Wawadu wanaojiita CO Family, ni WAHANDISI wa Mifumo ya Computer Migumu na Milaini, wapo wanafuraha ya kula NONDOZZZ zao pale Dar es salaam Institute Of Technology aka DIT wikiendi ilopita . Chini ni Eng. Theobald Massawe ambaye anafurahia kala NONDOZZ na Familia. Mtoto Treasure Theobald ameridhia nondozzz hiyo kaamua kuwahi kuvaa kofia.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. baby keep it up.nyota njema huonekana asubuhi.good baby!

    ReplyDelete
  2. hongera kaka!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  3. kaka Massawe
    Mdau tulisoma nae Lyamungo Secondary
    enzi za Head master Malisa,Second Master Marenge. Keep it up. Wadau wa Lyamungo Sec mpo wapi? Enzi za kunya uji uliokua Unaitwa Sifongo. Yale ndo yalikua maisha sio ya sikuizi Acadimia na St what what.
    Mduu Compton Mzee wa Sobibo

    ReplyDelete
  4. Huyo mwandishi wa mada hii anamanisha soft and hard ware system ndio anaita mifumo migumu na mifumo rahisi? Kama ni hivyo tuna kazi katika kiswahili

    ReplyDelete
  5. hongereni sana elimu haina mwisho big up wasomi mkafanye kazi kwa uadilifu

    ReplyDelete
  6. Hivi DIT wanatoa shahada?
    Kama ndivyo, basi. Kama sivyo, je ni sahihi wahitimu wa chuo hicho kujiita "wahandisi"?

    Swali tu

    ReplyDelete
  7. Yaana watu wanahoji DIT kongwe, ila hawahoji St. Joseph ambayo haina hata walimu imekalia twisheni tuu. Utakuwa muhandisi wa twisheni?

    ReplyDelete
  8. kaka massawe nawapeni hongera kwa hiyo nondozzz....mi mdau wa uturuki ndo tumeanza sie

    ReplyDelete
  9. sasa hiyo kofia inahusu kwa mtoto, watu wengine bwana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...