Waziri wa Maji na Umwagiliaji Profesa Mark Mwandosya akiagana na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Bibi Diane Louise Corner (balozi huyo)alipomtembelea Waziri Mwandosya ofisini kwake Ubungo jijini Dar. Katika mkutano wao walizungumzia mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na maadhimisho ya miaka 10 ya Ushirikiano wa Nchi za Bonde la Mto Nile yatakayofanyika kuanzia Desemba 6-8,2009 katika ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City JIjini Dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...