KIWANJA CHA KARIBU EKA MOJA KINAUZWA ARUSHA, KIPO KIJENGE MWANAMA MPAKANI NA NJIRO.
KIPO SEHEMU NZURI NA INAYOFIKIKA BILA TABU NA KIPO KARIBU NA BARABARANI. KINA HATI NA DOCUMENTS ZOTE. BEI NI TSH. 35 MILLION, ILA MAELEWANO YA KUPUNGUZA YAPO KAMA FEDHA IPO TAYARI.
Kwa mawasiliano ili kukiona au manunuzi
piga/tuma message kwenye number
0762560088.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kaka kwa ushauri tu, picha muhimu,weka picha ya hicho kiwanja angalau iwasaidie waungwana wa libeneke hili waweze kuthaminisha.

    ReplyDelete
  2. mdau unaweza kutuma matangazo yako bure katika web site ya http://www.swahilinet.com ili kupata wateja wengi zaidi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...