Home
Unlabelled
balozi wa marekani akiwa dodoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nawasalimu ndugu wote wa blog hii. Jamani ee ndugu zangu tuwache kasumba! Hii aloe vera ni dawa ya Kiswahili inaitwa SHUBIRI. Jamii nyingi za Kibantu, hususan Waswahili, wanaitumia tangu enzi za mababu. Kwa kuwa Ulaya hakuna shubiri ndiyo maana wameiita jina la "Kibiolojia" (Kilatini). Juzi juzi, dada mmoja ameniambia anataka kuniuzia vidonge vya "galik". Ninakamuuliza ni "galik" ni nini? Akaniambia ni kitunguu saumu!! Kitunguu saumu pia ni dawa ya kiasili Afrika na Asia. Tuna hazina kubwa ya madawa asilia, kama vile dawa za kutibu saratani (wilaya ya Same), dawa ya kutibu baadhi ya magonjwa ya ini (Iringa, Rufiji, Mwanza, etc.) Tujihadhari sana kesho na kesho kutwa tusije tukauziwa madawa yetu kwa majina ya Kizungu na kuendeleza dhana ya uongo na potofu ya kuwa eti sisi hatujagundua kitu, wakati intelllectual na cultural properties zetu zinaporwa na watu wengine halafu wanakuja kutuuzia hazina hiyo hiyo yetu kwa majina yao. J. Mushi (mtafiti)
ReplyDeleteohh neema kiula tulisoma wote Iringa Girls jamani hata hujabadilika.....nimefurahi kukuona tena.
ReplyDelete