Home
Unlabelled
siku ya sheria yaadhimishwa leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongereni mahakimu wa Kigoma kwa kuadhimisha Law Day! Nakuona hapo Mheshimiwa Demi Nyakunga mnyalukolo umetoka chicha! All the best! - Mama wa Kimara.
ReplyDeleteDemi nyakunga kweli kigoma imekupenda mnyalukolo maana naona umechana vibaya mno labda utupe siri ya mafanikio mzee!!!hongereni sana kwa kuendeleza libeneke la sheria mungu awajalie mafanikio mema kwa kazi zenu ngumu mazee!
ReplyDeleteJamani, ongezeni basi majudge, pale Mahakama ya kazi. Nchi nzima eti wapo wawili tu. ni aibu. Hivi ankal Michuzi unalijua hilo? Eti nchi nzima majudge 2. Kesi zinakaa pale miaka na miaka. Watu wanakufa hawajalipwa haki zao!!
ReplyDeletewaheshimiwa mr Devid ngunyali na bwana demi nyakunga punguzeni uzito bwana miili hiyo inahitaji mazoezi angalieni hakim hatakiwi kuwa na kitambi bwana!!mnajitahidi sana kuchapa kazi muendelee kuwa waaminifu hivyohivyo kwa serikali yetu ya jamhuri ya muungano wa tanzania!amen
ReplyDelete