Sakata la Jerry Muro limeingia sura mpya jioni hii baada ya mtangazaji huyo kutinga katika ofisi za gptz na kupasua jipu mara baada ya Kamanda Selemani Kova kuongea na wanahabari mapema leo. Mengi mazito ameongea. Exclusive interview hii ni kwa hisani ya globalpublisherstz.com
TAARIFA YA AFANDE KOVA JUU YA SAKATA LA JERRY MURO
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limesema lilimshikilia na kumhoji mwandishi wa habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Jerry Muro, baada ya kupata taarifa kutoka kwa mwananchi aliyelalamika kwamba kuna matapeli wamekuwa wakimtisha wakimdai rushwa.
Aidha, limesema halina tatizo lolote na mwandishi huyo kama taarifa zilivyovuma na badala yake linafanya kazi kulingana na sheria na taratibu zake.
Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo, Suleiman Kova, alisema hayo leo wakati akizungumza na wanahabari na kumtaja mwananchi huyo kuwa ni Michael Wage, ambaye alikuwa Mweka Hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, kabla ya kuvuliwa wadhifa huo na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutokana na ubadhirifu wa fedha.
Alisema Wage alifika katika kituo Kikuu cha Polisi juzi saa 5 asubuhi na kulitaarifu Jeshi hilo, kwamba kuna watu watatu ambao wanajifanya maofisa wa Polisi, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), waandishi wa habari na wanajeshi huku wakitoa vitisho wakitaka wapewe Sh milioni kumi.
Alisema mwananchi huyo alilalamika kwamba watu hao wamekuwa wakimwandama na kumsumbua tangu Januari 28 mwaka huu, wakidai kwamba yeye ni fisadi na ana majumba mengi ya kifahari Morogoro, hivyo walitaka wapewe hongo hiyo ili wasimkamate.
Aidha, Kova alisema mwananchi huyo alidai kwamba watu hao ambao walikuwa na pingu, wamekuwa wakimwambia kwamba asipotoa fedha hizo watamchukulia hatua na kumtangaza katika jamii kwa ufisadi.
“Wage alipokuja kwetu, alisema hatoi fedha na anataka watuhumiwa hao wakamatwe na wakawekeana miadi ya kukutana saa 6 mchana katika hoteli ya City Garden katikati ya Jiji kwa makubaliano kwamba watapeana fedha hizo katika eneo hilo ... polisi walifikiri ni matapeli na tukaenda muda huo,” alisema.
Alisema baada ya kufika katika eneo hilo, lengo likiwa ni kuwakamata matapeli hao, gari namba T 545 BEH aina ya Toyota Cresta, liliingia lakini mwenyewe alikataa kushuka na kumtaka Wage alifuate gari hilo.
“Polisi wangu walipoona gari limekuja na watuhumiwa kukataa kushuka, walilifuata na walipofika walishangaa kumwona Jerry Muro na baada ya Wage kusema huyu ndiye ambaye amekuwa akimsumbua sana, polisi ilibidi wamchukue mpaka kituoni ili kupata maelezo mazuri,” alisema.
Kova alisema mlalamikaji huyo alikuwa akidai kwamba anamfahamu Jerry na amekuwa akimsumbua hata kumfuata nyumbani kwake na kukubaliana wakutane jijini Januari 29 mwaka huu na kutoa vithibitisho mbalimbali kwamba anamfahamu ikiwa ni pamoja na miwani yake aliyokuwa ameiacha ndani ya gari lake.
“Wage aliileza Polisi vithibitisho vilivyopatikana katika gari la Jerry ikiwamo miwani yake aliyoisahau, pia alieleza kwamba Jerry anatembea na bastola na pingu na vyote tulivipata katika gari lake na kumhoji ambapo alikiri kuvimiliki,” alisema.
Alisema pingu zilipatikana kwenye ‘dash board’ huku silaha ikiwa kiunoni na katika uchunguzi wa awali wa maeneo yaliyohusishwa na tukio hilo na uhusiano baina ya watu hao, polisi ilifanya upelelezi na kupata uthibitisho kupitia CCTV.
“Pia napenda mfahamu hakuna suala la Jeshi la Polisi na Muro, isipokuwa kuna mlalamikaji na Polisi na hata kama angekuwa ni askari ametenda kosa kama hilo, angechukuliwa hatua za kisheria … Jeshi la Polisi Kanda Maalum hatuna ugomvi na Muro na ni rafiki yetu sana,” alisema.
Alikiri kutambua umiliki halali wa Muro wa bastola CZ97B namba A6466 na kwa upande wa pingu, Kova alisema ni kinyume cha sheria kutokana na kwamba pingu humilikiwa na Polisi au Magereza pekee.
Pia Kamanda alisema Jeshi hilo limemtaka Muro, kuwasilisha risiti ya pingu hiyo, kutokana na kwamba hakuna sehemu yoyote inapouzwa na sheria haimruhusu mtu yeyote kumiliki labda kampuni na ni kwa kibali maalumu.
“Silaha kama hii ukimwonesha mtu ni lazima ashtuke … hivi hata kama wewe ni mwandishi wa habari za uchunguzi, pingu zinahusiana vipi na utafutaji habari? Hii pingu ukimwonesha mtu tena aliyeumwa na nyoka kama Wage lazima ashtuke,” alisema.
Hata hivyo Kova alisema kuwa kesi hiyo haitaenda mahakamani mpaka ipitie kwa wakili wa serikali na kueleza kwamba Jerry yupo nje kwa dhamana na kuwataka watuhumiwa wengine wawili wanaodaiwa kuhusika na tukio hilo wajisalimishe.
Muro ameibuka kuwa mtangazaji mahiri kwa mwaka 2009 na kujinyakulia tuzo ya Mwandishi Bora wa Mwaka kupitia vipindi vyake vya Televisheni vya Usiku wa Habari vinavyorushwa katika kituo cha TBC1 na kabla ya kuhamia kituo hicho alikuwa akiendesha kipindi kama hicho katika ITV.
Miongoni mwa mambo aliyokuwa akirusha katika vipindi hivyo ni pamoja na rushwa, matumizi mabaya ya madaraka na ukiukwaji wa sheria na polisi wamekuwa walengwa wakuu wa vipindi hivyo.
Wakati huo huo, Baraza la Habari Tanzania (MCT) limelitaka Jeshi la Polisi nchini kufanya uchunguzi haraka na kumfikisha mahakamani Muro ili haki iweze kutendeka.
Akizungumzia suala la kukamatwa kwa Muro, Katibu Mtendaji wa MCT, Kajubi Mukajanga, alisema hatua iliyochukuliwa na Polisi dhidi ya Muro yawezekana zikawa ni njama za kumtisha asiendelee na uchunguzi wake wa tuhuma kubwa kubwa.
“Muro ana kashfa zingine kubwa anazifuatilia zinazowahusu vigogo wa Serikali, yawezekana hii ni mbinu ya kutaka kumdhoofisha asiendelee na uchunguzi wake … lakini kama ni kweli aliomba rushwa, basi atakuwa ameidhalilisha taaluma ya habari,” alisema Mukajanga alipozungumza na waandishi wa habari jana.
Hata hivyo, alisema Muro asitumiwe kama kondoo wa kafara na kuwaasa waandishi wa habari kuwa makini katika kazi zao wakati huu hususan mwaka huu wa uchaguzi kwani lolote linaweza kuwatokea.
KWA KASHIFA HII ....KOVA NA UJUMBE WAKE WAJIUDHURU!! THIS IS THE SHAME TO HIM AND THE WHOLE GOVERNMENT IN GENERAL. JESHI LA POLISI HALINA HATA AIBU KWANZA WANGESUBIRI HATA MUDA UPITE!! KWA UJINGA WAO WANATAKA KUMPLANT DODGO KATIKA KESI AMBAYO HAJAFANYA. HIV NYIE WAZEE VIPI?? HII NCHI HAITAENDELEA MPAKA WAZEE WOTE MFE. WANAFIKI NYIE!! ALUNTA KONTINUA NA HUU NI MWANZO TU!! LAZIMA LIBENEKE LIENDELEE MPAKA KIELEEKE!!
ReplyDeleteSasa nimeelewa vizuri. thanks for this one michuzi aminia baba'ke. walimvizia lakini tatizo walimvizia kishamba. hii itakuwa kashfa kubwa kwao. kumbe ndo maana walimtaka ake kimya!!!! sasa ci wangemwacha ashuke apokee huo mlungura ndo wamshike?? polisi mmoja akawaambia wenzake, ''tuondokeni dili lishabumbuluka'', angekuwa anawarecord pangekuwa patamu kweli hapo.
ReplyDeleteMdau wa P&T
WHAT A STINKING DIRTY COUNTRY...!!dirty POLICE,POOR LEADERS AND LESS HUMANRIGHTS..NO GOOD JUSTICE....WHAT A LIFE!!!shame on Tanzania the land i used to belong...wengi wanaoza jela kwa mtindo kama huu
ReplyDeletelakini mi wasiwasi wangu uko kwenye hivyo vitu, kwanini atembee na pingu, hiyo inaweza kumponza kama hakuwa akiimiliki kialali
ReplyDeleteHiyo ndo Bongo!! Wanaowajibika wanatafutiwa visa waonekane wabaya na hata ikiwezekana wanaweza kua "eliminated completely". Mambo yanayo ni shangaza ni kua:
ReplyDelete1. Inakuwaje muhasibu kua na pesa nyingi kiasi hicho kwenye Account na "All the Assets". Jibu ni kua anachukua rushwa na kumuibia muajiri wake kwa kalamu.
2. Polisi wa Tanzania ni wajinga wanafikiri bado tuko kwenye zile time ambazo walikua wakikohoa Raia wanatulia. Tunataka mjue ya kwamba Vijana tuna amka na ndo mwanzo wa kila mwanachi kujua haki yake.
Hongereni Vijana kwa kuendeleza mapambano. Mwanzo hua mgumu lakini tutafika tu. Mimi sikujui bwana Jerry lakini hongera kwa kazi mnayofanya na nakupa pole kwa yalio kukuta, changamka utafute Loyer wadau ughaibuni tuko tayari hata kukuchangia ukihitaji ili tuone mwisho wa hao wazee wala rushwa.
