Home
Unlabelled
HITMA YA SIMBA WA VITA MZEE RASHID KAWAWA, LONDON
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nakuona Sheikh Ayubu na Professor Kangusu hapo!!Si mchezo..Mimi niko kwa mbaali
ReplyDeleteHizo chupa za rangi ya kijani ni kinywaji gani jamani? Macho yangu hayapendi kuona HEINEKEIN kwenye khitma, mate yamenijaa mdomoni. Mnisamehe!!!
ReplyDeleteJamani hebu nisaidieni ST ANNE'S MOSQUE kweli imekaa sawa?
ReplyDeletewatu wengine bwana yaani wanajifanya kujuwa sana na kuwana dhana mbaya kwa wenzao kupita kiasi. nakusema wewe mdau wa pili na dhana zako za HEINEKEIN! umeona wapi HEINEKEIN hapo? chupa za kijana ni drink either ya seven up au sprite na kila mtu anajuwa hilo ila mwenye akili finyu kama wewe. samahani michuzi lakini sometimes its too much!!!!!
ReplyDeletemdau wa tatu ulichouliza ni kizuri. kusema kweli huo msikiti ninavyojuwa mimi ulikuwa ukiitwa Sultan Selim Mosque (zama hizo nilipokuwa nasoma mitaa ya seven sisters road). Watu wengi wanauita st anne's mosque kwa kutumia jina la barabara ulipo huu msikiti yaani st anne's road. kusema kweli mimi naona ni kosa lakini watu wanaurefer hivyo bila hata ya kufikiri matumizi ya neno st na mosque pamoja.
ReplyDeletemdau portsmouth
Ulaya kweli hakuna mana.....MBONA HAKUNA DALILI YA MSOSI JAMANI!
ReplyDeletemh....??
ReplyDeleteNimemwona mtu kam Baraka kam sikosei u bin wake Mbilinyi looh Baraka kumbe uko Uk waz ma Tuition Mate pale kwa Mwl.the late Nyooka shule ya uhuru mchanganyiko enzi za 80'z looh jion tunakutana wengine haya kaka rudi bongo bana maana ulikuwa kichwa njoo uukwae U GM
ReplyDeleteprofesa Kangusu ndio mgombea ubunge mwaka huu huko KIGOMA.
ReplyDeleteMDAU wa Mon Jan 11, 12:56:00 PM, Acha hasira juu ya mdau wa pili. Kwanza yeye amejitambulisha kama mmakonde mtani wa Simba wa Vita, sasa hasira za nini, pili si kila chupa ya kijani ni Sprite na 7up, kwa taarifa yako kuna vinywaji vingi vya rangi hiyo...Sio kila anayevaa kanzu ni sheikh...natumaini umenipata.
ReplyDeleteWabillah tawfiq.
Msuluhishi.
Mambo vp Mdau Anonymous wa 03:34:00PM.Nikumbuishe Mzazi jina lako nani.
ReplyDeleteNi mimi Baraka Nginilla na wala si Baraka Nginilla.Najua utakuwa na habari kuwa Mwalimu Njooka alifariki kitambo kidogo.
Nilikuwepo bongo mwaka jana na Mungu akijalia huenda nikaja tena mwaka huu.Sema ndiyo nilikuwa sijui watu wako wapi,naishia kuonekana mi ndiyo mgeni jiji la Lukuvi.
Ushakuwa GM nini Mzazi? Mzazi ikitokea kazi nitakayoiona poa na nikiwa nimeamua kupiga kazi Bongo au Afrika popote pale nitarusha CV kusikilizia.
Nikitextie au nipigie 0044 751909 7330.
Baadaye Mzazi wasalimie ex Njooka classmates unaokutana nao.
Unashangaa St Anne's Mosque? hilo ni jina la mtaa kama mtaa wa kisutu basi Kanisa au Msikiti uitwe Kanisa la Kisutu(mtaa) au Msikiti wa Kisutu(mtaa).
ReplyDeleteHaya 'sinza kwa remmy' nayo unashangaa?
Tunashukuru kwa blogu ya jamii kutufungua macho, maana zamani unaambiwa tembea uone, sasa tunaambiwa 'click' uone.
Mdau
Mtaa wa St Anne
Mdau Ex Njooka student/pupil.Nilimaanisha mimi ni Baraka Nginilla na sio Baraka Mbilinyi.
ReplyDeleteLater
Shukran Misupu,kwa kuniwezesha kuacha simu yangu hapa nimeweza kuongea na rafiki yangu tuliyesoma naye Azania toka 1989 - 1992.