

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HII PCHA AMBAYO ILIVUNJA MAADAILI YA UCHAPISHAJI , SASA INAKUWAJE MUHESHIMIWA ANAIONYESHA HAZARANI SI ATAKUWA ANAVUNJISHA MAADALI ZAIDI.HII SHERIA YA USHAHIDI INA UTATA SANA.
ReplyDeleteNyinyi wenyewe mbona mnawafanyia michezo kula kukicha mbona hamjifungii au kwao mchafu kwenu msafi kenge wakubwa.tutaendelea kuandika habari kama kawa nyinyi mkiju hivi na sisi tunajua hivi
ReplyDeleteOh wow. Hahah I remember back in the day when I was in high school and we would buy those raunchy papers and read all the gossip and nonsense and raunchy stories. I might be mistaken but i think it was called Ijumaa back in the day. It was the highlight of my fridays! But I think they've taken this too far.
ReplyDeleteKuna mtu anayo website ya hayo magazeti? do they even have websites?
goggle globalpublisher.tz ndio zipo huku ila aliyesema wamevunja na wao maadili ya kuonesha ni kweli ila Kuwekwa mbele si kitu kizuri kwenye page watoto wanapita barabarani wanaliona gazeti. Kengine mie naona Malaya barabarani waanze kutolewa na kuhukumiwa kifungo kikubwa na bakora juu, Na Pia tuwache kuonesha waliokamata Majambazi kwenye TV, tunachotakiwa nikuwaonesha majambazi waliofanya. Hao hapo pia washitakiwe kuonesha picha hazarani kama hivyo. KIMARO.
ReplyDeleteHaingii akilini hasa zama hizi za utandawazi, that is news, IT IS TIME NOW TO CALL BLACK, BLACK NOT WHITE
ReplyDeleteSHERIA INAYOPINGA PICHA ZA NGONO IMEPITWA NA WAKATI. PICHA ZA NGONO ZINAPATIKA KWENYE MITANDO KIRAHISI TU SASA. SIKU HIZI WATANZANIA WENGI WANACOMPUTER MAJUMBANI NA LINKS ZA INTERNET HIVYO WANAWEZA KUANGALIA PICHA ZA NGONO KIRAHISI TU.
ReplyDeleteSASA SIJUI SERIKALI ITAFANYA NINI KUZUIA HILI