Ankal Michuzi!
Natumai unaendeleza libeneke kama kawa kwenye blog yetu ya jamii.
Naomba uwatambulishe wanajamii libeneke jipya la blog ya magari Tanzania: www.magaritz.blogspot.com

Humu kaka kuna matangazo ya magari yanayouzwa kila siku kutoka katika vyanzo tofautitofauti, zikiwemo showrooms na watu binafsi,
Hivyo wadau wanaweza kutuma matangazo yao ya magari BURE wanayouza pamoja au kupata fursa ya kuona magari mbalimbali yanayouzwa hapa nchini.

Nashukuru sana Ankal
na nakutakia kazi njema!

Mdau wa magaritz !

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. kha michuzi mbona link yenyewe kushnehi haifanyi kazi, hata nimejaribu kugoogle search hakuna kitu kama hicho au ndo inaanza kutengenezwa blog yenyewe?

    ReplyDelete
  2. mtu hunapo weka kitu kutangaza jaribu kukifanyia majaribio kabla,kila laheri

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...