Haki ya mtu haiwezi kuptea wala kudhurumiwa namkumbuka Brothere Adam Mwaibabile yeye alikwenda jela lakini jopo hatari na kabambe la waandishi hawakumuacha mwenzao atimai Mwaibabile mwana wa Bombambili alitoka jela,Sasa Jerry kuwa makini sana leo wamekukosa hapo lakini siku nyengine ndugu yangu wanaweza kukufanyia kingine chochote,ndio maana swala kurudi nyumbani kujenga nchi kwangu ndoto.Jerry mimi ndugu yako niko bega kwa bega hata kama siko Tanzania (ALUTA KONTUNUA)nafikili ushanikumbuka zaidi nitakutafuta,
ReplyDeleteMdau Australia
WE KIKWETE MBONA UKO KIMYA. HILI SWALA LINAHARIBU SIFA YA SERIKALI YAKO. WATU WAWAJIBISHWE NA KIOTE KABISA SIO UWAPELEKE UBALOZINI. NYIE WAZEE VIPI NYIE MAMBO YA MAANA HAMUYATOLEI MKAZO KAZI KU DEAL NA WATU WENYE NIA NZURI NA NCHI HII. ACHENI UPUMBAVU NA MJUE MTANZANIA WA SASA SIO YULE WA ENZI YA NYERERE!! IKO SIKU KITAWAKA!! WATCH!!
ReplyDeleteDAh!...
ReplyDeleteHapa ndipo uwezo wa mungu unapofikia kuhitajika coz sijui nimfuate nani au nani aaminike..kwani wote tunakisia ila ukweli halisi upo kwenye mioyo ya watu hawa wawili kova na muro....yawezekana muro kabambikiwa hili,ila kumbukeni hongo ya waandishi wa kitanzania huwa mwisho laki tatu.kwa muro alitakiwa kupewa 10 milioni huoni kuwa kila binadamu ana gharama yake ya kununuliwa?hapa tuombe kuujua ukweli tusihukumu...kuna waziri tulimsifia ila mwisho tukakuta alijiuzia nyumba ya serikali kwa bei poa na nduguze akawapa...noo bodi izi pafekti homiizi....its Me.
SIJAPATA ONA POLISI WAPUUZI KAMA HAWA, HATA KUWEKA MITEGO WANASHINDWA!! HATA SHERIA HAWAJUI, NA AFADHALI HAKUNYAMAZA KAMA WALIVOTAKA MAANA WANGETOA ONE SIDED STORY. KAONGEA NA UCHAFUY WA PILISI UMEJULIKANA. SWALI NI KWAMBA, NI WANGAPI WAKO GEREZANI KWA MTINDO HUU?? SHAME ON MY COUNTRY! SHAME ON THE POLICE FORCE!!SASA HEBU TUSUBIRI POLISI WATAKUJA NA STORY IPI. MIMI NAONA KOVA NA WOTE NANAOHUSIKA KATIKA STORY HII, WAJIUZULU MAANA UWEZO WAO WA KUFUKIRI NA MATENDO HAUNA TOFAUTI NA MTOTO ALIYEZALIWA LEO.
ReplyDelete-Mdau Marekani.
polisi bongo ndo zao kubambikia watu matatizo msakeni mhalifu mwenzenu aliemuua swetu na sio msumbue raia wema kwa vile wanaumbua mauchafu yenu ya rushwa ukweli unauma sio ehh mmeumbuliwa sasa mnataka kumgeuzia kibao kwa nini siku zooote hamkumfanyia mitego yenu ya kipuuzi baada tu ya kuanikwa hadharani mkipokea mlungula mkaja na hii mbinu chafu hamna adabu kazi kutumia madaraka ovyo tuu hadi kuua wenzenu Mungu atawahukumu very soon
ReplyDelete...Unaweza kuwa maarufu Muro kwa vyovyote,ni kweli mazingira yanaonyesha ni ya kutengeneza.Ambacho sikupenda katika clip hii ni kumuita mtu maiti.Hii lugha siyo ya weledi.
ReplyDeleteHata kama unajaziba namna gani angalia maneno unayotumia kuaddress mtu.
Acha huu ni upuuzi,upuuzi katika weledi wa ha wanahabariNa tena kaombe samahani.
Jerry wewe ni mwanaume jasiri na mpiganaji wa ukweli huogopi mtu wala huyo kova na siasa za nchi hii, nadhani TBC haikufai tafuta kibarua al jazeera ufanye documentary za kusisimua.TBC hawatakupenda coz nao ni air condition ya serikali + swahiba TIDO na wanajuta kwanini walikuchukua
ReplyDeleteushauri:usitumie tena gari yako panda daladala watakutafuta na watakupata na ndipo hapo tutapo baki na jina la jerry na mjane wa aliyekuwa mtangazaji wa tbc,pia kula ovyo acha(minuso) nenda kwa mama ntilie
Jeshi la Police halijawahi kuwa na uhusiano mzuri na wananchi. Siku hizi za karibuni kulikuwa na emprovement kidogo. Sasa ndiyo wmeharibu moja kwa moja. Tibaigana alijitahidi sana! Kibovu zaidi inaonyesha IQ ndogo mno iiyotumika kenye planning na execution.
ReplyDeletejamani hii bongo tambarale ya kamanda wa ffu wa ughaibuni vipi?tena mbona watu wanataka kunyoana vichwa vyenyewe ni vipara?????
ReplyDeleteangekuwa wa dini fulani ndo angekoma mara 10000
ReplyDeleteHe needs a great lawyer... wadau tumchangie. he needs security. His life maybe in danger. Jerry You are our HERO!!!
ReplyDeleteWaTZ tunatetea waarifu. Hakuna Muro wala mwanahabari.
ReplyDeleteOza kaka na kashfa imekupata.
HAdithi nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiii za wabongo
Umeoza
Am very happy kwa hiyo
I know huyo mzee ni mwekli sana na hawezi kumfanyia unyama mtu huo
Matapeli mko wengi
ReplyDeleteMnapunguzwa
Lia sema upendavyo ila waandishi msiteteane
Fact ma left leg
Umeuawa kaka. Kufa. No one cares who si supporting.
Mungu anajua wazi kuwa mnanyanyasa watu
Good Job Kaka Wage
ReplyDeleteI know you brother
Huyo ni wa 3 kufanyiwa hivyo.
Mkuu wa PCB iringa miaka ya 99 alikutwa na same thing
Wananyanyasa sana na hiyo ndio vita ya rushwa
Wa TZ tulioko nje tunashindwa kurudi kwakuwa li nchi linanuka.
B4 hujapata support ya media na friends lazima ujue za mwizi ni 40 oclock
U are gone
Wala usijitetee
Hata mimi ningekuwa na maelezo matamu ya kuonesha nasingiziwa
Wage wabamize woooote
I will do the same
Morogoro juu zaidi. Mfano wa kuigwa kwa wapinga rushwa
Tutaimaliza
"Angekuwa wa dini fulani ndo angekoma mara 10000"
ReplyDeleteYaani hapo ungenena, hawa wenzetu seke seke hizi hawajazoea wacha wayaone na wao, maana huyo wa dini fulani angekamatwa akaambiwa nyumbani kwake kumekutwa na mabomu, silaha za hatari, gaidi, yaani kila neno baya angepewa. Na hawa wadau wanaosikitika leo wangesema mwache akomeshwe wamezoea hao wala asingeonekana kuwa kabambikiwa. Sasa hivi zamu yenu muyaone na nyie!
HAPA NDIO INAONESHA POLISI WETU NCHINI SHULE NI ZERO AKILI PIA YA KUFIKIRIA NI ZIRO AIBU TUPU KWA MAPOLISI NA MKUU WAO, WAMEGONGA MWAMBA. JAMAA JERRY MPAKA YEYE MWENYEWE ANAONA BORA AONDOKE AKAISHI KWA WABEBA MABOX. HASSAN
ReplyDeleteHAHAHAAH POLISI WETU AIBU KWELI KWELI MMEONA KULE KOVA PART 2 ANAMJIBU DADA PALE KITEMI NIMEKWAMBIAAAAAAAAA!!!! DUH JIBU TARATIBU BASI SIO KWA JAZIBA. HII JERRY PART 2 IPO GLOBALPUBLISHERS. KHALID.
ReplyDeleteAibu,aibu,aibu,aibu nchi inakwenda harijojo kuanzi Kova mpaka wa mwisho ajiuzulu.
ReplyDeletemambo ya Jack Bauer.
ReplyDeleteNafikiri sasa umefika wakati kwa jeshi la polisi kuwa upgraded. Linatakiwa kuwa jeshi la wasomi wenye elimu ya kuanzia masters katika nafasi za watu kama kina Kova, huku kwa watendaji wanatakiwa at least form six tena wa kuhesabu.
ReplyDeleteJeshi la polisi linaloongozwa na watu vilaza kama kina Kova walioingia jeshini kabla ya uhuru au kabla computer hazijagundulika linaonekana la kishamba zaidi, Je watu wenye mawazo kama ya Kova wanaweza kukabilia na cyber crime?.
Mwema safisha vijana wako wanalidhalilisha jeshi la polisi kwa kutokufanya kazi kwa ubongo. Kushika SMG yenye risasi 30 hakukufanyi kuwa bora zaidi kwani ulimwengu huu si wa kutishana tena ni ulimwengu wa kufuata sheria. Watanzania wengi wanazijua haki zao hivi sasa.
Ni vigumu sana kuongoza watu wanaojua haki zao kwa kutumia vitisho na kunyamazisha watu midomo, eti bila aibu kamanda mzima anaongea kuwa "Jerry akae kimya kwa faida yake" kama wewe umepotosha mtu akae kimya tu. Kuna watu wana PhD za security system hao ndiyo wanatakiwa kuongoza jeshi si hawa kina Kova inakuwa kama Mfu anaongoza wafu wenzake.
Kama jeshi limekosea kwa nini usiseme ukweli kuwa tunamtaka radhi Jerry kwa makosa ya vijana wetu tutarekebisha tatizo, badala yake unaongeza petrol kwenye moto kwa kukosea zaidi. LOL!
Pole kaka Jerry, kweli bongo tambarare kisha turudi,dah Mungu atakusaidia na kuwaua ghafla hao wapuuzi waliopanga hii na sio kumuua ghafla atakae pingana na rais kikwete.
