Home
Unlabelled
mpunga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ebwana kuna ustaadhi hapo mwenye barkhashia pembeni mwa jamaa mwenye shati la pundamilia ametoa tabasamu la uchu huku akimwangalia mbeba sinia
ReplyDeleteambaye pia amevaa uso wa mbuzi
huyo jamaa aliekaa mwenye shati la mistari,anaona kama anaeonewa shoti anatamani angemrukia huyo jamaa alieshika sinia la pilau.Lakini pila la shughulini tamu.
ReplyDeleteMsela mwenye fulana ya mistari kulia.. naona kainuka kidogo kutathmini idadi ya viazi mbatata na nyama, ili ajipange. Ukiona mikono inaning'inia hapo ujue wanaume washanawa. Ah..mpunga wa shughulini asikwambie mtu.. hata Muhidini Issa Michuzi analijua hili.
ReplyDeleteMdau Udachi.
hapo wakianzisha vagi watasema jamaa wagonvi kumbe wamechokozwa.
ReplyDeletejamani maskhara acheni hapo kuna watu wanamakarama namaombi yao yanakubaliwa basi heshima inahitajika na dua kukubalika nyie endeleeni na mchezo.
ReplyDeleteAmini usiamini hiyo sahani ikitua tu kwenye ardhi.....basi ujue haina nyama wala kachumbari wababe wameshachukua na viko mikonoini mwao....na hiyo pilau kama haukuwa fasta basi unaweza ukaambulia tonge moja tu....Ilike our life back home.....full social
ReplyDeleteebwanaeeeeeee!!!! hii kali kuna wana hapo wanautolea mpunga wa sahani macho ile mbaya bongo mterezoooooooooooooooooooooo
ReplyDeleteTatizo ni uwezo tu, lakini fadhila nyingi hapo. Kuhudhuria ni ruksa kwa yeyote, Kuchangia ni hiari/Uwezo. Kidogo tutagawana sote. Hakuna haja ya kujifungia ukumbini na kuwanyima, hususan wasiojiweza nao kujivinjari na wanajamii wengine kwa mapilau na minyama. Ankal ukikuta shughuli kama hii (Maulid, Ndoa, Msiba nk) katika pilika zako unachangia 200, ukienda kwenye mnuso kule plaza unachangia 450,000!!
ReplyDeleteAww meen...LOL i was rolling on the floor laughing my ***off (ROTFLMAO). Imenikumbusha mambo ya waandazi....kisha sinia la mashee maarufu wale linakuwa na manyama kibaaao,Nazi hukuu naziii!!. Wengine wanaficha sinia duh LOL. Kisha TO GO ndani ya mfuko wa Rambo
ReplyDeletekule nyumbani zanzibar hii inaitwa style ya magoli makubwa... teh teh teh
ReplyDeleteEe Bwana, Shughuli kama hizi zinanikumbusha zama hizo za Mburahati, Kigogo, na Magomeni mwembechai! Sunia likiwekwa chini kwanza na mwendo wa kupiga reki matonge ya nyama na baadae ubwabwa! Kweli utajua bado kuna dhki ya mlo katika familia nyingi! Ingawa utafiti mwingi unaonyesha kuwa Binadamu wengi ushirikiana katika mlo/chakula na nadra ushirikiana katika mambo kujamiana, na wanyama wengi ushirikina katika mambo ya kujamiana na wanyama danra kushirikiana katika mlo: Lakni ninapokaa sasa na theory hizi mbali mbali za elimu ya saikologia naona wazi kuwa katika Hali ya Sinia hilo hapo juu ni wazi hakuna kushirikina katika mlo! Kama mto maoni anavyosema kuwa watu waemechokozwa! Kama msemaji mmoja Anic Kashasha alivyowahi kusema kuwa; "Adui wako mwombee njaa". Kweli njaa na dhiki ni rahisi sana kumrudisha binadamu katika kiwango cha mnyama.
ReplyDeleteDuh huyu jamaa mpangilio wa hatua 10 atakuwa anaumiza jamaa vibaya sana. Alitakiwa apige hatua kama 4 hivi halafu anaangusha sinia.
ReplyDeleteAnkal hatua 10 haikubaliki kwanza imeshapitwa na wakati
Mimi nipo hapo pembeni ya jamaa mwenye Barakashia na nina ndizi mbivu kwenye mfuko wa shati. Mechi ilikuwa kali kiasi ndizi ilibidi niile baadaye. Maana sahani kuwekwa chini tu. Nyama zote hakuna. Mimi niliambulia Kachumbali na matonge manne. Nami nasifika kwa spidi.
ReplyDeleteWe acha, wali mchafu(Pilao) NOMA!!
hizo ndio zetu maeneo ya huku kwetu mwananyamala kisiwani kama maeneo ya madukamatatu,msikitini, zamaleki,kwasindano. hapo ukishakula ujue siku imepita ilakunawatu huwa tunawakwepa ukikaanao unaumia kwaniwanamatonge makubwa mfano huyo msela aliyevaa kofia kaegemea ukuta
ReplyDeletemdau
mwananyamala