Huku kaka kinaendea kushuka.....ashkirimu kwa wingi tena bure. Hapo kibandani kwetu tunaambiwa itaendelea kushuka kwa inchi moja mpaka tatu kwa kila saa moja, kuanzia sasa hii...
Hatari tupu ankal. Unaambiwa ngiri nje nje, kamasi debe!
Tutakujulisha zaidi usiku hatma
ya hii ashkirimu na taswira zaidi.
Swali la kizushi: Hali hii ingekuwa bongo ingekuwaje?
Swali la kizushi: Hali hii ingekuwa bongo ingekuwaje?
Mdau Alex, USA


Nchi zingine balaa kweli x2 utadhani kiama vile.
ReplyDeleteHakuna ujanja kikwanguzi na sepetu ndo mtindo mmoja katika hali kama hiyo. Halafu hii hali ya off-street parking ndo unatakiwa sehemu yako uliyoiandaa kwa parking ya gari yako uitunze kwa kuweka cane ili mwingine asiyekukuingilia. Ole wako ikukutie hali hiyo mbali na kwako katika barabara ambazo magari mengi hayapitiki utajuta zaliwa.
ReplyDeleteNdugu yangu jitahidi kuizoa kabla haijaganda vinginevyo itakuwa mwamba wa barafu
Thats beautiful! I love snow
ReplyDeletehilo winter mama ndg yangu,njoo moscow huku uone baridi na co hyo summer unayotuonyesha hapo!,hapo unakula miselE km kawa kbsaaa,huku kitu kinagonga -25 mpaka -30C unadhan mchezo.MDAU MOSCOW
ReplyDeletekwanza mdau uliyetuma taswira asante kwa mchango wako.
ReplyDeletenimesikitishwa sana na statement yako kwamba barafu ikija bongo itakuwaje? huo ni kama ukosefu wa elimu ndugu yangu.wazungu wamezoea barafu coz wazaliwa huko na through adaptaion wameimudu bafafu, wakipelekewa joto la bongo wataweza? si tungezaliwa nayo pia tungeimudu na wao wangeshangaa! ushambaa usikusumbue hivyo ndugu yangu plus barafu kila nchi mwaka huu kwahiyo imetosha wape nafasi wadau wengine pia
HAPA KAMA KWA DJ LUCAS .MAANA DJ LUCAS NA MICHUZI KAMA MTU NA MJOMBA WAKE
ReplyDeletemuandishi unaonekana wewe ni mgeni katika mazingira na hali hii, hata ingekuwa bongo ninafikiri na ninaamini na umasikini wetu but tungekuwa na technology ya kumudu mazingira haya, kwani sehemu ninayo ishi mimi huku ulaya kunanyumba yakizamani ambazo hata sisi wamatumbi tungeweza jengo ,zinahitajitu mbao yakutosha kwani ndani ya nyumba huwa simetandazwa mbao na kuta uwekwa sipochi au pamba then mbao kwahiyo acha ushamba.kila mwaka barafu ina=rain na maisha yanasonga.samahani lakini ninajua ujafika siku nyingine
ReplyDeleteDuh kweli wabongo wanajua kuzisaka ngawira .we moscow umefata nini? sikua hata na ideal kuna mbongo huko nilijua ni waeskimo tuu .looool tengeneza pesa
ReplyDeleteHaya jamaa zetu watu wa Box naona mmepata deal hapo la kubandua hiyo barafu kwenye nyumba za watu na kama ndio hivyo ndio maana hamtaki kurudi Bongo.
ReplyDeletekweli mmjazoea aishrimu wenzenu wanaipata miezi 8 kwa mwaka nyinyi mmeipata mwaka huu tu mnaona hatari. Sasa hapa baridi ndo usiseme mpaka -45.
ReplyDeleteMdau north pole
poleni sana wadau wa uko,ss na hiy snow kubeba ma box siunaukuwa nomaaa.kuganda mikono na kuganda damu nje nje nje,rudini home
ReplyDeletePoleni watu wa metro DC mbona hapo kama nyumbani kwa mdau Ten, sisi watu wa maflorida kuna joto utafikiri Bongo tunatamani aiskrimu. Lakini tunangojea balaa la kimbunga manake unaamke nyumba imebebwa na upepo na mtumzima hata chupi hukuvaa.
ReplyDeleteMdau Mhogo Mchungu
Mdau wa North pole namuheshimu, manake kule bwana wanahesabu siku wanazoliona jua wakati sisi huku tunahesabu siku za winter. North pole Balaa tupu usisahahu kumsalimia Santa claus!!!!!!!!
ReplyDeleteHUYU MDAU NI MSHAMBA TU ACHANENI NAYE, MBONA ANAIDHARAU BONGO KIASI HICHO? HEBU NGOJA NIMUULIZE MASWALI.
ReplyDelete1.HIYO BARAFU INGETOKEA BONGO NI KWAMBA SAFARI ZA NDEGE NA TRAIN ZINGESITISHWA KWA MDA. JE HUKO WAMEFANYAJE?
2.HUKU BONGO JOTO KALI KINACHOFANYIKA NI KWAMBA WATEMBEA KWA MIGUU HUTUMIA MIAVULI NA VITAMBAA VYA MIKONONI KWA AJILI YA JASHO HAVISAHAULIKI, MAJUMBANI, MAOFISINI NA KWENYE MAGARI WENYE UWEZO HUTUMIA VIYOYOZI, JE HILI JOTO LINGEKUWA HUKO WANGEFANYEJE? ACHA ULIMBUKENI NDUGU. NIMEKUMAINDI WEWE NA MICHUZI KWA KUKUBALI KUPOST UJINGA HUU.
ushamba na ulimbukeni ovyo kabisa
ReplyDeleteeti bongo ingekuweje?kalale mbele ?>>")+**(<.L
unabahati meseji yangu inaweza isione mwanga wa jua!!
mungu anajua bwana hali hii angeileta bongo watu tungekufa nabariidi alijua kama wadhungu ndo watakaokua na petha unafkiri bongo tungeweza kutumia mahita kwa umeme gani znz mpaka leo wanalia kaproblem kadogo tu maafa tele.
ReplyDelete