ReplyDeleteHaina maana hata ukweli ukijulikana. Jeshi la polisi limeshakuwa kama mungu vile. Watakachosema wao basi ndilo litakalotekelezwa. NO HUMAN RIGHTS IN TZ. Sijui Raisi anafanya kazi gani coz yuko kama vile haoni nini kinaendelea. Nchi imeoza inanuka. Kila mtu yuko madarakani kujinufaisha mwenyewe na nafsi yake.Walala hoi wanaendelea kuonewa kila kukicha. Yule dereva aliyeuliwa na Dito hatukuona chochote kilichochukuliwa dhidi ya Dito. Swetu huyo nae bila hata sababu kauwawa.Vibosile hata hela hazijulikani wanatoa wapi, wanaporomosha majumba ambayo we all knw kwa mshahara wanaopata, its impossible kuwa na property ya aina hiyo. Na hatuoni wakifuatiliwa.Matokeo yake tunasikia tu wafanyakazi wa ngazi za chini wako jela bila hata sababu ya kueleweka kisa hawana sauti. Jamani. Then tukisema haturudi bongo ng'o tuaonekana ni kwa vile hatuna makaratasi....lol. Kwa hali hiyo, hata kama nina makaratasi, SIRUDI. Nchi imeoza inanuka hakuna haki uonevu mtindo mmoja, upendeleo usio na mbele wala nyuma, majungu yasiyo na mwisho. Acha nibebe box mie na nichambe wabibi wa kizungu at the end of the day I know haki yangu inalindwa na inathaminiwa.Pole Jerry. I wont be suprised next week, or next month, or next year kuwa umeshakuwa marehemu. Maana bongo wenye kusema ukweli ndio wauwawao.
ReplyDeletehee! jeryy muroooo adhali jamani! kweli kapasua jipu pwaaa khaaah!! noma sana!
ReplyDeleteHawa waachwe uswahili kutembea na pingu kwani kosa? Kwani watu wanajua fantasy zake za mapenzi; labda alikuwa na pingu akirudi nyumbani yeye na mwandani wake wanafungana pingu!
ReplyDeleteMr Muro,
ReplyDeleteMimi ni mstaafu wa Polisi Idara ua Upelelezi. Nimefanya kazi miaka 18 kama mpelelezi na hatimaye kama mwendesha mashitaka wa serikali kwa miaka 8. Kabla sijastaafu kwa lango la kufanya kazi zangu binafsi.
Ushauri Wangu Kwako: Huo mtego uliowekewa na Polisi ni mgumu sana kutoka. Ukiona Kamanda Kova yupo pamoja na Askari wake basi ujue hao Polisi waliokukamata wamejiandaa (usiwadharau hata kidogo). Sasa hakikisha una mambo matatu ya Msingi nyuma yako:
1. Mungu, fanya sala sana Muro hao watu hawana nia nzuri na wewe hata kidogo na wala hawafanyi mzaha.
2. Wanasheria Makini wa kukutetea. Ukizubaa kuweka Wanasheria makini; utakwenda jela.
3. Wananchi na Hasa Wahandishi wa habari. Hawa wakusaidie kuwapa Wananchi Taarifa. Muhumu pia; jiandae nini cha kuongea unapokutana na Wahandishi wa Habari; epuka lugha kama za kumwita mtu maiti. Onyesha heshima ili hata Wazee kama mimi tusikuone muhuni tukashindwa kukupa ushauri.
Kila la Kheri Kijana, Mungu Awe Nawe.
Mzee K.
Kwa nini Jerry Munro na huyo anasemwa kwamba aliombwa rushwa wawepo eneo moja la tukio? Je ni kweli alichukua huyo mrungula au la? Waandishi wa habari wa TZ wengi wamekuwa wakitumia kalamu zao vibaya ili kujipatia fedha. Na ukiwanyima utaona kashfa zitakavyo kuandama.
ReplyDeleteMarehemu Adam Mwaibabile alikuwa alivuma sana kwenye vyombo vya habari kwa jinsi alivyokuwa akiwaumbua viongozi wa chama cha ushirika huko Ruvuma.
Inside story zinasema kwamba mke wake alichuliwa na boss mmoja wa hicho chama cha ushirika. Ghadhabu yake ikawa ni kuwatangaza vibaya na wao wakamtengenezea kesi ya nyaraka. Dunia nzima iliamini ameonewa ingawa aalijitakia mwenyewe.
Hahahahaha. Nacheka coz hii inaonekana kama vile ndio mara ya kwanza kutokea na wakati nchi inanuka rushwa. Jamani kama mna njaa sana ya kukamata wala rushwa nendeni pale Nyerere International Airport mkajionee wageni na wananchi wanaorudi nyumbani kusalimia wanavyokamuliwa.Mtu umeleta zawadi, unaambiwa ulipie kodi. Mbaya zaidi ukiomba risiti unanyimwa au unapewa kijikaratasi ambacho hata hakieleweki. Sasa na mimi nasema hivi, kama Jerry alivyowavua nguo hawa mafirauni, na nyie wafanyakazi wa Airport kaeni mkao wa kula. Nimewapania sana this time I will make sure I teach u a lesson that u will never forget. U all better have a very good reason to charge pple kodi ya vitu ambavyo ni zawadi za ndugu, jamaa na marafiki and u better have some real receipts. Na msije mkasema sikuwa-alert. MARK MY WORDS. Tutafika hadi ikulu this time.(Michuzi usiibanie hii comment. Nina hasira sana na hii nchi)
ReplyDeleteBORA NIFE UGHAIBUNI MAANA TZ BABO HAKI KABISA , SASA KIKWETE ULIVYOKUJA LONDON VIJANA RUDINI MJE KUJENGA TAIFA SASA NINI HII KAMA SIYO KUJA KUUOZEA JELA, MAANA JERRY MURO NI MFANO TOSHA INANIUMA SANA NA KUNISIKITISHA , HV NILIKUWA NIRUDI MWEZI UJAO, MTUMEEE NIMEGAIRI BORA NIPIGE BOX ,MDAU UK
ReplyDeleteHii, Mada izungumziwe! ulimwengu mzima ili watu, ulimwenguni wajue khaki za binadam hakuna, viongozi Africa wabovu,Angalia sasa hii, nini! Stinking dirty country!!!! watu wanaishi kwa kuoneana kama wanyama!
ReplyDeletemmmmmmmmmm! things 're getting nasty.
ReplyDeleteBongo sasa imekuwa kinageria nageria, waandishi na wanahabari wanapewa vibano, kufungwa, baada ya kifichua uoza wa jeshi la polisi.
Mimi nampa pongezi jerry muro ana moyo wa kijasiri na kila kitu ila amejiandaa kupambana na hao jamaa kwani wanambinu za kiintelijensia wakikukosa mahakamani jiandae kufa kifo chenye utata cha muhimu ondoka tz njoo ufanye kazi ulaya au marekani utakufa badi kijana hata gari lako la mkopo ulilonalo halijabadilishwa tairi
ReplyDeleteHuyu Kova alikuja vizuri Dar ila sasa anachemsha...kwenye hizi kazi hamtakaa miaka yote,ubaya mnaowatendea vijana wetu mtaulizwa kesho!
ReplyDeleteJerry muro hana makosa hata kidogo huu ni uzushi!
Atapokelea rushwa kwenye gari tena city garden?million 10?????acheni mzaha.
Huyo mzee atueleze alikopata bill.2 na hela ya kujenga gorofa 6...
Pinda alikua very sahihi kumfuta kazi!congrats Pinda!
Jerry tuko pamoja hadi kieleweke..BRAVO
Sidhani kama nchi itasonga mbele bila kuwepo ukosoaji.Hivi polisi wa Tanzania nyie ni nani?Kwanini baada ya Jerry kuwatoa baadhi ya polisi wakipokea rushwa ndiyo muamue kumfanyia hivi?Kibaya zaidi hamkuwa smart enough kwa mlilolataka kulifanya.Je,ni wangapi ambao mmekwishawafanyia hivi?Nimekuwa na wasiwasi sana kuwa watu wengi mnawatia nguvuni kwa visasi.Tanzania kama nchi ambayo inafuata sheria(kama ni kweli)basi ishughulikie swala hili kikamilifu.Ni kitendo cha aibu sana.Kwasasa wakati umefika kwa watu kufanya kazi walizo na uwezo nazo na si kufanya kazi kwa visasi.Ni aibu kuona kuwa mkuu wa sehemu yoyote ya kazi unaonyesha mazingira ya kutetea wala "rushwa" katika eneo lako la kazi.That is a shame.Nadhani Tanzania sheria zetu hazipo strong enough kwani kila mtu anajifanya ana mamlaka ya juu katika kitengo chake.Kwa hali hii "MAISHA BORA KWA MTANZANIA" ni ndoto!Pole Jerry!
ReplyDeletePole sana Jerry, wewe ndiye hasa unafaa kuitwa MPIGANAJI kwani unatumia taaluma yako ya habari kutetea masilahi ya wanyonge...nina imani ukiweka mwanasheria mzuri utaushinda tu msukomsuko huu.
ReplyDelete.....Hivi Kamanda Kova anasubiri nini kujiuzuru?? Kwa jinsi TZ ilivyo sitashangaa hata kidogo kuona Jerry ameswekwa Jela na Kova kupelekwa Ubalozini ili akaharibu zaidi!!!
Niliwambia, mtandao wa polisi ni hadi kwa bosi mkuu, kila mtu ana mgao kwenye mapato ya rushwa na kumshitaki trafiki kwa bosi wake ni kujitafutia kifo kwa kuwa bosi hawezi kumuadhibu kwa kuwa yeye ndo kamtuma wakati yeye bosi katumwa na bosi wa ngazi ya juu yake na mapato yanakusanywa nchi nzima kupelekwa kwa mkuu wa jeshi la polisi.
ReplyDeleteSasa, ukimuumbua afanda matonya, umemuumbua kova na bosi wake. Ukisema matonya asipokee rushwa, maana yake ni kuwa Kova na mabosi zake wakose mlo. Wewe, Jerry Muro na wenzako walokutangulia mnachekesha sana, ya nini kujitakia kifo mapema au kuishi kama mkimbizi na nchi si yako?
