Mheshimiwa balozi wa nanihii na Ankal wa Globu ya Jamii,
heri ya mwaka mpya!
Nakutumia taswira hizi za mdau wa libeneke Adam jr. (kati) wakati akiwa vekesheni Dubai wakicheza na samaki pomboo (dolphin) na wanavekesheni wenzie katika hoteli ya Atlantis, mojawapo ya hoteli kubwa za kitalii DUBAI.Watu toka mataifa mbalimbali huja hapo kwa vekesheni.
nawasilisha.
Mdau Adam sr.
Mtaalamu wa baharini akitoa maelezo kuhusu pomboo, ambaye ni adhimu, ambao wanasifika kwa kuwa wapole na rafiki wakubwa wa binadamu katika viumbe wa majini
mdau Adam katika picha ya pamoja na wanavekesheni wenzie



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. mh kumbe dolphin ndo anaitwa pomboo kwa kiswazi lol hili jina halina mvuto duh ha ha ha oooiiiiiiii
    manka wa canada

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...