Naibu Balozi wa Tanzania UK Mh. Chabaka Faraji Kilumanga na Mh. Martha Mlata katika picha ya pamoja na wana ATWID
Hii ni siku ya fundraising ya Asociation of Tanzanian Women in Diaspora (ATWID) iliyofanyika tarehe 19/12/2009 mjini Reading. Pia ilikuwa sherehe ya kutimiza mwaka mmoja tangu ATWID kuzinduliwa.
Mgeni rasmi alikuwa Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza bwana Chabaka Faraji Kilumanga. Pia alikuwepo Mbunge wa viti maalum Mh. Martha Mlata.
Kulikuwepo na ngoma za asili zilizochezwa na wana ATWID pamoja na shoo ya watoto.Mwenyekiti wa ATWID Susan Mzee alitoa nasaha zake na kuwashukuru wote waliohudhuria kwa muda wao na michango yao. Zaidi ya paundi elfu mbili (£2000) zilipatikana katika hafla hiyo kwa ajili ya kutunisha mfuko wa ATWID.
Picha na habari zaidi nenda


Mimi ni mwanaume lakini nataka nijiunge na hiki chama ili nipata social networking ya hawa kina mama. Je nitaruhusiwa kujiunga?
ReplyDeletehawa ni ma opportunist hawana chochote.
ReplyDelete