Wangu, tafuta visa uzame mtoni ukapige box kiaina, utapata mshiko wako na life kuendelea na pengine kwa kipaji ulichonacho unaweza kuwa mtu maarufu na kutengeneza pesa nyingi sana na ukaheshimika na hadi hao mbwa koko. Huku Bongo utamalizwa kama bado haujawekwa sawa, maana hii ni soo, kumbuka tu kina Babu Seya, yule mwandishi wa Songea, Kubenea na wengine, wapo wapi sasa?
Hamna wa kuwakemea polisi wala vigogo wengine serikalini kwa kuwa ni washikaji wa bosi mkuu wa nchi, mr. Presidaa.
Yaani, wewe huna chako kwa namna yeyote ile, ukichukulia kuwa TBC ni yao, siku yeyote watakulambisha mzigo, utakuwa mtaani na huna msaada mwingine.
Hii ni kesi ya ngedere kwa ngedere, wewe sungura huwezi shinda kamwe.
Labda tuanze kukuchangia jeneza na sanda, cha kufanya anza tu kusali kwa kuwa siku zako sasa zina hesabika.
Kwa nini Zombe hakufungwa? Ni kwa kuwa ushahidi haukutosha, kwa nini haukutosha? Ni kwa kuwa mwendesha mashitaka hakufanya kazi yake ya kuandaa kesi ipasavyo. Unadhani ni bahati mbaya? No, ni kusudi kwa kuwa Zombe ni bosi wake, yaani ni polisi kama yeye? Hivyo basi unadhani wale polisi kule Iringa watashughulikiwa? No, hawawezi kwa kuwa ni vibaraka wa mabosi wa Polisi na hasa ndo sababu wewe upo matatani, yaani kesi yao unageuziwa wewe.
Polisi wana kesi kibao ambazo hazina watuhumiwa wala mashahidi, yaani matukio yalifanyika lakini kwa kuwa ni waduwanzi hawajui waanzie wapi. Sasa mtu kama wewe ukijitokeza kwao ni raha sana kwa kuwa wanachukua tu kesi moja na kukugaia tu uhangaike nayo.
Chunga sana dogo, wa kukusaidia hapo ni Kikwete, tatizo Kikwete hana taimu na watoto wa uchochoroni, yaani kwake wewe si mtanzania.
Hii issue inasikitisha sana, kama madai ya Police ni ya ukweli kwa nini wasingemtegeshea na kumkamata baada ya kupokea rushwa? Huu wote ni upuuzi mtupu katika harakati za kuwafunga midomo waandishi wa habari walio msitari wa mbele kupinga vita rushwa. Na kama Muro ana silaha na kibali cha kumiliki kuna haja gani ya kuonyesha mbele ya umati wa watu kama vile alikuwa na silaha kinyume cha sheria? Huyu afande Kova atafute kazi nyingine maana hii imemshinda na huyo aliyekuwa muhasibu na kufukuzwa kazi ndio afuatiliwe kwa mali alizo jilimbikizia kwa jasho la wananchi!
ReplyDeleteMimi nataka wewe uliesema angekuwa wa dini fulani .......... Nadhani wewe sio mbongo au kama ni mbongo basi uliondoka nyumbani siku nyingi na umezoea kunyanyaswa na hao wazungu. Kwa taarifa yako sisi hatuna ubaguzi wa dini na naomba usiuanzishe kama wewe una machungu yako tutakufariji lakini sio kwa kuchefua wadau wengine
ReplyDeleteUliwahi kusikia wapi mtu anadai rushwa kwa bastola? Na akimfunga pingu ampeleke wapi? hata kama alikuwa na pingu mbona kila mtu anamjua Muro kuwa ni mwandishi wa habari na sio polisi? Jamani hii stori mbona haina kichwa wala miguu. Sasa hii kesi tuiiteje rushwa au ujambazi? ama kweli Tanzania kuna mambo! Aliyeiba pesa na kufukuzwa kazi na waziri mkuu yupo mtaani anakula raha na wanataka Muro ndie awe kafara kwa maovu waliyotenda, Kikwete yupo wapi? hii ni aibu kubwa kwa nchi!
ReplyDeleteKumedhooka mazeeeee kumedhooo- okaa mazee manze tz kuna mambo jo ! haha
ReplyDeleteNONINI-kenya
Jerry, big up urself! Huyo mzee Kova anajua sheria kweli? Eti wao wakiletewa malalamiko wana arrest mtu. Hata kama ni malalamiko ya kizushi?
ReplyDeleteHapo Bongo watu wanafiki sana, yaani watu wazuri ndo wanachukiwa. Inabidi huyo Kova ajihuzuru haraka.
Kuna siku nilisema kwenye blog hii kwamba ipo haja ya kufanyiana unyama ukiofanyika Rwanda ili tuweze kuheshimiana, baadhi ya wadau walikubali ingawa "majority" waliniona mimi chizi.
ReplyDeleteNarudia, ipo haja ya kukatana mapanga ili tuheshimiane.
Kama serikali ina busara yeyote, ingetafuta muafaka wa haraka na kumaliza hili jambo ki utu uzima. Muda unaruhusu kumaliza hili tatizo kwa haraka whilst the damage is still minimal. Juzi polisi imeua raia na kuwafungulia akina kombe...Kashfa zinaongezeka. Hatujui labda ziko kashfa zingine zinasubiri kufumka!!!
ReplyDeleteanony wa 09:57 pm,tafadhali tutafutane ili na mimi niwe katika hiyo mikakati ya kuwatia adabu airport,sasa sijui tutawasiliana vp.
ReplyDeletenajua tukikusanya nguvu pamoja itakuwa bab kubwa.
manyunyu
Hali kweli ni mbaya Tanzania. Sijui tutafika line. Nimeagalia na kusikiliza kwa undani taarifa ya polisi and ile aliyotoa Muro zinatofautiana sana.
ReplyDeleteWakati Muro anahojiwa hakudai aletewe mwanasheria kabla ya kuanza mahojiano? Hii at least ungeondoa huu utata uliopo sasa hivi ingawaje taarifa iliyotolewa na polisi ina walakini.
I understand Muro alikuwa anaongea kwa emotion. Hilo linatambuliwa kutokana na hali aliyoikuta. Next ajaribu kuongea bila emotions au kama ni ngumu nasi atafute mwakilishi ili kuepuka kusema vitu ambavyo vitaweza kumponza baade.
Ulishawahi kumwona mwanasheria anakikiwakilisha mahakani mwenyewe?
Kwa wale ambao bado hawajaona part zote za video ya Muro na pia ile ya polisi zinapatikana pia www.bongoline.com.
sijamsikia Kova, ila kwa maelezo ya Jerry kunaonekana kuna ukweli fulani. yaani kinachoonekana hapa ni kwamba wewe Jerry ni njanja sana.
ReplyDeletecha pili nyie mnatafutana na wewe unalijua hilo. ila wamekurupuka hawa jamaa.
tatu: matusi sio vyema kutumiwa na mtu mwenye busara kama wewe, vinginevyo unajidharaulisha.
KAKA MICHUZI, NILISEMA MIMI KATIKA MOJA YA COMMENTS ZANGU KWENYE KIFO CHA MAREHEM SWETU FUNDIKIRA KUWA POLISI NAO WANA MAMBO YAO, SIO TU WANAJESHI... HAYA SASA MNAJIONEA WENYEWE.. MUNGU ANALIPA HAPAHAPA DUNIANI KAKA MICHUZI.. NA BADO UOVU WA WAOVU UNAJITOKEZA SIKU HADI SIKU. JERRY ONDOKA TANZANIA, BEN KINYAIA NAWEWE PIA UNATAKIWA UONDOKE TANZANIA, ONA MWENZAKO KANYOLEWA HUYO, WEWE WEKA MAJI BEN.. KAKA MICHUZI, MIMI NINGEKUWA NA UWEZO, NINGEKANDAMIZA SERIKALI YOTE NA KUWEKA WATU WAPYA NA WAADILIFU.. TANZANIA HAKUNA HAKI JAMANI, ACHENI TUBEBE MABOKSI YETU HUKU, TUNAISHI KWA AMANI SANAAA.. JERRY KUWA MAKINI SANA, INAONEKANA KUNA MKUBWA UMEINGIA KTK ANGA ZAKE BILA KUJUA SASA NDO ANATAKA KUKUMALIZA KAKA.. OMBA SANA MUNGU AKULINDE.. ONDOKA HUKO TANZANIA JERRY HAPAKUFAI TENA.. WAACHIE WENYEWE WENYE MENO WAGOMBANE WENYEWE KWA WENYEWE, WEWE KIBOGOYO MFUPA UTAWEZA WAPI KUULA KAKA? TOKA HUKOO.. NA POLE SANA KWA MATATIZO..
ReplyDeleteIts me POCAHONTHAS
KWANZA POLE KABISA NA MATATIZO HAYO, PILI SIDHANI KAMA KUNA SHERIA YOYOTE INAKATAZA MTU KUWA NA BOSTOLA NA PINGU KIHALALI, UTAKUWA NA MATATZO TU KAMA HUMULIKI KIHALALI, PILI HII NI AIBU KUBWA SANA KWA JESHI LA POLISI, HUU MPANGO WA POLISI NI MKUBWA KOVA PEKEE YAKE HAWEZI KUAMUA KUFANYA HIVYO NI KWAMBA UMEIDHINISHWA NA UONGOZI WA JUU NIKIWA NA MAANA HATA IGP ALIKUWA NA HABARI YA MTEGO HUU, KWA MAANA HIYO BASI INADHIHIRISHA USEMI WA WATU HIZ RUSHWA ZINA MTANDAO MKUBWA HAWA WADOGO WANATUMWA NA WAKUBWA WAO WA NGAZI ZA JUU, NASHAWISHIKA KUSEMA HATA WAKUU WA POLISI WANAHUSIKA KATIKA MTANDAO HUU WA RUSHWA, PENGINE HATA HUKO WIZARANI KWA MAMBO YA NDANI WAKUBWA PIA WANAHUSIKA KATIKA SWALA HILI LA RUSHWA, WABUNGE TUSAIDIENI KUKEMEA HILI. SISI MASIKINI WA MUNGU TUNATAKA PIA MAENDELEO HAYO MNAYOPATA WENZETU. OMBI LANGU KWA WANANCHI EBU MWAKA HUU TUCHAGUWE WAPINZANI WAONGOZE NCHI YETU TUONE WATATUFANYIA NINI TUACHENI NA SERIKALI HII AMBAYO IMEKOSA LEADERSHIP. WATENDAJI WABOVU WANAMCHAFULIA KIKWETE TUNAWEZA KUACHA KUMCHAGUWA TENDA KWA MAMBO HAYO YA UONEZI. WANANCHI TUJIANDIKISHE UCHAGUZI TUCHAGUWE WAPINZANI KWA WINGI IKIWEZEKANA NA RAIS ATOKE UPINZANI
ReplyDeleteJESHI GANI HALISIMAMII HAKI,THIS IS RUBISH TO HEAR.VIONGOZI WA NCHI LAZIMA WASIMAME WATUELEZE.WADAU TUSIKUBALI HIVI NI VITA.THIS IS ROTTEN ERA.
