MC Chitanda ni mmoja wa waendesha shughuli maarufu jijini Dar akiwa na staili ya peke ya viatu ambavyo anasema huagiza toka ureno maalum kwa kufanyia kazi
mambo ya 'abdul'
MC Chitanda kuwa karibu sana na ma-DJ ili shughuli iwe mswano
Yeye na wenzie unaweza kuwapata katika libeneke la harusi




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. khaaa!!hichi kiatu jamani mbona vichekesho

    ReplyDelete
  2. Dah! bwana Chitanda hiyo Jokeri style sijui kaitoa wapi!

    ReplyDelete
  3. Natamani awe MC ktk shughuli yangu sijui nimpateje

    ReplyDelete
  4. Huyo DJ ni MC Mkude aliyekuwa MC wa harusi yangu. Ni mbaya kama Chitanda-Ni Chitanda Company

    Hao watu wanatisha kwa fani hiyo. HArusi yako bila hiyo kampuni ni burrrrrrrrrreeeeeeeeeeeee

    Lol

    ReplyDelete
  5. ze komedi!!!

    ReplyDelete
  6. Chitanda alikuwa MC kwenye harusi yangu. Kwa kweli, the man is a proffesional. unakuwa na uhakika kuwa shughuli yako haitaharibika hata litokee nini

    Nimeona ma-MC wengi, lakini Chitanda nitamvulia kofia anytime.

    ReplyDelete
  7. ni mc mkalii kutoka kusini ni songea line

    hata mimi sijaona mc kwa upande wa wanaume kama chitanda kwa kweli

    ReplyDelete
  8. je anajua ungéngé(english)mana mm naitaji mc kwenye harusi yangu amabpo mume ni mzungu,ss chitanda wenu natarajii lugha inapanda au ndio maimuna/kanumba
    mdau
    holland

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...