Gwiji wa Hip Hop, Joseph Mbilinyi "Mr II" akiwapagawisha mashabiki wake wakati wa uzinduzi wa Album yake ya kumi ya 'VOTE' uliofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar usiku wa kuamkia leo. Mr II ameweza kudhihirisha yeye bado ni moto kwa kuotea mbali kwa jinsi alivyoweza kutawala jukwaa na kuwakonga mashabiki kwa weledi ambao bado kuonekana katika miaka ya karibuni. Na shoo ilijaa kupita kiasi na kuwafanya wadau wazidi kumkubali
Msanii Joseph Haule (Profesa J) akitumbuiza kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar katika kusindikiza uzinduzi wa albamu ya kumi ya mwanamuziki Joseph Mbilinyi ‘Mr. 11’ inayojulikana kama VETO ambao ulifana vilivyo.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. big up kaka sugu, kiukweli unatisha

    ReplyDelete
  2. ukumbi ulifurika si mchezo.nimeskiliza cd yako naendelea kukukubali

    ReplyDelete
  3. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,kwa ukweli sugu aka mr 11,wewe ni kiboko,yaani watu walikuwa wengi sana,yaani nilifikiri umeondoka siku nyingi kwenye game utakua hovyo,but haaa! umenipagawisha na umewapagaisha watu,GOOD JOB BRO!album ya kumi bado uko moto aah wewe kiboko.

    ReplyDelete
  4. Hata kama clouds hawatopiga nyimbo zako,usikonde kaka tutanunua album na redio nyingine watapiga muziki wako tu kaka,usikonde.

    ReplyDelete
  5. asante asana kaka, lakini hawa vijana wa sasa ambao wapo kwenye game hivi wanajua kuwa wewe ndo chachu ya wao kufika hapo walipo?! coz without u bro i dnt think if thy'd b thr today..
    much respect kaka

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...