ReplyDeletesasa huyo kova anasema wao wakipelekewa malalamiko wanamkamata mtuhumiwa. je kama ni uzushi? sasa mi natuma malalamiko yangu nimepigwa na kova
ReplyDeleteKAKA MICHUZI, HIVI HAWA WATU WANASHINDWA KUFATILIA KESI YA MAREHEM SWETU FUNDIKIRA NA KUSAKA RIRE RIAFANDE RIRIROKIMBIA, SIJUI RITAKUA MTWARA RIRE, WANASHINDWA KUFANYA YA MAANA WANABAKI KUMSAKIZIA MURO KESI, HII YOTE INAONEKANA NI KUZIBA JAZBA YA WATANZANIA JUU YA KIU YA HAKI KWA MAREHEM SWETU, KAKA MICHUZI BADO, SISI HATUKUBALI, YANI HADI KIELEWEKE KAKA MICHUZI, WATANZANIA WA SASA SIO WA ENZI YA NYERERE.. NA MH RAIS KIKWETE YUKO WAPI? MBONA KAKAA KIMYA? MATUKIO YOTE HAYA INAMAANA HAYAONI AU HAAMBIWI? AU HASOMI MAGAZETI? AU HAANGALII BLOGS? SIO KWELI.. MBONA ZE UTAM ALIONA WALIVYOMTENGENEZA NA JAMAA AKAKAMATWA FASTA.. WHAT ABOUT NOW? WHERE HE AT? IKO SIKU TUTACHINJANA KAKA MICHUZI, LIWALO NA LIWE.. WANADAI TANZANIA KUNA AMANI, AMANI GANI HII SASA? HAKI ZENYEWE HAKUNA. HALAFU MNATAKA TURUDI TANZANIA KUJENGA NCHI, KWA STYLE HIZI? HELL NO.. WACHA NIENDELEE KUSAFISHA VIBABU HAPA MAREKANINO.. TANZANIA, FORGET IT.. KAENI NA NCHI YENU.. INANIUMA SANA COZ IT IS THE COUNTRY I BELONGED, I LOVED AND WAS PROUD OF.. NOT ANYMO.
ReplyDeleteIts me.. POCAHONTHAS
NAFIKIRI JERRY KAMA MWELIMISHA JAMII AKISIKIA WATU WANALALAMIKA KUWA KUNA UONEVU NA UBAGUZI ATAKUWA MAKINI ZAIDI
ReplyDeleteInji imeoza, kweli inasikitisha.... Bwana Jerry pole kwa yaliyokukuta na hongera kwa kazi unayoifanya.... Mimi ushauri ni mdogo tu, jaribu kupunguza hasira na from now on jaribu kutumia your legal team kuandaa press conferences na ikibidi mwanasheria wako atoe conference. Hiyo itakuasaidia ku avoid future problems,incase police watakosa la kukufanya. Kwa sababu ya hasira you may loose control of what is coming off your mouth... pole sana kwa yote na watanzania wote tuko nyuma yako. Nilikua sijui kwamba pingu ni nyaraka za serikali!!!
ReplyDeletenchi imeoza
ReplyDeletePole Bw. Jerry, vita dhidi ya hawa mafisadi sio lelemama lakini tutashinda tu.
(US Blogger)
pelekeni habari BBC CNN basi tujue moja!
ReplyDeleteTo all Do Respect ; My best friend ambaye sasa ni marehemu, wakati wa uhai wake tukiwa nae hapa kiwanja alikuwa akiinsist kuwa bongo bila wajasiri kuingia msituni kama kagame kupigania haki zao nothing will change. and thats very true.Hope for change in tanzania=0,REST IN PIECE BRO......
ReplyDeletePolisi hivi si mna data za kuhujumu taifa kwa Mu-Irani na wenzake? Kwa nini msimkamate huyo jamaa na mnaanza kuwakamata watanzania wenzenu wasio na makosa? What the #@3&%^?@~!!!!!!
ReplyDeleteNgoja niwafundishe wimbo leo kidogo---
ReplyDeleteTAAANZANIIIIA TANZANIAAA... SIKUPENDI KWA MOYO WOTEEEE.. NNNCHIII YYAAANGUU TTANZANIA... JINA LAKO NI CHUNGU SANA...
----mwisho wa wimbo
Nyie viongozi wetu wote kuanzia uongozi wa juu kabisa mpaka wanasiasa, wabunge, mawaziri, makatibu wakuu, mpaka makatibu kata mujue kwamba mnaiharibu nchi kwa matendo yenu ya kibinafsi na yasiyofuata maadili ya kiutu. Kwa hali ilivyo nchini kwetu sasa hivi msitegemee mbegu mbaya mnazozipanda sasa hivi kwamba zitakuja zalisha mazao bora in the future. Hesabu chafu zilizopigwa na polisi na zikaja gunduliwa waziwazi kwamba ni chafu sisi watu wa kawaida tulitegemea mwenye kushika hatamu angetumia rungu tulilompa tulipomchagua kwa kishindo mwaka 2005. Ushindwaji wa kuchukua hatua matatizo haya na mengine mengi ambayo sitaki kuyaorodhesha humu kunazidi pandisha hasira kwa waliowachagua. Let me end up here.. Ila nina uhakika message has been delivered!!!
Mimi bado nasubiri maelezo zaidi ya mahusiano ya bwana Jerry na Mista Wage. Uhusiano wao hasa ni upi, kibiashara? kindugu? ki TV au kirafiki? Sasa hivi sisemi mengi wala simuhuku Jerry wala kamanda Kova, kwani kila mmoja katoa maelezo yake kinachotakiwa na uchambuzi yakinifu wa suala zima bila ya upendeleo au jazba. Kama Jerry amepotea mstari tutajua, kwani yeye si malaika. Ama kamanda Kova na vijana wake walimuweka mtego wa chambo kummaliza kwa kisasi tutajua.
ReplyDelete"TRUTH WILL ALWAYS MAKE YOU FREE".
Wandugu tusiwe na haraka ya kuhukumu tuwe na subira, ukweli utajitokeza tu hata iweje.
Mdau "the saga continue"
Waandishi hawako above the law
ReplyDeleteChangianeni, teteaneni
Li nchi linanuka
Hakuna anaeweza kuishi bila rushwa TZ. Sad
Hata ninyi ni wala rushwa
Geshi ka porisi kamata hao
Acheni mahakama ifanye kazi yake
kwanini Muro anatembea na pingu ili amfunge nani? Bastola bomba kuwa nayo maana bongo kumeoza. Atueleze ukweli pingu za nini. Vinginevyo mtego ulikuwa wa kitoto.
ReplyDeletejamani jamani musichume dhambi jerry anahiyo tabia, nasio hapo tu ninahakika wako watu watajitokeza kudai nao pia wamewahi kutishwa. you will be disappointed kujua kuwa ni kweli huyo ndo jerry.
ReplyDeleteHii ni kali sijui maendeleo gani viongozi wa TZ wanazungumzia,na demokrasi hamna lolote ni ubinafsi mtupu wa kujinufaisha wenyewe kijana wa watu anajaribu kunyoosha nchi na hao walio juu ndiyo wanaididimiza nchi aibu sana kwa taifa changa kama TZ.Hatutaendelea kama mnawakandamiza wachache wenye nia nzuri kuimarisha nchi ya TZ.Siwalaumu wabongo wote waishio nje ya nchi kama hawataki kurudi nyumbani ni mambo ya aibu kabisa.
ReplyDeleteJERRY,MOST PEOPLE FEEL YOUR PAIN.DO NOT TALK IN PUBLIC AGAIN TRYING TO CLARIFY YOUR SIDE OF STORY.SHUT-UP,TAKE A BREAK AND UNDERSTAND THAT USING WORDS LIKE "MAITI"IS AN ADDITION OF FUEL TO THE EXISTING FIRE.GO TO UNDISLOCATED AREA AND TAKE A DEEP BREATH,RELAX AND CONSULT YOUR ATTORNEY BEFORE MAKING ANY MOVE.GOOD LUCK.
ReplyDeleteDuh,viongozi tulionao sioo kabisa.
ReplyDeleteVijana wachapa kazi wenye kujituma wanazimwa, matapeli na majambazi ndo wanabebwa.Jerry Muro anawa inspire watu wengi, yaani watu tunampenda ile mbaaaya hata iweje. Na hii ni kutokana na kazi zake ambazo anafanya, yuko jasiri,ile kesi ya mzungu angekuwa mbongo mwingine angeona sawa tu lakini yeye hakukubali kudharauliwa.Tunahitaji vijana kama hawa bana na sio vilaza. Hawa viongozi wetu vp? Mie naona kama siooo vile
Hiv Kova hafikirii jamani!hv ana sub-ordinate mpk kila kitu anavalia njuga yeye!halafu anaongea kwa ushabiki kbs anaonekana amefurahia yaliyompata Muro!ni kweli uandishi na Pingu Havihusiani , Je kuomba rushwa na Pingu vinahusianaje!Kwamba mtu ukimuomba rushwa akikataa unamfunga pingu?non sense! Si wangeshirikisha PCB waone mwisho wake!looh Polisi TZ aibu zenu!
