Katibu Mkuu wa chama cha Tanzania Labour Party John Komba (kushoto) akiwa na mwenyekiti wake Mh. Augostino Lyatonga Mrema wakati wa uhai wake. Habari zinasema Mh. Komba amefariki jana katika hospitali ya taifa ya Muhimbili. Komba alikuwa amelazwa akiwa amepooza mwili upande mmoja. Mola ailaze mahali pema peponi - Amina

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. yani kwa kweli nilishtuka nikadhani mrema huh! poleni sana wafiwa

    ReplyDelete
  2. dah jamani babu mrema kachoka sana.kwa nini asistaafu tu akala pensheni yake .yani miaka tote hii ndo tuseme aja save ???

    ReplyDelete
  3. Pole tlp yaani viongozi wakuu wote ndo hivyo ..

    ReplyDelete
  4. JAMANI MBONA USO WA MHESHIMIWA UMEBABUKA HIVYO!!!DUU NILIDHANI NI MREMA KAFARIKI NILISHTUKA..MDAU..MREMA PUMZIKA SASA URAISI SIO RAHISI TENA KWAKO..

    ReplyDelete
  5. duh yaani watu kufa KOMBA HAWAJASHTUKA,WALIFIKIRI MREMA WAKASHTUKA,LAKINI HATA MIMI MAANA NILISIKIA MREMA AMETOKA KUFANYIWA UPRESHENI,DOH HUYU HATA SHEHA HAPATI KACHOKA HIVI,.Lakini alifurahisha siku alopiga suti na raba,

    ReplyDelete
  6. mweshimiwa nini tena.kweli ni bora angekuwa ccm angechukua chake mapema. ooh ooi babu unatia huruma sasa. mimi nilizani wachaga washapu kumbe si wote.

    ReplyDelete
  7. babu usikate tamaa bado unaweza gombea uprezedo.wachaga tupo tutakupigia kura.

    ReplyDelete
  8. lol hata agombee uprezedo wa kilimakiaro hapati ushauri astaafu tu siasa mchezo mchafu sana wamekuroga

    ReplyDelete
  9. Seriously, Mrema looks sick! I hope amejipima kila kitu. Mzee unahitaji mbege na supu ya makongoro kila siku urudishe afya. For real isingekuwa kofia hiyo (sijui inaficha nini?) NISINGEMTAMBUA.

    ReplyDelete
  10. mmh mrema anahitaji chlorophyl asafishe damu..
    ngozi haina mwelekeo...
    au kibaraka shee ni cha long timeee

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...