Home
Unlabelled
adam na aidah wameremeta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ankal, Nawapa hongera maharusi. Mbona haya mambo ya ki-ustaadhi hayatokeagi sana kwa hii blog ya jamiii? Any distrimination????
ReplyDeleteMaharusi hongereni.
ReplyDeleteAnkal bwana umezidi kula maraha ya minuso, unatia hasira wabeba box!!!
(US Blogger)
Hongera kaka,
ReplyDeleteMimi bado nasubiri Account yako ya CRDB niweke mchango wangu! Do u remember?
Hongera sana
kaka michuzi naona speed hii ikiendelea ya kualimwa kwenye maarusi.One day unaweza sasa ukagombea hata ukatibu kata wa CCM. KEep it UP!lol
ReplyDeleteMichu, picha ya pili bwana harusi anaonekana hata umshike bibi harusi mkono maana unaonekana anaondoa mkono wako.
ReplyDeleteAngalia siku moja utapigwa ngumi ya usoni.
wamependeza cjawahi ona in dis country, jmnani ver very mmmhhmwaaaaaaaa.
ReplyDeletecute wa ma cute
Ankal,
ReplyDeleteNawapo Hongera sana Maharusi...
Ankali, sasa wewe mzee mzima shughuli nyeti kama hii umepiga shati tena wala hujachomekea. Mjomba vipi....shughuli kama hii ungevunja kabati kwa kanzu safi na koti la suti kabisa...tafadhali mjomba.
Network Engineer (NE)
Reading, UK.
ankal inabidi uwe unauliza uvaeeje la sivyo Vaa tu ze T-SHETI HATUNA UGONVI.ALA UNATUAIBISHA.
ReplyDeleteHongera ADAM na my wife wako nakumbuka ADAM alikuwa classmate wangu muhi2 primary school 2mechapwa wote na mwl ndossi na pipi za mzee taibaly. Kweli 2mezeeka hongera sana best kwakujikwamua mimi mwenzio ata mchumba cjawaza...nawaonea raha sana wenzangu pamoja na iddy janguo, peter emanuel na simon mandara hongereni kwakuwa nafamilia. K
ReplyDelete