ReplyDeletehe nchi imeoza kweli hawa polisi wana elimu ndogo kwa kuwa mara nyingi wale waliokuwa wanafeli darasani ndo huwa wanaenda upolisi ingekuwa at least wanachukuliwa wenye degree haya yasingetokea hata huyo kova akili yake ni ndogo mno anachojua yeye labda kushika silaha na gwaride. tupo nyuma ya jerry na Mungu atamlinda maana anafanya kazi halali.kama kweli si wangemuacha apokee ndo wamkamate hii ni deal huyu jamaa atasahaulika atasumbuliwa jerry hii si nchi kikwete serikali yako imeoza na wewe huchoki kunusa uozo kweli una pua za kustamili harufu mbaya ya uozo
ReplyDeleteHaya mambo yanatokea sana katika jeshi letu la Polisi. Wanasiasa wanalitumia jeshi letu kwa manufaa yasiyofaa, na wenye pesa pia wanafanya hivyo hivyo. Ila mara zote, wanakosea mahali fulani.
ReplyDeleteUshauri wangu kwa Jerry ni kuwa; awe makini sana na watu atakaoongea nao, atakaokutana nao na hata nyendo zake za binafsi. Ni dhahiri kuwa watamuwinda sana. Namshauri pia atoe taarifa kwa baadhi ya watu anaowaamini kila inapobidi kukutana na mtu au watu.
It is unfortunate kwamba jeshi letu linakuwa la kiharamia kuliko hata majambazi ambao ndilo linatakiwa kupambana nao.
AISEE KIJANA ERRY NAKUPA HONGERAAA SANA..UMEONYESHA USHUJAA WAKO NA UNATAKIWA UIGWE A ZENU KWA WENYE MOYO KAMA WAKOKO..HAWA MAASKARI HAWAJUI HATA KAZI ZAO.....JESHI TAKRIBAN ZIMA HALINA UADILIFU.....JALINI KURA ZENU JAMANI..
ReplyDeleteMIMI NINAMCHUKIA MLA RUSHWA WA AINA YEYOTE ILE.
ReplyDeleteJERRY KAMA ULIAMUA KUONGEA MAMBO WAZI BASI UNGESEMA KWAMBA PINGU ULIZIPATAJE / UNAZIMILIKI KINAMNA GANI.
KUTUAMBIA KUWA MASUALA YA PINGU NI MAMBO YA SIKU NYINGI HUYASEMI WAZI, NA WAKATI HUO HUO UNA MLALAMIKIA KOVA KWAMBA HAJASEMA MENGI, HAPO NINASHINDWA KUKUELEWA KABISA.
TUHUMA ZA RUSHWA TAYARI UNAZO,
MLALAMIKAJI AMESEMA KUWA ULIMFUNGA PINGU.
PINGU ZIMEKUTWA KWENYE GARI NA UMEKIRI KUZIMILIKI,
KUNA KIGUGUMIZI GANI KINACHOKUFANYA USITUELEZE HIZO PINGU UMEZIPATA WAPI NA UNAZITUMIA KWA AJILI YA NINI?
Mzee K! I salute you! Umetoa ushauri wa maana sana. Jerry Muro zingatia hayo.
ReplyDeleteNyie wadau kweli mmelala,
ReplyDeleteHuyo Jerry akipelekwa mahakamani ndio amekwisha, bora yaishie huko huko yalipo, Jerry ni mtu wa kuwatishia watu na ni mtu wa kula sana rushwa, sikatai kwamba hamna rushwa na kama mnabisha basi hiyo simu yake kama ni kweli au hapana wacheki call records katika huo mda na alimpigia nani na kama simu ilienda hewani wakati Jerry amepiga then itaonyesha call duration, au kama sio basi simu haitaonyesha na dhahiri ni kwamba atakuwa akimpigia simu huyo mtu na hapatikani kama anavyodai yeye…hamna cha CCTV hapo, ya nini sasa, na nyie wabongo mbona mmelala sana? CCTV itasaidia nini wakati inajulikana jamaa alikuwa hapo CITY GARDEN? Hapo ni simu tuu ndio zitakazosema ukweli, ata recording kwenye simu wadau wana-retreive unaskia conversation yao.
Mimi huyu Jerry simuamini ngoja aende mahakamani, utaona msululu wa watu waliotapeliwa na huyo Jerry wenu...kazi mnayo wabongo!
Bye.
Cjawahi kufikiri kama kova anaweza kufanya mambo ya aibu hivyo.je Kova anakofia mbili ? takukuru na upolsi? au polisi na mwanasheria?au hakimu na polisi? yaani hii issuehata ukimweleza mtoto wa chekechea anajua tu ni mchongo uliofanywa na wajinga ambao hawana darasa.polisi mwogopeni mungu acheni kuonea watu wenye nia nzuri na nchi yao.mmezoea kuwaibia wananchi.nyie ndo wahusika wakuu mnaoshirikiana na majambazi na wapokea rushwa wakubwa sasa mmeona jasiri wetu jerry anawatoa live mkaamua kumjengea fitina.huyo kova naye na makengeza yake anachukulia tu vitu kijuu juu eti amekutwa na nyara za serikali kwani pingu ni nini ? si ni kamba ya kufungia mbwa? au makengeza yake yaliona pingu ni bunduki? acha kujitetea baba kwa hili umechemcha mchongo wako uliwapa watoto wa chekechea na kila mtu anajua wazi ilikuwa njama sema usemavyo ila sisi watu na akili zetu tunajua ni njama na mmeiharakisha sana mngesubiri hata kidogo watu wasahau.wage naye anataka kumalizia hasira kwa jerry, kwani yeye ndo kamsimamisha? kwanini asiwaambie mapolisi wamkamate pinda.
ReplyDeleteMICHUZI HUYO JERRY MURO YUKO SINGLE?????MANAKE KILA NIKIANGALIA MACHO YAKE KICHWA CHANGU KINAPOTEZA NETWORK!!!!!!!!!!!!!!!!!...MIE NIMEMPENDA...KAMA VIPI JERRY NJOO HUKU TUPIGE BOX,TUCHILL BABYYYYYYYYYYYYYY...ACHANA NA NCHI ISIYOKUWA NA MUELEKEO...,KAMA KUNA WANAOKUPONDA...MIE NAKUFAGILIAAAAAA ULITUMIA AKILI,,,BAHATI MBAYA TU DILI LIMEBAUNSI BABYYYYYY!...KIBONGO BONGO HILO LILIKUWA DILI BABU,WATU KIBAO WANAPIGA HAYO MADEALS...HATA HAO WALIOKOMENT HAPOO AM SURE WAPO WANAOCHUKUA CHA JUU KILA SIKU....
ReplyDeleteSO KAMA UKO SINGLE HIT ME ON jmalcomeee@yahoo.com tuanze kushughulikia maswala ya viza babyyyyyyyyy...
nina makaratasi aka mapepaaaa so donti woriiii babyyy
NEY...
Doh maskini wee, jumba bovu hili lazima ni jumba bovu tu.
ReplyDeleteWage acha propaganda ulishatimuliwa kwa ufisadi usitake kujifanya umeombwa rushwa.jerry akuombe rushwa wewe kwa kazi gani ulompa? wewe umeshapoteza mwelekeo ulizoea kujichotea hela ya serikali bila uchungu sasa unaanza kujitafutia ujiko kupitia jerry.hao polis wajinga ulofanya njama nao ndo wakatakao kuponza utauza tax zako zote za morogoro.umezoea kuwaambia watu hela ya serikali ni sawa na nyama ya tembo ukikataa ukate kubwa kwani hujui mwenzio wa upande wa pili anakataje,sasa unayumbayumba kama mlevi umeishiwa na sera unaleta longolongo shindwa katika jina la Yesu.
ReplyDeleteJamani watanzania tumenasa kwelikweli mungu wangu!!!!! Wale polisi aliokuwa Jerry anawapiga picha wanachukua kitu-kidogo wale nao sio zao, wao ni wachangishaji tu. Kuna wakubwa zaidi huko juu wanazitumia. Sasa hata tukijali kura zetu utampa nani wakati mtu kama rais huchaguliwa na watu wachache huko Dodoma, halafu ndiyo huyo huyapanga hayo mafisi kuitafuna nchi bila kujali uwezo wa kuongoza, mbona wapo wengi tu na tunawajua. Ukisema wapigiwe kura hao wasio CCM sura zao tu zinaonyesha kuwa si kondoo bali wamevaa tu ngozi ya huyo mfugo.
ReplyDeleteMimi nafikiri tuna matatizo kwenye mitaala ya elimu yetu, watu wanatakiwa wafundishwe uadilifu toka chekechea hadi elimu ya juu na kuwe na vyuo maalum ya kufundishwa uongozi siyo mtu anachaguliwa anakuwa na akili za ajabu ajabu kupiga picha na watu maarufu hakuisaidii sana nchi! Angalia ndani baba wananchi wako wakilalamika jua mambo hayako shwari. Mafuta bei juu,unga wa ugali bei inapaa, mchele bei utafikiri unaingizwa nchini na cargo za kifaransa. 'MAISHA BOMU KWA KILA MLALAHOI' hiyo naomba iwe kauri mbiyu mwaka 2010.
NAJISKIA KICHEFUCHEFU KUONA HATA WAKUBWA WANATUMIA VIBAYA KISWAHILI.WAGE KAWAPIGIA POLISI SIM KUWA KUNA WATU WANAMSUMBUA...KIMEENDA KIMERUDI WATU WENYEWE JERRY MURO.LOL...SASA KISWAHILI SAHIHI KWANINI HAKUSEMA KUNAMTU ANAMSUMBUA,????AIBUUUU AAGGHGHHHHHHHH lishaniudh hilo liwage pu!!!yote hayo kwasababu yauongouongo
ReplyDeletejamani simtakii mabaya jerry ilwa kwabongo navoijua mieee heeee hamshangai kumkuta kwenye mfereji hoi bin taabani
ReplyDeleteJERRY ENDELEZA MAPAMBANO!!! HIYO STORY HAI ADD-UP, NANI ASIYEIJUA SURA YAKO HUYO MICHAEL WAGE ALISHINDWA KUWAAMBIA KAMA WEWE NA WENZAKO MNATAKA RUSHWA ALOPOENDA POLISI?? AKASUBIRI MPAKA UFIKE HAPO NDIO AKUPOINT.
