNDI HATAKU NDAONDI

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...