



katibu mkuu wa chama cha wapiga picha nchini, bw. selemani mpochi, alieleza masikitiko yake ka vitendo vya askari kunyanyasa wanahabari wawapo kazini kwenye ujio wa aina hiyo, na kuhoji kwa nini inakuwa hivyo wakati Rais Kikwete amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha ujio wa timu hiyo unapewa uzito unaostahili ili kuitangaza Tanzania vyema.
habari kamili
Sidhani kama kususia kupiga picha ilikuwa ndo suluhisho au njia ya kueleza kukasirishwa na kunyanyaswa kwa waandishi/wapigapicha. Wangetumia njia zozote kupata picha hizo halafu wangewaumbua hao askari. Waandishi wa TZ bwana! hawaishi vituko, wanasahau ule msemo usemao, wanasusa, sisi twala!! wajifunze kutoka kwa waandishi wenzao ulaya, katika hali kama hiyo wanafanaje? usalama kwa timu kama hiyo ni muhimu, na naamini si bure, huenda waandishi waliwatolea lugha za matusi askari, nao wakakomaa. kuheshimiana ni jambo la msingi.
ReplyDeletekiukweli wasingesusa ila kweli ile miaskari ya pale eapoti huwa ina gundu sana yani ni mimbumbumbu ya hali ya juu kila kitu yao imezoea mabavu sijui yakoje na sailimia kubwa yananuka midomo yani wanaboa sana kutaka misifa yao kijingaa ovyo sana mtaishia kufuga mabata!!
ReplyDelete