ReplyDeletePOLISI MNAJIZALILISHA MMESHAUMBULIWA WANARUSHWA NAMBARI MOJA SASA MNATAKA KUMUWEKA NDANI JERRY MURO.
WAANDISHI UNGANENI MIKONO MKIWA JERRY MURO WENGI WATAMKAMATA NANI WATAMUACHA NANI?? FUFUENI HABARI ZAO ZA RUSHWA NGAZI ZOTE.
WELL DONE JERRY KEEP IT UP!!!
vipi umeoa? kama bado tuwasiliane ningependa kuolewa na mwanajeshi kama wewe. LOVE YOU!!
MENGI YANASEMWA NA MENGI YATASEMWA, ILA DHAIRI KUWA UKWELI UTAFICHUKA MUDA SI MREFU. CHA MSINGI NI TUNAJIFUNZA NINI JUU YA HAYA? HII NI KWA RAIA WEMA WA TANZANIA NA VIONGOZI PIA. NI WAKATI MUHAFAKA KUAMUA KWA DHATI NINI HATIMA YA TANZANIA MAANA NCHI HUJENGWA NA WATANZANIA WENYEWE ILA HUBOMOLEWA KIRAHISI NA UONGOZI MBAYA. CHONDE CHONDE NCHI YETU TUNAIPENDA, TUSIWAHADHIBU WATOTO WETU KWA KUWAACHIA NCHI ILIYOGUBIKWA NA MAOVU. TULIPOCHUKUA MADARAKA KUTOKA KWA WAKOLONI TULISEMA TUKO TAYARI KUJITAWALA, JE HUKU NDIO KUJITAWALA VYEMA? JE, TUTAFIKA? TUNAWAAMBIA NINI MAJIRANI ZETU AMBAO HUWA WANATUAMINIA? TUJIULIZE NA KISHA TUFANYE YATUPASAYO KWA MOYO WOTE KUINUSURU NCHI YETU. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ubariki Uongozi wa Nchi Yetu.
ReplyDeleteYAANI WATU WANAONGELEA MAMBO YA JERRY NA KOVA,,
ReplyDeleteMTU ANAIBUKA ETI INGEKUWA WA DINI FULANI HAPO...
JITHAMINI NA KUJIAMINI KWANZA WEWE MWENYEWE NDIPO WENGINE WAKUTHAMINI NA KUKUAMINI..
SASA WEWE USHAONA WATU WA DINI YAKO NDO WA KUONEWA TU,NA KUBENEA NAE NI DINI YA MURO?
HIYO DHANA YENU YA KUONA MNAONEWA SIJUI ITAISHA LINI?
YA KAKOBE AKAIBUKA MTU TENA OOH INGEKUWA DINI FULANI WANGEKOMA..
UKISHAJIDHARAU MWENYEWE LZMA UTAFANYA MAMBO YA KUJIDHARAULISHA.
HEBU AMKENI NYIE WATU,HATA MAREHEMU OMAR JUMA ALISHAWAASA NA MKAMUONA ADUI.
SHAME ON U
SISI TUNATAKA HAKI TU HAPA HAIJALISHI NI MUISLAMU AU MKRISTO YALIYOMKUTA,
MTU KAMA KAONEWA TUTASEMA TU UDINI PEMBENI..KWANI WOTE WALIOPIGIA KELELE MSIBA WA KAKA YETU SWETU NI WAISLAMU WATUPU?
KWANZA WE UTAKUWA SIO MUISLAMU MSOMI NDO NYIE HATA WAKE WA KIKRISTO HAMUOI WAKATI WATU SIKU HZ HATUTOFAUTISHWI KWA DINI WALA KABILA..
WANANIKERA SANA HAWA WATU WANAOSHUPALIA MAMBO YA DINI,WAMENIFANYA NIWE SINGLE MAZA KWA UPEO WAO MDOGO ETI MWANAMKE MKRISTO ASIOLEWE NA NDUGU YETU,MPK MTOTO NALEA MWENYEWE INGAWA WENYEWE TUNAPENDANA
Watanzania muogopeni Mungu. Hata kama mtu unatumia makamasi na siyo ubongo utaona wazi hila ya kumbambikizia kesi Jerry. Tunaomshambulia Jerry tunadhihirisha kuwa Taifa limeoza kiroho na kiakili. Sasa ninaanza kuwa na mashaka na hata hao ambao polisi huwa inadai imewaua kama majambazi na kuonyesha silaha bila ushahidi mwingine. Jeshi la Polisi lisije likawa lenyewe ni genge la Maharamia. Watanzania msiwe mashuhuda wa uongo. Inawezekana saa hizi Mashuhuda wa uongo wanaendelea na semina ya kuja kumuangamiza Jerry Mahakaman. God have Mercy!
ReplyDeleteMheshimiwa Kova wewe ni mtu mkubwa sana, na inawezekana kabisa wewe ukawa ni mwema,unataka haki itendeke, lakini jua kabisa kwamba hao watu wako unaowaongoza ni majambazi wakubwa, yaani hawafai, ni bora kabisa ukakutana na jambazi usiku, kwani utajua kwambva huyu ni jamabzi na utafanya lolote kujiokoa, lakini sio POLISI, hawa jama watajifanya wema lakini haki ya Mungu, hawa jamaa ni nyoka kabisa. Ni wala rushwa wakubwa, na ni watu ambao wanatumia sana madaraka yao kunyayasa raia.
ReplyDeletePia mheshimiwa Kova, nakupa anagalizo, hawa jama zako (polisi) watakuponza, huwa wanasuka mambo yao ya ajabu ajabu, na kisha kukuletea wewe, na wewe bila ya kufanya uchunguzi, unalisimamia kidete na kutoka nalo katika vyombo vya habari, siku watakupa sumu itakuua. Kama hujua, hakuna mwanachi katika nchi hii anawataka polisi wa Bongo. Yaani hawafai kabisa..Najua huenda wapo wachache ambao wanafanya kazi zao kwa uadilifu, lakini nakuhakikishia, asili mia kubwa ni mabedui tu.
Hii habari ya Muro ukiiangalia kwa makini kabisa, utaona tu habari zinachanganya.
Ushauri wangu Kova, hawa watu wako wakikupoa taarifa, fanya uchunguzi, kabla hujaamua kushirikisha vyombo vya habari.Maana nawe unapenda sana kuuza sura kwenye TV na magazeti nafikiri ndio yanakupa chati.
Ila polisi wenu sio kabisa. Sisi wananchi imani nao hatuna.
This is on going case and probably investigation. By going into media and put all in public, Jerry your jeorpodise your defence and put your defence lawyers into the very difficulty task. dont we have law whereby court ban victim or accuser from discussing the matter which is still under investigation?
ReplyDeleteUNAJUA UNAWEZA KUONEKANA KAMA UNAONEWA LAKINI MPAKA SASA SIJAMSIKIA JERY KUELEZEA PINGU HIZO ZA NINI KWENYE GARI.HILI NI JAMBO KUBWA SANA NDUGU ZANGUNI.
ReplyDeletepole jerry kama unataka faraja ckiliza hii beat ya jamaa wa arusha!
ReplyDeletehttp://www.youtube.com/watch?v=HZKAn2pn95M
kwako Kamanda Kova,kama wewe hujasoma basi hauna hata mtoto aliyoenda hata shule kidogo tu? akawa anakushauri? najua hakuna rafiki wa kukushauri kwani hao marafiki zako wote ni polisi ambao malimbukeni kama wewe.unachotakiwa sasa hivi ni udili na majambazi wanae vunja ma benki huko nyumbani kila siku na sio kutaka kushindana na muandishi wa habari ambae amewafichua wala rushwa,hii sasa inaleta picha kamili yakuwa wale askari wa barabarani wanatumwa na wawe Kova kuchukua rushwa kiasi fulani lazima kikufikie, tunajua huo mchezo uko na ndio maana leo unjiumbua kutaka kumpa Jerry Muro kesi ambapo hana hatia.Ushauri wa bure kwako Kova achana na haya mambo hiyo kula yako kidogo unae ipigania leo itakutokea puani utakuja kukosa hata huo ukamanda, hata huyo kikwete anayaona haya.
ReplyDeleteUSIKATE TAMAA WAKIKULAZA NDANI GANGAMAA TUU MTOTO WA KIUME WATASHINDWA TUU. NGUVU ZA KIZA ZITASHINDWA. NASHIKA MSAHAFU NA BIBILIA KUKUOMBEA NIKISHINDWA NTAWALOGA. HUO NDIO UUME KIJANA MURO GANGAMAA ILI ULE.
ReplyDeleteSasa mimi naanzisha jeshi la GUERRILAS wapiganaji wa misituni tuwachape chape watu kama miaka kumi ili tujiwekee respect maana Bongo hatuheshimiani tena.. Kila mwenye kubeba silaha anajiona ana haki ya kuonea watu. Kila mwenye kacheo kidogo anajiona ana haki ya kunyanyasa watu. Sasa tutafiki vipi tuendapi?
ReplyDeleteBongo inabidi vile vizee vyote vila rushwa vife na mafisadi wote wala rushwa wanyang'anywe visivyo vyao, yupigane misituni halafu kila mtu akishika adabu.. Tuanze upya. Ni aibu jamani.
Jerry Muro amethibitisha kwenye maelezo yake kwamba anamiliki bastola na pingu kwa miaka 4 sasa. Kwa bastola hakuna shida, je pingu ni ya nini? Je yeye ni ni afisa usalama?
ReplyDeleteHivi uandishi wa habari TZ ukoje, mtu anakupigia simu kwamba kuna press 'conference' na unakwenda tu. Nilikifiri huwa kunakuwa na mialiko rasmi kwa vyombo vya habari husika ambacho humteua mtu kuhudhuria. Kwa maana nyingine Jerry Muro alipata taharifa ya conference yeye binafsi na si TBC. Nina wasi wasi kidogo na maelezo ya namna hii.
Pingu sio Silaha!
ReplyDeleteMuro, jihadhari sana kwenye kuongea.
