
Ankali michuzi japo ni habari iliyopita nimeona niitume maana mie binafsi ilinishangaza sana. Ilitokea pale darajani usiku wa kuamkia jana tarehe 12 feb kama unashuka tokea kwa komba mbezi karibu na njia panda ya kawe na mwenge. Vipi vekesheni huko Ifakara.
Mdau Sam
Sent from my BlackBerry® smartphone from Zain Tanzania
Mdau Sam
Sent from my BlackBerry® smartphone from Zain Tanzania
Haya kaka kweli chombo chako cha kuwasiliana kiko makini.Smartphone siyo! tulishaipata hii huku ughaibuni but asante kwa kutukumbusha
ReplyDeletedah sasa hapo mbele kioo kimetoboka au ndo alipochoropokea dereva?? vipi hali za victims wa hii ajali lakini manake naona haijatulia kiaina.
ReplyDelete@ ankal salamu vipi bado ifakara au tayari ushatimba bongonyoso?? manake hamna pics za mandhari ya ifakara. poa sana mwana nlikuwa nakupa hi tu, kwakweli i can't ask for more for this wkend and probably the coming wk mambo safi kwakweli ya jana bado inakosa upinzani.
Mdau wa pajazzzz
hii si ya mwaka, ya karne, sipati picha, mungu atunusuru
ReplyDeleteHii yote shauri ya speed! Tutaendelea kujiua na kuhatarisha maisha ya wengine mpaka lini? Tunakufa kwa ajali hata kuzidi wanaokufa kwa mabomu ya Pakistan na Afghanistan!! Imeshakuwa kawaida na tumezoea!
ReplyDeleteWadau, hivi hii yaweza kuwa imesababishwa na nini? udereva mbaya, dereva bado anajifunza au dereva kuwa ulevi. Siamini macho yangu.
ReplyDeleteKwa mazingira ya pale darajani hii ajali ni ya aina yake utadhani gari kaipachika kwenye mti kwa kutumia crane.
Jamaa asali sana.
Kama kuna mdau anajua kilichotokea kwa undani mpaka hii gari iko hapo juu naomba atueleze.
ReplyDeleteVipi waliokuwemo wametoka salama?
that is a parking lot. jamaa kafika hapo aka park bila kulipia. pombe siyo chai. Lol
ReplyDeleteMhusika wa ajali hafahamiki. Usikute mwizi wa penzi. Likely alikuwa na hawara, kwanini akatoweka?
ReplyDeletewadau tuepuke kuendesha kwa kasi, tukishindwa tuwe waangalifu tunapoendesha.
ReplyDeletePombe na kuendesha ni hatari.
Mdau Ikumbi
Nadhani hapo alipovunja kioo ndipo alipotokea maana milango yote ilikuwa inaning'inia hewani. Mimi niliikuta ajali hiyo asubuhi ya saa moja na sote tulikuwa tunashangaa huyu jamaa amefika vipi hapa juu.
ReplyDeleteYule askari aliyehojiwa alisema imetokea kwenye saa nane za usiku kwa hivyo kwa asilimia kubwa imesababishwa na ulevi. Nadhani jamaa aliposevu tu alikimbia mpaka nyumbani kwake hata kama ni kilomita kumi.
HII SIYO AJALI BALI NI KAMA PICHA TUNAZO ONA KWENYE SINEMA.
ReplyDeleteMpenzi Jini.
ReplyDelete