

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
waosha vinywa lazma wawike kuhusu hiki kituo! watauliza kwanini kisiwe Kigoma? Subirini warudi kubeba box!
ReplyDeletekwa sababu wewe ni muosha vinywa wa kwanza na kichwani mwako kuna kutu ya ukabila basi umeshafikisha ujumbe ukweli ni kwamba wamechagua kwao kwa vile ni kwao kwani kwenu kigoma hakuna watoa misaada? Shindwa
ReplyDeletehahah uchokozi
ReplyDeletekwa nini Michuzi, Asia (mwanamitindo), wanatoa misaada kwa wavaa hijab tu?
Anony. wed Dec 30, 05:30:00 PM; hiyo ilikuwa tahadhari na tahadhuri kwa waosha vinywa maana kila kitu cha Kilimanjaro huangaliwa kwa misingi hiyo! Sikukusudia kukughadhirisha! pole sana kama umeghadhirika! halafu inaelekea mwezi wa kumi na mbili ni spesheli kwa Kilimanjaro, Misupu good job!
ReplyDeletehe he heee mmeanza
ReplyDeletemijitu mingine bwana !!!!!$$^%^*&
ReplyDeletekwani wewe nani kakuambia usisaidie kwenu.
its human nature, hata ukiwa na watoto wako unahakikisha wamekula kwanza kabla ya kupeleka pengine.
msilaumu bure.
mdau Canada
Mimi cichemi kitu mwe. Kwetu Songea hamuna mutu anachema chochote.
ReplyDelete