ReplyDeleteUnajua hiyo impikwa na hujui imeanzia wapi. Ila plan zao not complete wameifanya kwa pupa na kutumia akili za kawaida tu not professional. Ila wanaweza kulazimisha jambo, ujue tawala pia zinatumiaga ubabe kwa issue fulani fulani ili kujiweka sawa.
Michuzi umeminya maoni yangu lakini kumbe nilikuwa natabiri kitu. Watu hawana mbongo za kufikiri . . . Muzo aeleze kinagaubaga kuwa pingu anamiliki za nini? Alizipata wapi? Anatemeba na bastola mchana akiwa kazini ya nini? Miwani ya yule mzee ilifikaje kwenye gari lake? Press conference gani anapigiwa simu kiholela hivyo? City Garden toka lini wakafanya press conference?
ReplyDeleteHAKUNA KIPENGELE CHOCHOTE CHA SHERIA KINAMKATAZA MTU KUMILIKI PINGU NA HAKI HAKI MILIKI YOYOTE INAYOSEMA PINGU TANZANIA ZIMILIKIWE NA POLISI TU NA MAGEREZA, KUNA PINGU JWTZ, KUNA PINGU MGAMBO, KUNA PINGU SUNGUSNGU, PINGU NI SAWA NA KUMFUNGA MTU KAMBA, NI CHOMBO BADALA YA KAMBA, WALA SI CHOMBO CHA POLISI PEKEE, watu hufungana pingu wakati wa love making too
ReplyDeletehapo bwana hapahitaji hata kwenda shule wala nini,ni upuuzi mtupu wa polisi na UKIHIYO uliotukuka,hivi rushwa mtu anaenda kukamatwa kakaa kwenye gari,mimi nilifiri Jerry baada ya kuonyesha polisi wakichukua rushwakwenye magari angepongezwa sana na jshi a polisi lingekwa na urahisi wa kujisafisha kwani wahusika wanaolichafua jeshi wameishaonekana,kumbe kwanza ndiyo mnamtafutia kesi za UONGO,nafikiri mkuu wa jeshi la polisi ajaribu kila anapochangua watu wa kusaidia basi wawe wanapimwa AKILI ,kwani kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya UJINGA,NA UPUUZI kama uliofanywa na hao polisi wakiongozwa na huyo anayeitwa KOVA,
ReplyDeletesasa wadau naomba niulize au mkuu wa wilaya ya nanii naomba unijibu,hivi Jerry Muro mashitaka yake hasa ni nini? kapokea rushwa ya milioni kumi,au kapokea rushwa ya milioni arobaini au kaenda kumfunga pingu yule muhasibu alifukuzwa kazi na waziri mkuu ,naomba jibu jamaani maana mpaka sasa sijui chochote????
HAUNA KESI JERRY...
ReplyDeletePINGU NIMEONA HUKU UGHAIBUNI WATU WANATUMIA KATIKA 'SEX',,,NAMAANISHA BONDAGE!!...WAKIKUBANA WAAMBIE..HUWA UNATUMIA HIZO PINGU KWENYE FANTASY ZAKO KITANDANIIIIII!HAHHAAH KUHUSU KUKUTWA KNY GARI...SEX MTU UNAFANYA MAHALI POPOTE NA WAKATI WOWOTE...HA!HA!..WATAJIJUU..NA UPUUZI WAO!
MNAHOJI UHALALI WA YEYE KUMILIKI PINGU??MBONA HAMUHOJI YEYE KAZIPATA VIPI???KAMA HIZO PINGU ZINAKUWA MANUFACTURED AND SUPLIED TO POLICE ONLY???
FOR YEYE TO MILIKI 'PINGU' IS EITHER ALIKUWA ANAFANYA KAZI NA HAO HAO POLICE AMBAO,,WALITAKA KUM-BETRAY...KWA KUM-FRAME AU...HIZO PINGU ZINAPATIKANA FREELY...MADUKANI KWA MWANANCHI YEYOTE!... THAT IS TO SAY KOVA NA WENZIO MJE NAPLAN NYENGINE!WE ARE NOT BUYING THIS CHILD-ISH PLAY!!!
NEY-BHAM
mama helennasra utajijuuuuuuuuuuu!eti mtoto unalea mwenyewe?kha inahusuuuuuuuuuuuuuuuuu?????wapo kibao wanaolea wenyewe!..eti mnapendana na baba watoto wako!weee acha kujidanganya!..mngekuwa mnapendana mngefunga ndoa...dini sio kizuizi cha watu kufunga ndoa!wee sema ulizaa na libwanyeye lisilokupenda likaona kisingizio cha kijinga cha kukupa ni DINI..ili lisikuoe!....babu wee,mwanaume kama anakupenda kiukweli ukweli hatajali dini wala nduguze wanasema nini!...kuishi na mtu wa dini nyengine hakukuzuii wewe kufata dini uliyokulia nayo na kuipenda!...so dada kama umebaki single maza wa kumlaumu ni huyo uliyezaa naye na sio watu wanaomzunguka..!!
ReplyDeleteheee hata kny ukimwi unaambiwa usinyoshee mtu kidole sababu ukifanya hivyo vidole vinne vilivyobakia vinakuangalia wewe!mama helenansra umemsema huyo anony aliyesema kuhusu udini..wakati huyo ULIYEZAA NAYE NI MDINI..NA MJINGA NAMBA MOJA!
anyways hatupendi ishu za udini humu,so wote mnaointrodyuzi hizi ishu humu na wale wakolezaji...kuleni kona,namaanisha wewe anony uliyeleta huo ujinga humu pamajona na wewe mamanasra kwa kuhakikisha unalikomalia,,kwa kumake big deal out of it...kuleni kona!!!!!hahahahhahahahahaha michuzi leo nimevuta bangi!!!
lastly pole mama nasra kwa yaliyokukuta...lol
NEY..
RAIS HATUNA !! WALA SERIKALI kama imefikia hatua ya polisi kutesa raia wema bila woga huku serikali inaangalia tu ? Tutafika ?
ReplyDeleteRais wetu ananzunguka DUNIA nzima na kusema nchi yetu ina amani. Rais hebu jisafishe waong'oe hao polisi, KOVA haufai jiuzulu.
HIVI KOVA, JESHI LA POLISI NA SERIKALI TUHUMA ZINGINE ZOTE MBONA HAZIKUCHUKULIWA KAMA HII INAVYOCHUKULIWA? HAYA BILIONI 900 ZA ALIZOFICHUA MREMA MWAKA 1995, CHAVDA, BOT TWIN TOWER, KIWIRA, EPA, NOTI ZA ZIADA BOT, NDGE YA RAIS, MIKATABA YA MIGODI, MIKATABA YA TRC, MIKATABA YA TICS NA KUONGEZEWA MIAKA, MIKATABA YA AIR TANZANIA NA AIR SA,MASHAMBA YA MITAMBA KIBAHA, POLISI NA MAUAJI YA RAIA, JESHI NA MAUAJI YA RAIA, JESHI NA MABOMU, JESHI NA WIZI WA SIRAHA, KESI YA AJALI YA BAJAJI ETC ETC
ReplyDeletewe Ney..
ReplyDeletemi sishabikii huo ujinga namuonya tu..
udini wa nini ktk ishu ya Muro?
Mtu km huyo hata akiwa na watoto wake atawaruhusu waoe au waolewe na watu wanaowaona wanaowanea?Namwambia tu aache hayo mambo yashapitwa na wakati.
Ila kama umekunwa au kuguswa Pole!
TZ hakuna udini waachieni Nigeria
bwana mdogo sasa unaanza kuchanaganyikiwa huwezi kuita watu maiti na kumwita kamishna na kamanda mzima wa jeshi la polisi kuwa ni minor person wakati halali usiku kucha kwa ajili yako .unatakiwa kuongea kwa ustaarabu na siyo kwa jazba eleza pingu wewe unamiliki za nini na umekuwa nazo kwa miaka minne kwa jili gani na uimeshazitumia vipi.hiyo press conference uliyoitiwa inamaana huji nani kakuita na ndiyo utaratibu huo wa siku zote .pili usianze kutoa visingizio kuwa watatengeneza hizo cctv ..kumbuka au kama hujui nikuleze hiyo system ya hizo camera zinachukua matukio kwa muda wa msaa 24 na kuyahifadhi kwa hiyo yanapohitajika huwa wachukua tape ya siku ya tukio waoa wanalolihitaji ,sasa ndugu yangu siku uliyobana na kuomba rushwa cctv itaonesha matuko ya siku nzima hakuna cha kuunganisha hapo wala kutengeneza.wewe kaa kimya usubiri kubulizwa kizimbani huko ndiko tutajua mbivu na mbichi kuliko kutukana watu hovyohovyo
ReplyDeleteNamuunga mkono mchangiaji mmoja hapo juu,ukweli kama mambo ndiyo hayo ya kutafutiana visa ili mtu aende jela bila kosa ,ila tatizo ni kusema ukweli ,basi bora siku moja tukatane mapanga naona heshima itakuwepo,nasema ipo siku hiyo nchi TUTAGAWANA VIPANDE,nyie tulieni tu mtaona siku moja,nakumbuka mkuu wa magereza mmoja aliwahi kusema jela zimejaa ,lakini wenye makosa wachache sana wengi waliopo huko wameenda kwa visasi ,mkubwa akikuchukia tu segerea au ukonga ,sasa naamini kauli ya mkuu huyo wa magereza,lakini namwambia Kova kuwa mambo ya kubambikia kesi yana mwisho wake MUULZE ZOMBE YUKO WAPI?,
ReplyDeleteWASWAHILI WANASEMA UKIONA MAKABURI ,UJUE WALIOMO HUMO WALIKUWA KAMA WEWE!
mama helen acha kujidanganya!eti unamuonya..utaonya wangapi???kama tz hakuna udini..huyo katoka wapi..??na wala sio hii posti tuu?..angalia posti kibao watu wamechomekea udini..utakesha 'ukiwaonya' humu??pole!
ReplyDeletethis is my last post to you,HAIJANIGUSA..SABABU SIO MIE NILIEZAA NA 'MDINI'...lol
anyways..people will tell nani haswa kaguswaa!!1
bado nakupa POLE sababu najua wewe ni VICTIM wa huu UJINGA...na mtu akikusoma,you are still in DENIAL!,,,amka dear!!
NEY...