Donate now at: www.clintonbushhaitifund.org

President Obama is joined by former Presidents Bill Clinton and George W. Bush to announce the formation of the Clinton Bush Haiti Fund to help the Haitian people after the devastating January 12th earthquake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. RIP- mwalim manake ungekuwepo watu wangejitokeza kila kona kukushika mkono kwa swala hili lililowakuta wenzetu. Manake huku ulaya wanaonyesha mpaka unaona huruma mie nimechanga na nitaenda kujitolea red cross (nitakaa subway na bakuli kuomba msaada) siku ya wikiendi. Jamani tuungane, leo wao kesho sie.

    ReplyDelete
  2. Anon Jan 19, 06:30:00 uko wapi ndugu yangu.

    "Kesho sie" Sisi huku tayari - Kilosa.

    ReplyDelete
  3. At least we know for sure hiyo hela watakayokusanya haitatumika kujenga nyumba ya Gavana wa Haiti, ndio maana nimechanga.

    ReplyDelete
  4. kweli uraisi mzuri, Bush ubishoo wote kwisha, hebu ona alivosimama kwa adabu na unyenyekevu ona mikono alivoikunja kwa heshima!

    ReplyDelete
  5. wewe mdau mnywa mataptap mwalimu unamhusishaje na hili kuwa angeshikwa mkono?michuzi walevi na hangover zao usiwe unawapa nafasi humu kaka

    ReplyDelete
  6. Wewe anon 12:09 ndio mlevi wa mataputapu, akili yako inashindwa hata kufikiri sawasawa, kila kitu sio lazima kiandikwe moja kwa moja ndio uelewe. Ni kweli angekwepo Mwalimu tungeenda sana kumshika mkono maana tungekuwa na uhakika msaada utawafikia walengwa. Saizi huo msaada utamkabidhi nani ili ufike salama !!!!

    ReplyDelete
  7. mgosi wa kayaJanuary 19, 2010

    hili ni swala la Rais Kikwete kuiga maana yametokea majanga mengi huko bongo lakini hata siku moja hajasimama kuhimiza wananchi kuchangia waliokumbwa na majanga achalia mbali ugumu wake wa kutoa hela yake kutoka mfujoni kwake.Viongozi wa Afrika mbona tuna uselfish hivi kazi kujilimbikizia mimali tu hata kusaidia wahanga mnashindwa C`umon man

    ReplyDelete
  8. duh!!kweli mdau nimekupatapata hapo nilikuwa sijakuelewa umenifanya nijione km mm ndio mnywa mataptap kweli badala ya wewe..nakubaliana na wewe kabisa sasa hivi bongo hamna wa kumuamini kwa msaada hata mmoja usiwaone watu wakichekacheka tu kumbe wabaya hao balaa..misaaada haiwafikii walengwa kabisa watu wanaenda omba msaada wamekula suti kali na tai kuliko hao wanaoenda kuwaomba wanaishi maisha ya kifahari kuliko wanaowataka wawasaidie

    ReplyDelete
  9. Yap,anon June 20 12:13 hapo sasa tupo sawa. Hawa watu hawana hata chembe ya huruma. Yaani wanatafuna tuuuu hawakumbuki hata kupuliza. Mwaka huu watajichekelesha chekelesha saaaana kwa ajili ya uchaguzi, wakitoka hapo hatuwaoni teeeeena mpk 2015.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...