HAVE A GREAT AND WONDERFUL 2010
Nimeona niwatakie HAPP NEW YEAR Watanzania wenzangu, pamoja na kufiwa na Mpendwa wetu Simba wa Vita sisi wengine tulio hai na tumshukuru Mungu. Mola aiweke peponi roho ya Mzee Rashidi Mfaume Kawawa - Amina.

Naomba nitume wimbo wa ABBA Group 'Happy New Year' kwa wadau wote wa Globu ya Jamii popote mlipo duniani
mdau wa Indiana USA
saria1974@gmail.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Let me be the first one to give a comment in this New Year of 2010.Wishing ol Tanzanians & the rest of World.Happy New Year with good health,Peace,Joy,Love n Happiness always.

    ReplyDelete
  2. Heri ya mwaka mpya na wewe pia

    ReplyDelete
  3. Asante sana Saria1974 kwa salam na wimbo mzuri, umenitoa machozi kwasababu nipo kwenye kipindi kigumu sana kwenye mahusiano yangu na leo hii sina furhaha,I don't know what God has instore for me for 2010 but I will take one day at a time. Asante sana.

    ReplyDelete
  4. Happy new year to all wadau

    ReplyDelete
  5. Heri ya mwaka mpya 2010 kwa wale tuliochaguliwa kuuona. Mwaka 2010 uwe ni wa kutimiza malengo na ndoto zetu hata ikiwa nikukununua ndege au kutembelea sayari ya Jupiter.

    Bongosamurai

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...