Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Huyu Jerry Muro anahitaji ulinzi mkubwa sana maana inavyoonekana ni wazi kuwa Mamlaka ya Jeshi la Polisi (Police Authority) haitaki kabisa kushirikiana naye na iko tayari hata kumtokomeza kabisa. Tanzania, Tanzania.......!@Yetu macho!

    ReplyDelete
  2. Hivi mbona afande hakuita press conference haraka namna hii wakati askari wake walipokuwa wameonekana wakihongwa huko barabarani? Au mimi nilipitwa na habari! Jeshi la polisi badala ya kushirikiana kulinda usalama wa Jerry sasa wanataka kumtokomeza ... Hii inahitaji maandamano::! LET JERRY MURO FREE, THERE IS NO CASE TO ANSWER!

    ReplyDelete
  3. Hakuna Jerry Nashon wala MUroho hapa
    Hata wewe mtetezi ni mla rushwa
    Mtego wako nakuja nao mimi
    Ntakukamatisha tu
    Nchi linanuka kwakuwa tunatetea waovu
    Babu Seya kaonewa
    Muro nae kaonewa'
    Ghiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

    ReplyDelete
  4. Hivi kova anavyotaja macctv yalishafanya kazi anaonekana kuwatisha kama vile ni kitu cha siri ya polisi.anaonnyesha ushamba mkubwa kwani cctv si kitu cha siri.basi akaipublish.POLSI POLISI POLISI BONGO KWISHA

    ReplyDelete
  5. Hivi kova anamamlaka ya kumhukumu mtuhumiwa? mbona matamshi yake yana bana upande mmoja tuu?

    Na anaongea kwa msisitizo as if hukumu tayari?

    wanasheria hapo vipi? si anaharibu ushahidi huyu?

    ReplyDelete
  6. Kwa kweli habari ya Jerry Muro inasikitisha hasa pale kamanda Kova anapotetea vijana wake, mbona gazeti la leo limeonyesha risiti ya pingu na wakati kamanda alisema Jerry anazimiliki kinyume cha sheria? Sheria itende haki.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...