Waziri wa Maji na Umwagiliaji Profesa Mark Mwandosya akiagana na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Bibi Diane Louise Corner (balozi huyo)alipomtembelea Waziri Mwandosya ofisini kwake Ubungo jijini Dar. Katika mkutano wao walizungumzia mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na maadhimisho ya miaka 10 ya Ushirikiano wa Nchi za Bonde la Mto Nile yatakayofanyika kuanzia Desemba 6-8,2009 katika ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City JIjini Dar
Home
Unlabelled
profesa mwandosya akutana na balozi wa uingereza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...