Kwa kuwa tatizo bado lipo, michango hiyo ya harambee ya maafa kupitia kampeni ya 'Vodafone Red Alert' inadelea kila siku na kupokewa ambapo unatuma kwa sms neno 'MAAFA' kwenda namba 15599 nawe utakuwa umechangia bila tatizo. Shime wadau kutoa ni moyo....
Home
Unlabelled
harambee kuchangia maafa yaendelea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
mbona picha ya wife iko mbali halafu kiduchu?
ReplyDeletethis is unfair!
Mijitu minengine bana...unaambiwa mambo ya msingi kuchangia watu waliopata majanga wewe unaleta masikhara na njozi zako za kipambaf pambaf, kweli Watanzania tutaendelea kukwama hivi hivi.
ReplyDeleteYote kheri lakini. Michuzi, hujawafahamisha wasomaji kwamba hii kampeni inawahusu wateja wa Vodacom Tanzania pekee na sio wa mitandao yote Tanzania.
Suluja
Tayari nshachangia ndio maana namuulizia wife
ReplyDeleteau ndio mpaka tutangaze how much tumechangia?
wengine hatupendi kujitangaza tunapotoa michango
Guys ; vodacom rocks mmesikia leo clouds nao wamechangia thru red alert
ReplyDeletecharity begins at home !!!
tuchangie jamani !!!
villager