Home
Unlabelled
salamu toka tegeta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Asante mdau wa tegeta
ReplyDeleteAcha kuunga unga mambo, siku hiyo haina uhusiano wowote na hayo uliyoandika!! Soma historia yake ndo utajua aibu za siku hiyo.
ReplyDeletewewe mdau wa hapo juu huna uelewa wowote, watu tunaijua historia yake ndiyo maana tunajaribu kuwaeleza watu wamgeukie Yesu awe ni Bwana na mwokozi wao! Okoka ndugu yangu, acha dhambi
ReplyDeleteHuu ni ufisadi wa alphabet. History ya Valentine ni upagani. Wala usiihushe na verse yenye maana kubwa hivyo katika imani. Hii ni siku ya watu kuzini, kulewa, kupigana nk nk. Wala usiihushishe kabisa na nuru.
ReplyDeleteUtumbo nifanye mimi, kuadhibiwe aadhibiwe Yesu.
ReplyDeleteWhere is the logic ya Mungu huyo aliyemuadhimu an innocent one kumalizia hasira zake dhidi ya waasi?
Unaweza kuadhibu mtoto wako mtiifu kwa makosa ya watoto wako wakofori? Ukifanya hivyo unapelekwa hospitali ya vichaa lakini Mungu anasingiziwa kafanya hivyo!!!